Kuongezea huyu CR7 ana ndoa ngapi kwa miaka 2016-17 kulinganisha na huyo Messi?Mimi namkubali Messi anapokuwa uwanja akifanya uchawi wake lakini tukirudi kwenye statistics CR7 yuko juu ,tumpende tu Messi wetu na pia tukubali kuwa takwimu zinamkubali Ronaldo! Messi anaonekana kuridhika na vile alivyo na hana hofu akuwa na mpira sababu kuu ana nafasi ndogo mno ya kukosea anapokuwa na mpira wakati ronaldo yuko focused na muanagalufu na anajua ana njia zaidi ya kumi za kupoteza mpira kwa kuwa hana desturi ya kuwa fedhehesha sana wapinzani wake bali huwa adhibu nyavuni kwao!