Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Kabla mke wa kwanza kufariki (Mercy), nasikia walishagawana mali kila mtu akaendelea na maisha yake hadi umauti unamkuta hapo juzi kati.

So kwenye hilo la mali kati ya mengi na mke wa kwanza naona walisha settle.

Ila kwa wanae wakubwa nadhani ndio kuna changamoto. Kilichotukia ni kuwa mzee aliwapa watoto wake wakubwa sehemu za miliki za za makampuni yake ila sio urithi. Sasa bi dada akajiamulia yeye kuwa watoto kupewa sehemu ya mali kuzisimamia ndio mgao wa urithi.
Yes. Waligawana zamani tuu na bado akawa anamlipa kila mwezi. Ndo maana namwambia katika wosia feki hadi mali za mercy zilijumuishwa.
 
Kile chama cha wajane kilichomnunulia khanga za pole kiko wapi? Hawakujua kuwa mjane ni tapeli.
Lakin kihalali Jack kama Jack si anatakiwa nae apewe mgawo wake kama mke wa marehemu?
 
Yaani inabidi tumnyooshe kama tulivyomnyoosha huyu malaya. Watoto nao tatizo maisha yao ya kizungu sana. Sisi ndo watetezi wao. Wale ni yatima. Tutasimama nao. Wanaume jaman jifunzeni
Watoto ni mali ya jamuhuri, na jamuhuri yenyewe ndio sisi.... So lazima tuwateteee hawa watoto kwa masilahi ya baadae.

Infact kwann tusifile for custody......?!
 
Kwa nini lkn huyu dada ana nyanyasika?!!

Chama cha wanawake mteteeni mwanamke mwenzenu apate HAKI yake.

Kuna chama cha wana sheria wanawake, kuna taasisi mbali mbali..,

Kwa maoni yangu huyu Mjane wa Mengi anayo HAKI ila kuna hila zinafanyika kuhakikisha kuwa anakosa HAKI yake.

Bado anayo fursa ya kwenda mahakama za juu zaidi, kamwe asikate tamaa, sisi watetezi wa HAKI za walio dhulumiwa au kunyanyaswa tupo nyuma yake hadi atakapo fanikiwa.
 
Back
Top Bottom