Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua

Vicky namfahamu vizuri na familia yake,tumekuwa pamoja. Kuna mambo mengine nikiongea naweza stuka akanijua mimi nani [emoji3][emoji3][emoji3]

Yule Tapeli sina uhakika kwa sasa yuko wapi kwakweli,lakini Vicky ndiyo huyo aliishia kujikabidhi kwa Dr Likwelile ambako nako mambo yanawaka moto kati yake na Watoto wa Marehemu,anataka kuleta ujuaji wa Jacky,lakini naona kule kadhibitiwa vizuri na uzuri familia yake Vicky ni wacha Mungu so hakuna anaempa hiyo support anayoitaka kuhusu swala la mirathi ya Marehemu Likwelile.

Tunasubiri muda tumsagie kunguni pia. Hatupendi tabia mbaya za kudhuliumu mali za mayatima
 
Heee alikuwa haelewani na mama yake..itakuwa ni mkorofi basi

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Walikuwa kama mtu na Mke mwenzie hata kwa Harusi mpaka a day before Harusi ndiyo alikuja baada ya watu kumsihi sana,lakini ndoa ilivyoota mbawa Mama wa watu akakamata ndege ya asubuhi akasepa zake kurudi Mwanza,alikuwa anajiweza pia kimaisha maana alikuwa anafanya kazi BOT Mwanza.

Ana mdogo wake anaishi Ukonga wa kike wanaefuatana,ni kama Paka na Panya mahusiano yao. Usimuone kujipost IG,ni mkorofi sana hata kwa Familia yake. Ndugu wengi walimcheka mno baada ya hiyo Skendo ya Ndoa kupaa.
 
Walikuwa kama mtu na Mke mwenzie hata kwa Harusi mpaka a day before Harusi ndiyo alikuja baada ya watu kumsihi sana,lakini ndoa ilivyoota mbawa Mama wa watu akakamata ndege ya asubuhi akasepa zake kurudi Mwanza,alikuwa anajiweza pia kimaisha maana alikuwa anafanya kazi BOT Mwanza.

Ana mdogo wake anaishi Ukonga wa kike wanaefuatana,ni kama Paka na Panya mahusiano yao. Usimuone kujipost IG,ni mkorofi sana hata kwa Familia yake. Ndugu wengi walimcheka mno baada ya hiyo Skendo ya Ndoa kupaa.
Duuh...basi atakuwa amepigwa kipapai kama ana kiherehere...maana mabalaa yanamuandama balaa

Namuona insta na yeye kila kitu mume wangu this mume wangu that kama Jacky tu[emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Vicky namfahamu vizuri na familia yake,tumekuwa pamoja. Kuna mambo mengine nikiongea anaweza stuka akanijua mimi nani [emoji3][emoji3][emoji3]

Yule Tapeli sina uhakika kwa sasa yuko wapi kwakweli,lakini Vicky ndiyo huyo aliishia kujikabidhi kwa Dr Likwelile ambako nako mambo yanawaka moto kati yake na Watoto wa Marehemu,anataka kuleta ujuaji wa Jacky,lakini naona kule kadhibitiwa vizuri na uzuri familia yake Vicky ni wacha Mungu so hakuna anaempa hiyo support anayoitaka kuhusu swala la mirathi ya Marehemu Likwelile.
Mmmh huko insta anajiliza balaaa[emoji848][emoji848]

Mume wangu, mume wangu, mume wangu alinipenda mume wangu nampenda yaaan[emoji848][emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tigo walimtimua baada ya hiyo skendo,kulikuwa na pressure kubwa sana kutoka kwa Wanene wa Nchi hii,si unajua tena kuanzia Wabunge,Mawaziri wote walishachanga hadi michango ya Harusi,halafu kijana awaletee za kuleta.

Naskia Bado Yupo huko huko Tigo , kamuulizie hata Mlimaani city ,company kubwa kama zile Tigo, Vodacom normally they don’t mind about personal issues
 
Ma mke wa vasco da gama shughuli yake huwa si ndogo. Hata mwendazake anamtambua[emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222] chamba woote na bado akarudishwa msata na ving'ora.

AlivyoChamba Aliwekwa lockup na jiwe (rest house) akatolewa baada ya Mkapa kupiga simu
 
Ni jk ndo alipiga na akamwambia sitaki matatizo na wewe namtaka mke wangu hapa sasa hivi. Basi weee... akaemseshwa na ving'ora juu mpaka msoga kama malkia[emoji28]

Kwa kiburi cha Jiwe siamini kama Mkwere alikuwa na huo ubavu wa kumwamrisha hivyo. Naweza kukubaliana na aliyesema Mkapa ndiyo aliingilia kati maana Jiwe alikuwa anamsikiliza. Ukitaka kujua Mkwere kwa Jiwe na yeye alikuwa mpole,mwangalie sasa hivi alivyochangamka na kuanza kuongea baada ya Jiwe kuwa hayupo tena. Kipindi akiwa hai Mkwere alikuwa kama hayupo kabisa.Jiwe ilikuwa habari nyingine aisee [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Kwa kiburi cha Jiwe siamini kama Mkwere alikuwa na huo ubavu wa kumwamrisha hivyo. Naweza kukubaliana na aliyesema Mkapa ndiyo aliingilia kati maana Jiwe alikuwa anamsikiliza. Ukitaka kujua Mkwere kwa Jiwe na yeye alikuwa mpole,mwangalie sasa hivi alivyochangamka na kuanza kuongea baada ya Jiwe kuwa hayupo tena. Kipindi akiwa hai Mkwere alikuwa kama hayupo kabisa.Jiwe ilikuwa habari nyingine aisee [emoji119][emoji119][emoji119]
Kumbuka hapa ndo kwanza jiwe alikua fresh. Alikua hana ujanja wowote. Ama umesahau. Ndo kwanza amekua rais na ameanza kwa mbwembwe. Alikua bado hajaweka sawa rada zake. Na ujiangalia bado watu wa jk walikua wengi kwenye system so jiwe alikua muoga. Jeuri ameianza baada ya kujaza sukuma gang. Na ukiangalia mkwere alikua bado mtoto wa town
 
Kumbuka hapa ndo kwanza jiwe alikua fresh. Alikua hana ujanja wowote. Ama umesahau. Ndo kwanza amekua rais na ameanza kwa mbwembwe. Alikua bado hajaweka sawa rada zake. Na ujiangalia bado watu wa jk walikua wengi kwenye system so jiwe alikua muoga. Jeuri ameianza baada ya kujaza sukuma gang. Na ukiangalia mkwere alikua bado mtoto wa town

Ukijaribu kusearch utaipata thread iliyoongelea hilo tukio. Nakumbuka walisema ni Mkapa na Kardinal Pengo ndiyo waliweka mambo sawa,baada ya Mkwere kugonga ukuta. Ilibidi Mkwere awaombe,Jiwe hakuwa na utani pale alipoamua kitu.
 
Ukijaribu kusearch utaipata thread iliyoongelea hilo tukio. Nakumbuka walisema ni Mkapa na Kardinal Pengo ndiyo waliweka mambo sawa,baada ya Mkwere kugonga ukuta. Ilibidi Mkwere awaombe,Jiwe hakuwa na utani pale alipoamua kitu.
Basi i received the info wrongly
 
Ni jk ndo alipiga na akamwambia sitaki matatizo na wewe namtaka mke wangu hapa sasa hivi. Basi weee... akaemseshwa na ving'ora juu mpaka msoga kama malkia[emoji28]
Aisee [emoji134] [emoji134]
 
Kwa sasa ni mjane pia,Dr Likwelile amefariki nadhani mwezi February mwishoni tu hapa.
Hivi Viki aliolewa lini maana Mimi tangu tangu alipopigwa tukio la ndoa hewa sikuwahi tena kusikia habari zake Hadi juzi Kati hapo alipofiwa na mume..nikajiuliza hee kumbe bi dada aliolewa
 
Back
Top Bottom