Wosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia

Wosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia

Kwa mtu mwenye akili ya wastani tu unatakiwa kujua umeme wa maji si wakutegemewa maana unategemea kudra za Mungu, isiponyesha mnatumia vibatari.
Kukimbilia bwawa na kuacha gas ambayo ipo kinyerez tayari ilikuwa inahitaji mitambo tu ilikuwa ni mpango wa kijinga. Gas ipo tu inyeshe mvua isinyeshe
 
Kwa mtu mwenye akili ya wastani tu unatakiwa kujua umeme wa maji si wakutegemewa maana unategemea kudra za Mungu, isiponyesha mnatumia vibatari.
Kukimbilia bwawa na kuacha gas ambayo ipo kinyerez tayari ilikuwa inahitaji mitambo tu ilikuwa ni mpango wa kijinga. Gas ipo tu inyeshe mvua isinyeshe
Jpm alikuwa sheitwani.tunamuomba mungu asizaliwe anauefananan na jpm tena
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).

Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu, kwa machungu ya kukaa vijiweni baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake, ajira hewa, utumbuzi majipu, uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana .... ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.

Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....

Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi. Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.

Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBIRI"

Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.

Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.

Tunawaona na Tunawapimia.

Alamsiki!
View attachment 2397812
Ukisahau kwamba maisha ni foleni au? Lamba tuu shubiri maana miaka 5 ulilamba asali na Sasa ni zamu ya wengine..

Mwisho utamkumbuka wewe.
 
Kinachorudishwa ni kile alichoingiza yeye kama yeye!
Na sio michango ya mwajiri iliyoingizwa kwenye mfuko husika.
Ni katika jitihada za walamba asali kutafuta uungwaji mkono hata kwa njia zenye utata mkubwa!
Nchi hii kuna watu wanatakiwa wacharazwe viboko hadharani MKUU.
 
Hamuwezi mkwepa Magufuli nchi hii.
Kivuli chake kinawatesa mwanzo-mwisho kinachoendelea ni kuweweseka tu!

Rudi darasani ili umiliki cheti kipya kama umri bado unaruhusu.
Kumtukana Magufuli hakutakuwekea Ugali Mezani.
Wewe ambaye ulikuwa unakula kwa uwepo wake madarakani ndiye unateseka,sisi tunaoishi kwa kujitegemea hatuna mateso yoyote
 
"Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).

Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu, kwa machungu ya kukaa vijiweni baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake, ajira hewa, utumbuzi majipu, uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana .... ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.

Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....

Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi. Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.

Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBIRI"

Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.

Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.

Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.

Tunawaona na Tunawapimia.

Alamsiki!
View attachment 2397812
R.I.P rais wangu, uliletwa na Mungu kutuonesha kuwa inawezekana hivyo mtu akisema haiwezekani maana yake sio muwajibilaji, Kisha Mungu akakuchukua ukapumzike.
Tunaona kuwa uliyoweza kwa kipindi kifupi wapo wanaodai sasa hayawezekani...
RIP
 
Wewe ambaye ulikuwa unakula kwa uwepo wake madarakani ndiye unateseka,sisi tunaoishi kwa kujitegemea hatuna mateso yoyote
Uzuri jamaa kaanza na angalizo kwa wale vyeti fek watakuja tema nyongo, tapika nyongo mkuu uwanja wako..
 
Back
Top Bottom