Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Mpumbavu Sana Jack alininyima dili mbwa yule. Simu akaniblock na email akawa hajibu.

2018 hiyo Wala sio mbali. Nikasema sawa mama acha niendelee na maisha yangu.


Yani anavyosagiwa kunguni Sasa hivi nafurahi Sana Dadeki. Ubaya ubaya.


Enyi wachaga wa kibosho , uru , Hai na duniani Endeleeni kusaga kunguni Hadi huyu mtusi wa Manyovu - kigoma aweke chupi kichwani.
Kumbe wanakuwaga na roho mbaya hivyo[emoji15]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Mpumbavu Sana Jack alininyima dili mbwa yule. Simu akaniblock na email akawa hajibu.

2018 hiyo Wala sio mbali. Nikasema sawa mama acha niendelee na maisha yangu.


Yani anavyosagiwa kunguni Sasa hivi nafurahi Sana Dadeki. Ubaya ubaya.


Enyi wachaga wa kibosho , uru , Hai na duniani Endeleeni kusaga kunguni Hadi huyu mtusi wa Manyovu - kigoma aweke chupi kichwani.
ana watoto wetu....kapiga muziki....mwache aucheze kwanza...tupo kaunta tunaangalia shoo...
 
huyu dada ana tamaa nyingi ya mali..kwa mila za kichaga atapigwa chini labda ile jumba la msituni mke wapili anapokuja huwa hapati ile heshima ya mke wa kwanza au mali kama yule wa kwanza kwanza kama ni shamba anaenda kutafutiwa pengine yeye na watoto wake na mali atapewa aanziye yeye mwenyewe huko hataingiliwa ila kuingia kwenye ukoo upate ile heshima ya mke ni ngumu na haipo kimila.kwa hio kichaga watoto wa nengi ndio watamiliki labda busara zao wampe kampan huyo mrembo alivuna nini na marehemu zaidi ya watoto na kufilisi hoja inaanzia hapo...watoto watapewa haki ya kusoma kama ukoo ukipata busara..ila mke wa pili haruhusiki kupazoea pa mke wa kwanza.

Ila lile hekalu walijenga wakiwa na jacky
 
1/10 ya bilioni 500 ni bilioni 50...

Sasa bilioni 50 mrembo hajapata utajiri kweli?

Kumaliza bilioni moja tu sio kazi ndogo .

Ukiwa unatumia kila siku laki moja , itakuchukua miaka 25 kumaliza bilioni moja.

Sasa piga hesabu ya bilioni 50
Yani bro iyo Bilioni hamsini mwenyewe unaona nyingiiiiiiiiiii
 
Dah ...........
Ila sasa hata kama aliuandika akiwa na hitilafu kwa mukichwa hiyo 2016 si angeammend alipopona? Maana in 2018 huko alikuwa anahudhuria mikutano mingi tu na wakuu wa nchi.
 
Japo hayanihusu Ila nimefurahia maamuzi ya mahakama na yameacha uendelevu mzuri wa kisheria kwa wazee wetu wanaoendekeza ubaharia.
 
Hakuna mgonjwa anayeweza kuratibu na kuandika wosia wa kiwango chenye weredi na uhakika kwa kiwango kile. Tuache masihara, ule ni wosia wa mtu mwenye akili timamu na akili kubwa sana.
Tuseme tu, wosia alioandika Mengi akiwa na akili timamu umekataliwa na Mahakama.
Aliposema wasia huu.wakipinga wapewe buku hapo.ndo.doa lilipotojea

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu huwa hawataki Hawa wanawake wa siku hizi

Wanataka ready made men .

Wanapenda mtelezo hatari

Unakuta means ana hustle kitaa Sana kila akitafuta wa kupanga nae maisha anaambulia vibuti vibaya

Sasa siku akimake life la kueleweka ndio nzi dizaini ya sista Jack hapo wanatokea from nowhere [emoji1][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hahaha ni nomare, wanachotaka ni kitonga na ngai tu
 
Back
Top Bottom