miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Hahah kama anaitwa ben atakua mzunguHivi yule ni mzungu au mpemba anajifanya muarabu?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah kama anaitwa ben atakua mzunguHivi yule ni mzungu au mpemba anajifanya muarabu?!
Ai lavi yu tu [emoji39][emoji39]Daah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] i love u
Siyo rahisi ki hivyo Kama unavyofikiri, hela iliyo kwenye mfuko wa mtu hutakiwi kujipigia mahesabu Kama vile ni yako, kingine wanaume hawapendi mwanamke hivyo wa kumuomba hela kinachofanyika ni matumizi ya kawaida tu ya kila siku, huyo Jack au mwanamke yeyote anayejielewa hakutakiwa kujiingiza kwenye kulea hawa wazee Kama alitaka mtu wa kumlea basi yeye ndo angelipa Kwanza gharama hizo hata kumjengea hotel kubwa au biashara kubwa ndo huyo binti akaenda kumlea maana mapenzi ya kweli yalikuwa kwa mke wa Kwanza.Kakutana na wenzake nao sijui walikuwa wanaogopa kumshauri, wakahisi ataacha kuwapa ofa za mitoko na miamala kisa watakuwa wamemletea ujuaji.
Kwa miaka 5 aliyoishi na yule mzee alikuwa na uwezo wa kusimamisha makampuni makubwa sana. Alitakiwa adeal na restaurants za kisasa, afungue maduka ya nguo ambazo zina wateja wa aina zote kuanzia kipato cha juu kati na chini.
Kuna biashara kama pharmacy pia ingefaa. Angekuwa na bonge la brand la pharmacy ambayo inakuwa na sifa ya kuuza dawa bora za kisasa kwa bei rafiki, kila mkoa.
Biashara za kufungua zilikuwa nyingi sana na very simple kuzianzisha na kupata connection kutoka kwa wadau wa serikalini na sekta binafsi.
Sasa dada huyu masikini, akakalia masifa ya kuvimba kichwa na kujiona yeye ni maridadi na wa daraja la juu.
We kichwa maji unadhani kuwa jaji ndio kujua kila kitu?Sasa wewe Layman unajua kuliko Jaji mwenye uzoefu wa miaka kadhaa??
Daaaamn..... Somebody better cuff me up and lock me Far in guantanamo before i catch a case up in here........ Boy u still talkin back at the ol old me..... Boy u better hush up......Where ya at boy?
Walk your talk. I’m right here ready to throw these hands.
Why you ain’t pull up?
Chicken [emoji215] [emoji1787]
Ukisoma lile andiko utaona amemtaja dada yake kuwa ata take over custody ya watoto incase yeye, mama yao akiwa hayupo.kweli damu nzito kuliko....kumbe lao moja.....aibu yao....
Unakuta Ben ni kifupi cha Bengals Chapurute Chopra.Hahah kama anaitwa ben atakua mzungu
You are all bark and no bite!Daaaamn..... Somebody better cuff me up and lock me Far in guantanamo before i catch a case up in here........ Boy u still talkin back at the ol old me..... Boy u better hush up......
U complited my day[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntu ya dili hii.. bishaaaa??[emoji23][emoji23]Ai lavi yu tu [emoji39][emoji39]
Nacho bisha mie ni kwamba mzee nae alitaka. Kama mwanaume hataki mambo ya mahusiano na hela anazo ata ufanye vipi humpati ng'oo.Duh sijui tunabishana nini sasa na upo upande wa kile ninachosema. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekwambia binti alikuwa anakaba beki zote ili amshike mzee akili. Wewe unang'ang'ania ooh mzee alikuwa na uwezo wa kupiga na kusepa, sasa si ndio nakupa sababu kwann aligandana na binti sababu binti alimkazia mzee hakuwa anataka maisha ya kuwa mchepuko, alijua mzee age imeenda so akajua hawawezi toboa zaidi ya miaka 10 mzee atasanda.....
Ila Jacky daahh;kachezea sana shilingi chooni atulie tumarafiki wamemponza.....ila dada yake mmoja mwenye busara alimshauri sana atulie ale vinono vya mchagga tajiri....yeye anataka avimiliki.....mali usiyoichuma kamwe huwezi kuimiliki....
Kuna ugumu gani kumwambia mzee, naomba nifungue biashara nijichangamshe ubongo na mimi.....Siyo rahisi ki hivyo Kama unavyofikiri, hela iliyo kwenye mfuko wa mtu hutakiwi kujipigia mahesabu Kama vile ni yako, kingine wanaume hawapendi mwanamke hivyo wa kumuomba hela kinachofanyika ni matumizi ya kawaida tu ya kila siku, huyo Jack au mwanamke yeyote anayejielewa hakutakiwa kujiingiza kwenye kulea hawa wazee Kama alitaka mtu wa kumlea basi yeye ndo angelipa Kwanza gharama hizo hata kumjengea hotel kubwa au biashara kubwa ndo huyo binti akaenda kumlea maana mapenzi ya kweli yalikuwa kwa mke wa Kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poooh mbakaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Unakuta Ben ni kifupi cha Bengals Chapurute Chopra.
Au Bengazi Aladin Sarabhi.
nnachogundua...warembo wengi (sio wote) na hasa wale ma-Miss miss sijui....akili zao ni mavi kabisa......nikiwazooom wote, wachache sana wana akili......Ukisoma lile andiko utaona amemtaja dada yake kuwa ata take over custody ya watoto incase yeye, mama yao akiwa hayupo.
Pale ndo alipoharibu atii!kaahh yaani ndugu woote wa mengi aje kumueka shemeji!!hahahahahhUkisoma lile andiko utaona amemtaja dada yake kuwa ata take over custody ya watoto incase yeye, mama yao akiwa hayupo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]Unakuta Ben ni kifupi cha Bengals Chapurute Chopra.
Au Bengazi Aladin Sarabhi.
Ain't u the one who sent them three punk azz jacks to hustle me last night while i was on the way..... Damn i had to beat em up like Tyson beat them punching bags....You are all bark and no bite!
You said you wanted that smoke.
I told you to pull up coz I got truckload of it, just for you.
But you’re still running your mouth.
Come catch these hands, sucka!
Sahihi kabisaannachogundua...warembo wengi (sio wote) na hasa wale ma-Miss miss sijui....akili zao ni mavi kabisa......nikiwazooom wote, wachache sana wana akili......
atulie tena sana......yaani ajirudi akawaombe wampe hata kamtaji......watamapa nna hakika......kuna kiunganishi pale - twinsIla Jacky daahh;kachezea sana shilingi chooni atulie tu