zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Mkuu nachokupendea huwa nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe bila kuangalia chama.Alinajisi uchaguzi ili kuua nguvu ya kuhoji, akajaza wanaccm kwenye maeneo ya uwakilishi, hao wanaccm aliowaweka wahoji huu uhuni.
Alikuwa anaunya? tuseme alikuwa akitumia miujiza? kulikuwa na ukame lini katika ile miaka mitano ya dhalimu? dictator uchwara aliyekufa kibudu kwa covd 19
Standard ya kupiga wapinzani na kuiba chaguziNakuambia kitendo cha Mwenyezi Mungu kumfanya kuwa Rais alikuwa na nia kutuonesha kwamba inawezekana.
Na CCM itakuwa wanajutia sana na kujiuliza ilikuwaje?..Ila Mungu ni muweza wa yote.
JPM aliset standard ya juu sana..sasa hawa wenzangu na mimi wanatoa macho tu...Uongozi sio lelemama.
Na wananchi wanaona...huu ni mwanzo tu...shughuli ipo mbele tusubiri...
Mkuu nachokupendea huwa nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe bila kuangalia chama.
Hili suala huwa linshangaza, yaani JPM alijaza Wana CCM kwenye mabaraza yote ya uwakilishi kuanzia vitongoji mpaka bungeni!! Cha kushangaza mambo yanafeli wanaanza ooh tutamkumbuka JPM.
Sasa Cha kujiuliza kama JPM alikua makini, kivipi aweke viongozi wasioweza kumsimamia Mama? Hilo bunge la JPM mbona halihoji haya mambo?? Au tunakubaliana JPM hakua na vision kabisa!!
tutajie idadi ya mafisadi waliofungwa kwa ufisadi wao basiNature balances itself wewe...yule jamaa Mungu ampumzishe kwa amani ila ame set standard mafisadi mnaopenda pesa hamuwezi ifikia mtabaki kurusha matope kwenye feni....kwa kifupi nchi imewashinda kwa chuki na tamaa zenu....na Magufuli bado anang'ara....
Miaka 60 ya uhuru slogan ni ileile ukame....ni albu...shame upon you....
Magufuli aliwaumbua..alituonyesha michezo mingi sana ya kishamba iliokuwa ikifanywa...ili watu waingie kwa mgao wa maji na umeme...
Hukujibu swali bali ume divert swali muhimu,udikteta sio tatizo kama miradi ilitimia kwa wakati,tena bila wiziwizi kama ilivyo sasa!Wananchi waliamua nini zaidi ya dikteta kupora haki yao ya kuamua?
AliWaachia "IKULU" na Mafaili yake yote!Zaidi ya ule wiki wa trillion 1.5 aliomfukuza kazi CAG baada ya kuubaini?
Nyie kweli vilaza ile hela aliyojengea uwanja wa ndege kijijini Chato alizitoa wapi?
Na ilifuata process halali?
Magufuli alimuua nani? Tupe ushahidi wa majina, namna alivyowaua, siku aliyowaua na sehemu aliyowaulia. Kinyume na hapo rudi kijiweni unakovutia bangi na kuchota hizo story za kipuuzi ukatulie.Kamua Nani. Jpm aliwaua watu wanajulikana na ndugu zao mpaka Leo wanawalilia ndugu zao bila jibu
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).
Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu, kwa machungu ya kukaa vijiweni baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake, ajira hewa, utumbuzi majipu, uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana .... ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.
Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....
Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi. Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.
Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBIRI"
Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.
Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.
Tunawaona na Tunawapimia.
Alamsiki!
View attachment 2397812
Magufuli alimuua nani? Tupe ushahidi wa majina, namna alivyowaua, siku aliyowaua na sehemu aliyowaulia. Kinyume na hapo rudi kijiweni unakovutia bangi na kuchota hizo story za kipuuzi ukatulie.
Nikikumbuka nilivyodhurumiwa korosho huko kusini,Magari ya JWTZ yanasomba tu hakuna maswali.Huo ulikuwa wizi Kama ulivyo wizi mwingine!!!!
Yaani hakuna kiumbe ambae huwa namdharau kama anayeongea hiki kiroja! Hiki ni kiroja kinachotumiwa sana na watu wenye uwezo dhaifu wa kujenga hoja!
Na kwavile uwezo wao wa kujenga hoja ni dhaifu sana, labda kutokana na kukosa maarifa, mara zote wanaishia kutumia cheap argument "vyeti fake", mara "wapiga deal"
What a pity!
Pamoja na udanganyifu WOTE ambao ulifanyika kwenye Uchaguzi wa 2020 lakini bado Tundu Lissu alipata karibu kura 2 MILLION.... meaning, hao wote walikuwa hawataki JPM arudi madarakani?
Sasa hao wote ni Vyeti Fake?!
Lowassa alichaguliwa na zaidi ya watu 6 MILLIONI ambao kimsingi HAWAKUTAKA JPM aingie Ikulu... wote hao ni vyeti fake na wapiga deal?!
Hakika Mtaji Mkubwa Alioacha JPM Duniani ni Jeshi Kubwa la Wajinga Aliloliacha Nyuma Yake!
Kwa hiyo hujui hata kazi ya serikali ni nini! We kweli mbulula. Kazi ya serikali ni kulinda raia wake na ikitokea mtu kafa ndani ya nchi na serikali ikaka kimya ten kwa rusasi maana yake serikali ndo imemuua.
Unless utwambie kipindi jpm serikali ilikuwa haipo au haikuwa inajua majukumu yake
Kiukweli chawa pro wameanza kipindi...cha....Unadhani hatakuwa tunaona umeme kukatika kipindi cha dhalimu? Rejea vizuri kipindi cha kampeni za uchaguzi kuanzia july 2020 kulianza kuwa na mgao mkali wa umeme, na akawa anajifichia kwenye ujenzi wa bwawa SG. Acha wahuni wafanye yao maana aliondoa nguvu ya wananchi kuhoji, akatengeneza kizazi za kusifia, matokeo yake ndio hawa chawa waliojaa ili watoke kimaisha.
We umejua hayo kwa sababu vyombo vya habari viko huru kuripoti chochote ila wakati ule vyombo vya habari vilizikwaWe ndio ndezi kama kazi ya serikali kulinda raia wake haya mauaji ya panya road, yule askari polisi kule mtwara, yule aliyeua mkewe kule mwanza, kupotea kwa lijenje na kadhalika na kadhalika maana yake ni rais wa sasa ndio kawaua? Mnafki mmoja tu wewe
Miradi ipi ambayo ilikamilika kwa wakati na ipi ambayo haijakamilika?Hukujibu swali bali ume divert swali muhimu,udikteta sio tatizo kama miradi ilitimia kwa wakati,tena bila wiziwizi kama ilivyo sasa!
Udikteta sawa,lakini wananchi walikula na kushiba,tofauti na ilivyo sasa.
Udikteta sawa,lakini alidhibiti mfumko wa bei,tofauti na ilivyo hivi sasa
Udikteta sawa,lakini alizunguka live nchi nzima akiongea na wananchi na akitatua matatizo yao pale pale alipoyakuta.
Kama kufukuza wezi wa mali za Umma ni Udikteta hapo sawa!
Kama kufukuza vyeti fake ni udikteta kwenu haya bhana!
Kama kukomesha Warsha lukuki bila tija,Makongamano,Semina,Ufunguzi usio na tija ni udikteta kwa walamba asali,sawa bwana!
Ila Magufuli ni Icon itakayoendelea kukumbukwa kwa vizazi na vizazi,kwa alama nyingi alizoziacha jila kona ya nchi hii.
Kama vyombo vya habari vilizikwa,wewe ulipata habari kupitia nimi?We umejua hayo kwa sababu vyombo vya habari viko huru kuripoti chochote ila wakati ule vyombo vya habari vilizikwa
Vyombo vya habari vilivyokuwa vinatamba ni vya musiba tu kwa ajiri ya kumsifia na vikaenda mbali kumfananish na mungu. Tanzania daima na mawio vilifungwa Mana hakutaka kukosoleqa kabisa. Mi sasa ndo mama kavifungulia kuonesh mama Hana nongwaKama vyombo vya habari vilizikwa,wewe ulipata habari kupitia nimi?
Mat*ko? Au....
Muwe mnajua humu kuna watu wenye uelewa kuliko mnavyochukulia.
Wewe unakaa na kutoa habari ulizokaririshwa kijiweni tu,ukitarajia humu woote ni ndondocha wenzako!
Hao kina Zitto hawakuwahi kuzusha uongo wa mauaji ya raia huko kigoma?
Na alipobanwa na kupelekwa eneo la tukio athinitishe au hata kuonyesha familia za wahanga mnona alishindwa?
Tumieni ubongo kufikiri .
Kama vilizikwa we umejuaje unayoyasema?We umejua hayo kwa sababu vyombo vya habari viko huru kuripoti chochote ila wakati ule vyombo vya habari vilizikwa