Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Kuna Mambo huwa yanashangaza Sana 🤣🤣

Yaani kijana wa kiume aoe na kupata watoto wake halafu atajirike na kuendelea na UKWASI mpaka uzee wake ,Kisha atokee mwanamke(mke) mpya huko uzeeni ARITHISHWE NA KUTEULIWA KUWA MSIMAMIZI WA MALI NA URITHI WA HUYO MUMEWE MZEE 🤣🤣🤣🤣

Ha ha ha ha maisha hayawezi kufanywa RAHISI namna hiyo ha ha ha ha

Duuuuh kweli Kuna watu huhusudu "MTELEZO WA GANDA LA NDIZI" 🤣🤣
 
Alitaka arithi kila kitu na ndomaana aliandika wosia fake. Safi sana
 
Na wewe danga la mwendazake umepewa urithi wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…