Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Vyombo vya nje tu ambavyo hakuwa na uwezo navyoKama vilizikwa we umejuaje unayoyasema?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyombo vya nje tu ambavyo hakuwa na uwezo navyoKama vilizikwa we umejuaje unayoyasema?
Jpm alikuwa sheitwani.tunamuomba mungu asizaliwe anauefananan na jpm tenaKwa mtu mwenye akili ya wastani tu unatakiwa kujua umeme wa maji si wakutegemewa maana unategemea kudra za Mungu, isiponyesha mnatumia vibatari.
Kukimbilia bwawa na kuacha gas ambayo ipo kinyerez tayari ilikuwa inahitaji mitambo tu ilikuwa ni mpango wa kijinga. Gas ipo tu inyeshe mvua isinyeshe
Ukisahau kwamba maisha ni foleni au? Lamba tuu shubiri maana miaka 5 ulilamba asali na Sasa ni zamu ya wengine.."Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).
Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu, kwa machungu ya kukaa vijiweni baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake, ajira hewa, utumbuzi majipu, uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana .... ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.
Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....
Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi. Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.
Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBIRI"
Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.
Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.
Tunawaona na Tunawapimia.
Alamsiki!
View attachment 2397812
Saizi cheti fake ni mwendo wa kucheka si umesikia mzigo unatema huko?Cheti fake katika machungu yako na msongo wa mawazo....rudi darasani kama unaweza ili ukapate cha halali.
Nchi hii kuna watu wanatakiwa wacharazwe viboko hadharani MKUU.Kinachorudishwa ni kile alichoingiza yeye kama yeye!
Na sio michango ya mwajiri iliyoingizwa kwenye mfuko husika.
Ni katika jitihada za walamba asali kutafuta uungwaji mkono hata kwa njia zenye utata mkubwa!
Namna hii ni kuhalalisha wizi kabisa. Sasa wale wote walio magerezani kwa makosa ya kugushi nyaraka siwatolewe na kulipwa fidia?Saizi cheti fake ni mwendo wa kucheka si umesikia mzigo unatema huko?
Cheti sio nyaraka,kwa nini hukuwafunga kama waligushi?Namna hii ni kuhalalisha wizi kabisa. Sasa wale wote walio magerezani kwa makosa ya kugushi nyaraka siwatolewe na kulipwa fidia?
Kilaza kweli wewe. Shetani Angeliliwa na mamilioni ya watanzania? Wakati mwingine muache bangi.Jpm alikuwa sheitwani.tunamuomba mungu asizaliwe anauefananan na jpm tena
Kilaza kweli wewe. Shetani Angeliliwa na mamilioni ya watanzania? Wakati mwingine muache bangi.
Wewe ambaye ulikuwa unakula kwa uwepo wake madarakani ndiye unateseka,sisi tunaoishi kwa kujitegemea hatuna mateso yoyoteHamuwezi mkwepa Magufuli nchi hii.
Kivuli chake kinawatesa mwanzo-mwisho kinachoendelea ni kuweweseka tu!
Rudi darasani ili umiliki cheti kipya kama umri bado unaruhusu.
Kumtukana Magufuli hakutakuwekea Ugali Mezani.
Siyo kufa anachosema mdau ni kuuwawa kwa matakwa ya mtawalaKila utawala duniani watu wanakufa, tutajie wewe rais wako unayempenda hapa Tanzania ambae kwa kipindi chake cha miaka ya utawala watu hawakufa.
R.I.P rais wangu, uliletwa na Mungu kutuonesha kuwa inawezekana hivyo mtu akisema haiwezekani maana yake sio muwajibilaji, Kisha Mungu akakuchukua ukapumzike."Siku moja mtanikumbuka, najua mtanikumbuka kwa mazuri si kwa mabaya, kwa sababu nime 'SACRIFICE' MAISHA YANGU kwa ajili ya Watanzania maskini" ~ Hayati. John Magufuli (#RIP).
Ingawa najua kuna lile kundi lililojaa sumu, kwa machungu ya kukaa vijiweni baada ya kukumbwa na "Panga" la JPM kwenye vyeti fake, ajira hewa, utumbuzi majipu, uchaguzi 2020.
Mtaendelea kutukana .... ila "UKWELI" Utaendelea kusimama mahala pake bila kutetereka.
Na Kwa mgao huu wa kulazimishwa....
Hayo maneno yanazidi kusikika masikioni mwa wengi. Na yataendelea kusikika zaidi kadri siku zinavyozidi kusonga mbele taratibu.
Wao wanalamba "ASALI" wananchi tunalambishwa "SHUBIRI"
Sasa Mabwawa ya hydroelectric yanafunguliwa kwa kuhujumiwa kama zamani,
Ili tu walioko kwenye mfumo waendelee kuleta utitiri wa miradi ya umeme kwa 10%.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye makampuni yanayouza majenereta makubwa kwenye taasisi kama mabenki na viwanda.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye upatu wa mradi wa gesi ya LNG-Mtwara unaonadiwa kimataifa.
Ili tu waendelee kupata 10% kwenye uwekezaji mpya nishati ya upepo na Solar.
Ili tu waendelee kuneemeka na 10% ya uuzaji Mafuta kwenye majenereta ya IPTL mpya.
Tunawaona na Tunawapimia.
Alamsiki!
View attachment 2397812
Uzuri jamaa kaanza na angalizo kwa wale vyeti fek watakuja tema nyongo, tapika nyongo mkuu uwanja wako..Wewe ambaye ulikuwa unakula kwa uwepo wake madarakani ndiye unateseka,sisi tunaoishi kwa kujitegemea hatuna mateso yoyote
Leo nimeoga maji lita moja na yamebaki ya kufulia...Niko na kibatari hapa
Nimemshauri atupe ushahidi kachikichiaSiyo kufa anachosema mdau ni kuuwawa kwa matakwa ya mtawala