Akili yake haiko sawa, na bado anaendelea kujieleza kwenye mitandao akifikiri atapata msaada, sijui Mengi alimuokotea wapi huyu chizi.Kosa la kwanza niloona jacky ni mjina alipost wosia mtandaoni Really? Nilimdhalau tangu siku hiyo.
Kumbe wanakuwaga na roho mbaya hivyo[emoji15]Mpumbavu Sana Jack alininyima dili mbwa yule. Simu akaniblock na email akawa hajibu.
2018 hiyo Wala sio mbali. Nikasema sawa mama acha niendelee na maisha yangu.
Yani anavyosagiwa kunguni Sasa hivi nafurahi Sana Dadeki. Ubaya ubaya.
Enyi wachaga wa kibosho , uru , Hai na duniani Endeleeni kusaga kunguni Hadi huyu mtusi wa Manyovu - kigoma aweke chupi kichwani.
SawaMbona jaziba wakati taarifa inaeleweka
ndio maana nlisema sio wote blaza!!Mkuu mtoe Gigy mapesa kwenye hao wasio na akili please
ana watoto wetu....kapiga muziki....mwache aucheze kwanza...tupo kaunta tunaangalia shoo...Mpumbavu Sana Jack alininyima dili mbwa yule. Simu akaniblock na email akawa hajibu.
2018 hiyo Wala sio mbali. Nikasema sawa mama acha niendelee na maisha yangu.
Yani anavyosagiwa kunguni Sasa hivi nafurahi Sana Dadeki. Ubaya ubaya.
Enyi wachaga wa kibosho , uru , Hai na duniani Endeleeni kusaga kunguni Hadi huyu mtusi wa Manyovu - kigoma aweke chupi kichwani.
Ndio mana anatumia nguvu nying kung'ang'ania maliKyln alimtongoza mengi. Alikuwa anamfuatilia mazingira anapokuwapo anajipitisha hadi mzee akamuona akamwita demu akapewa kazi ya P.A wa mzee ndio hadi mahusiano yakaanza huko huko.
huyu dada ana tamaa nyingi ya mali..kwa mila za kichaga atapigwa chini labda ile jumba la msituni mke wapili anapokuja huwa hapati ile heshima ya mke wa kwanza au mali kama yule wa kwanza kwanza kama ni shamba anaenda kutafutiwa pengine yeye na watoto wake na mali atapewa aanziye yeye mwenyewe huko hataingiliwa ila kuingia kwenye ukoo upate ile heshima ya mke ni ngumu na haipo kimila.kwa hio kichaga watoto wa nengi ndio watamiliki labda busara zao wampe kampan huyo mrembo alivuna nini na marehemu zaidi ya watoto na kufilisi hoja inaanzia hapo...watoto watapewa haki ya kusoma kama ukoo ukipata busara..ila mke wa pili haruhusiki kupazoea pa mke wa kwanza.
Akili yake haiko sawa, na bado anaendelea kujieleza kwenye mitandao akifikiri atapata msaada, sijui alimuokotea wapi huyu chizi.
Sent using Jamii
Ni mitego tu, pale hakukuwa na mapenzi.Akili yake haiko sawa, na bado anaendelea kwenye mitandao akifikiri atapata msaada, sijui Mengi alimuokotea wapi huyu chizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah kama ni vocal umetoka nje ya Key
Yani bro iyo Bilioni hamsini mwenyewe unaona nyingiiiiiiiiiii1/10 ya bilioni 500 ni bilioni 50...
Sasa bilioni 50 mrembo hajapata utajiri kweli?
Kumaliza bilioni moja tu sio kazi ndogo .
Ukiwa unatumia kila siku laki moja , itakuchukua miaka 25 kumaliza bilioni moja.
Sasa piga hesabu ya bilioni 50
chanzo cha mapatoafrika ndoa ni ajira
[emoji16][emoji16][emoji16]Marehemu alifanya maamuzi kwa kutumia kichwa kidogo...acha sharia ifuate mkondo wake
Aliposema wasia huu.wakipinga wapewe buku hapo.ndo.doa lilipotojeaHakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
Acha uvivu soma taarifa na utaelewa.
Hahaha ni nomare, wanachotaka ni kitonga na ngai tuHii kitu huwa hawataki Hawa wanawake wa siku hizi
Wanataka ready made men .
Wanapenda mtelezo hatari
Unakuta means ana hustle kitaa Sana kila akitafuta wa kupanga nae maisha anaambulia vibuti vibaya
Sasa siku akimake life la kueleweka ndio nzi dizaini ya sista Jack hapo wanatokea from nowhere [emoji1][emoji1787]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Wanawazimiaga wacheza golf tu Gymkhana π π πNa hapo ndio tungejua ni true love..... [emoji23][emoji23][emoji23]