Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

huyu dada ana tamaa nyingi ya mali..kwa mila za kichaga atapigwa chini labda ile jumba la msituni mke wapili anapokuja huwa hapati ile heshima ya mke wa kwanza au mali kama yule wa kwanza kwanza kama ni shamba anaenda kutafutiwa pengine yeye na watoto wake na mali atapewa aanziye yeye mwenyewe huko hataingiliwa ila kuingia kwenye ukoo upate ile heshima ya mke ni ngumu na haipo kimila.kwa hio kichaga watoto wa nengi ndio watamiliki labda busara zao wampe kampan huyo mrembo alivuna nini na marehemu zaidi ya watoto na kufilisi hoja inaanzia hapo...watoto watapewa haki ya kusoma kama ukoo ukipata busara..ila mke wa pili haruhusiki kupazoea pa mke wa kwanza.
Lile jumba kulimaintain ni mziki kwanza bibie sijui kama atakuwa na ujasiri wa kwenda kule.
 
Unajia kama mtu ana tamaa ni ana tamaa tu. Jacky kila kitu alikua anaganyiwa na still anafanyiwa. Services za magari, nyumba, lila kitu. Unataka nini tena zaidi kama si tamaa? Si angepaswa subiria tu mambo yatengamae?
Angetulia angekuja pata malipo mazuri sana sana.

On the other hand, kuna wanawake wana tamaa sana. Ndo ile mtu anaanza misuse resources. Mf. Jacky... kuifurahisha jamii na crew yako badala basi angalau hata kujiwekeza. Wapo wanandoa ambao wana biashara kwa pamoja na wanashirikiana vizuri sana. Na matunda tunayaona. Na ndo maana wanazidi kubarikiwa.
Kabisa bi dada alikuwa anataka treatments za boss lady. Hela zenyewe hajui zinatafutwaje.
 
Uko sahihi kabisa. Jacky alijilengesha na alimpora mwenzake. Yaan ilikua ni target kbs. Ni kwasababu she wanted a gucci life[emoji23][emoji23]

Huko twita ndo amekosea kabisa kupeleka jambo lake. Anakula spana za akina funjo balaa. Ngoja nikamuue tena
Ngoja na mimi nikatoe ya moyoni
 
She can’t appeal, she was not a party, alitanguliza chawa wameliwa vichwa!Hata revision Hawezi Kuomba coz she was not a party to the case. Then revision haifuti all decision Incase Kama Unafanya cure Kwenye Judgment.. I stand to be corrected Counsel
 
Ewaaaah. Na habari wanaipataga wakiyaleta mitandaoni. Halaf jacky alivyo kisoda analeta habari za private jui ya afya ya marehem mitamdaoni? Really?[emoji23][emoji23] na ya malukanga atuwekee
Anataka sympathy
 
Hole

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yeah!!! the hole ![emoji1]

One of the finest holes that every man wanna put in his "arrow" there !!

The hole that has shaken the world's Governments and their leaders ,the rich people with their fortunes .

That hole that run the world.[emoji1]

We men can resist to it [emoji23]

We are just like dogs in front of the python .

Unfortunately the old man went crazy during the last days of his life , I guess its the hole!!!



Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Yaan mpaka kesho shayo ananiuma. Jamaa yetu jamani. Mwenyezi Mungu amrehemu. Lakini marafiki zake wangeweza mshauri vyema jamani. Sijui ilikuaje. Angehamia hata kule njuguni akalima vitunguu mbona angepata hela tu jamani. Ila magu kufa tena kwa kweli..
Ile damu nilijua haijaenda bure.hivi yule jamaa yake wa kvant ametoka ndani?? Maana ndo alisababisha

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu huwa hawataki Hawa wanawake wa siku hizi

Wanataka ready made men .

Wanapenda mtelezo hatari

Unakuta means ana hustle kitaa Sana kila akitafuta wa kupanga nae maisha anaambulia vibuti vibaya

Sasa siku akimake life la kueleweka ndio nzi dizaini ya sista Jack hapo wanatokea from nowhere [emoji1][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Nyie mnataka??

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dogo nikikutana nae kwenye uzi wowote lazima tuvimbiane na kupigana biti kama tuko Brooklyn vile..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Endelea kumchana

Huwa anajikuta Kama Denzel Washington hivi au Michael B Jordan kumbe mlugaluga tu alieotea green card .

Mi kaniweka ignoring list Ila nauhakika lazima anisome somewhere [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
hawamfikishi......atakufa kwenye mali za wenyewe.......so yule mualabu alikuwa eat n run.....wakiponda mali za Machache........Amorette walikuwa client wangu....nilipiga pesa sana.....angenisikilzaga hata kiduchu tuu.....angeweza kuwa na kitu kwenye ramani ta TZ.
Who is Amorette.....?!

By the way, Arabs and Indians sio wanaume wa kudate nao ila dada zetu hawafahamu. These guys live under family wealth.

Akitoka na gari ni ya familia. Ngumu sana yeye kufanya miamala kizembe zembe.

African slay queens are the only ones who fall prey for these guys bila kujielewa kuwa watatoka patupu.
 
Kwenye Ile will iliyokataliwa Mahakamani clause 21 ilikuwa inasema kama Watoto wa Mengi wakubwa wakiamua kwenda Mahakamani basi wapewe shilingi elfu moja. [emoji2][emoji2][emoji2]

.....
Wosia Wa Jaq Unasema Watoto wakubwa Wa Mzee Mengi wakiamua kwenda kwa court wanakula buku,wakikausha wanakula zero regardless ya hisa zao zingne hizo.[emoji38][emoji38]
Duuh,am seeing things
Ule wosia ulikuwa umejawa na chuki ya wazi dhidi ya watoto wakubwa....
 
Who is Amorette.....?!

By the way, Arabs and Indians sio wanaume wa kudate nao ila dada zetu hawafahamu. These guys live under family wealth.

Akitoka na gari ni ya familia. Ngumu sana yeye kufanya miamala kizembe zembe.

African slay queens are the only ones who fall prey for these guys bila kujielewa kuwa watatoka patupu.
Klin alikuwa na hiko kikampuni....but sbb akili zake zote zilikuwa kwa mzee hakuweza kabisa kukiendesha......hakuwa ana akili kabisa kimekufa
 
Tatizo ni kwamba, mke wa kwanza na Mzee Mengi walishagawana mali nusu kwa nusu. Na Mama alikuwa anaudumia mali hizo hadi alifariki dunia. Mali hizo kugawana watoto wawili wa Mama Mengi. Hivyo mali za Mama Mengi walishagawana watoto makubwa wawili wa Mengi na mke wa kwanza. Baada ya Mzee Mengi kufariki, zile mali alizokuwa amebakiwa nazo, ndiyo zinaleta shida. Mengi alidhani wale watoto wadogo wangeridhi hizo mali walizogawana na mke wa kwanza. Sasa yameshindikana. Na mali walizo wagawana za mke wa kwanza, watagawana tena. Mbali na mali za Mama Mercy. Watoto makubwa wanapata zaidi. Mali za Mama. Na mali za Baba.
Ila ni haki yao yule ni baba yao. Na hao madogo ni wadogo zao so hata iweje hao ni ndugu hawawezi kuwatupa wadogo zao.
 
Endelea kumchana

Huwa anajikuta Kama Denzel Washington hivi au Michael B Jordan kumbe mlugaluga tu alieotea green card .

Mi kaniweka ignoring list Ila nauhakika lazima anisome somewhere [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtani wangu tu huwa napenda tukiwashiana tunakuwa kama vikatuni au wala mablack kwenye movies wakizingiana.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom