Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Jack tatizo alikuwa ana tamaa sana, yeye angewazuga hata kidogo.

Mtu baba yake asipate urithi hata kidogo eti alipata kwa mama yao, ngumu sana aisee.

Ni bora hata angewagana nao nusu kwa nusu, ila pamoja na yote kuwa na wale watoto wadogo hawezi kusahaulika
Nakutafuta
 
Sasa kwani kama hataki mbususu sii ataondoka tuu wapo watakao fika bei.
Upuuzi mtupu
Hakuna mwenye akili timamu alietafuta pesa kwa jasho akubali

ht mi ngekua mwanaume nisingetoa atulie azae tutalea
 
Kuna ugumu gani kumwambia mzee, naomba nifungue biashara nijichangamshe ubongo na mimi.....

Mzee alikuwa anatoa misaada ya hadi milioni 400, kusaidia vikundi mbali mbali, unataka nambia mtaji ni kiasi gani hadi mzee ashindwe kumpatia.
Si alifunguliwa biashara ya Furniture na Foundation
 
Eeh... na najiuliza huko uingereza kama bado anaenda kuchange naniliu bado ama lah na sijui nani anamgharamikia kwa sasa. Dunia imenyamaza ila anataka watu waongee.

Ila dada mrembo kama yule kisa mali ndo akajirisk vile? Mbona siwezi jamanj?
Nae ukute hakuwa mzima kiviile, cycle yake ya kina kinje acha tu

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa level ya jack biashara ya furniture haikua level yake..mie nasemea kampuni ambayo ingekuwa inadeal labda na construction huko unajilia mitender tu ..furniture,? Argh
Interior designing & decor ina relate sana na Jack na mambo ya urembo ambayo ni taste ya Jack, maana ni urembo kwenye mandhari

Halafu, we take for granted and we still have wrong holds and strong holds na aina fulani za biashara, furniture anayouza Jack sio kama ya Keko ni level nyingine...

Sio mpaka mtu akafanye construction ama aingie kwenye mining indursty, kwa wenzetu mtu anaweza fanya kazi ya kawaida tu, ila kwa level ya ustadi wa juu na akatengeneza pesa nzuri tu...

Don't be so yesterday, its a high time badilisha fikra.
 
Interior designing & decor ina relate sana na Jack na mambo ya urembo ambayo ni taste ya Jack, maana ni urembo kwenye mandhari

Halafu, we take for granted and we still have wrong holds and strong holds na aina fulani za biashara, furniture anayouza Jack sio kama ya Keko ni level nyingine...

Sio mpaka mtu akafanye construction ama aingie kwenye mining indursty, kwa wenzetu mtu anaweza fanya kazi ya kawaida tu, ila kwa level ya ustadi wa juu na akatengeneza pesa nzuri tu...

Don't be so yesterday, its a high time badilisha fikra.
Umenena kweli mkuu lakini unaangalia na soko lako..hizi mambo za interior desgn kibongongo ni wachache wanauelewa nazo..ni kama hazina hata 10yrs kuingia hapa .kupenetrate kwake nako mtihani .anywys wako wanaofford kununua hizo stuli za 3m...!
Swali...kwanini sasa ameshindwa hiyo biashaea yake ukizingatia mtaji alikua nao uhakika ?
 
Upuuzi mtupu
Hakuna mwenye akili timamu alietafuta pesa kwa jasho akubali

ht mi ngekua mwanaume nisingetoa atulie azae tutalea
Ndio sasa matokeo yake anayaona. Imekula kwake sasa. Confidence bwana confidence. Mwanamke una beauty alafu unashindwa kutumia vizuri ni ujinga.
 
mkuu furniture za Amorette ni level ya mbele, sasa kama tunanunua furmiture za kutoka nje kwanini tusinunue za kwake? dah you are better than this.
😀😀😀..unafananisha furniture za mchina na za amorette?
 
Ujinga ujinga, ni vile tu sifagilii udangaji na wanawake wanaotegemea kuolewa na wazee wajinufaishe, lakini na hiyo familia nayo ikae chini igawane urithi kwa mjibu wa Sheria kila mtu atambae zake hizo kelele za mitandaoni zitashusha brand zao na kingine Kama huyo Jack aliandikiwa kweli huo urithi maana yake na documents zote alikabidhiwa yeye hivyo aache ujinga wagawane na watoto wakubwa maana ni haki yao pia na watoto wake wanaundugu na hao wakubwa ajishushe aache mbwembwe za udangaji ajiweke matured na jamii tutamsamehe kujiolesha kwa mzee Ili ajifaidishe.
 
Ila wazee wa kichagga sijui ndo niseme ni malimbukeni sana ama ni nn sijui. Yaan umalaya tu umewajaaa. Na haya ndo hugharimu familia. Watu wanazaa zaa ovyo. Nikimuwaza billionare mrema na ngurdoto yake na vitega uchumi vingine inasikitisha sana. Imagine michepuko imejilengesha huko kisa inajua kuna fursa. Wallah tungekifa wote. Halaf bado wanathibutu kunyoosha midomo.

Huyu procorine shayo naye aliyejigongesha juzi kati hapo tabata akafa naye baada ya kudaiwa kodi 2.4billion naye hovyo kabisa. Watu wanazaa ovyo ovyo tu. Hawajali masilahi ya wanaowaacha wala vitega uchumi walivyoviandaa... mtu uzeeni ndo unakuja fanya makosa ya kipuuzi hv. Mimi naheshimu watoto niliowakuta kabla ya ndoa. Ukija nimeshafunga utafurahi. Huyo baba yenu amalizane na nyie hukohuko. Tulieni jaman kaka zetu. Kwanza mnapitapita ovyo mnajiokotea maradhi wanawake wengine wamebeba mamikosi huko wengine wachawi tafrani.

Kaka zetu wa kichagga jitathminini sana. Munaacha majanga nyuma ya pazia..
tatizo ni kale kanyama katikati ya mapaja.. yaani akili zote zinapoteage tukishakaona.. daaaha
 
Back
Top Bottom