VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
Hahahahhahahahahahah.......Nimecheka hadi nimekaa chini!!Hiyo event mi sikumbuki kabisa!!hahah tatizo smiles wengine wanajaribu kuishi kwenye utopia...while I agree kwamba "the truth shall set you free" but do you know what is the truth? is there something like truth in the world?halafu, ivi tukiwa wawili tunakuwa tunacheat ama vipi manake majuzi tu tulikuwa bondeni apo tukidumisha mila....orait wazee hawacheat wanadumisha mila ila sasa wewe ulicheat LOL
Hommie...hapa kikazi au maslahi binafsi?hahah tatizo smiles wengine wanajaribu kuishi kwenye utopia...while I agree kwamba "the truth shall set you free" but do you know what is the truth? is there something like truth in the world?
halafu, ivi tukiwa wawili tunakuwa tunacheat ama vipi manake majuzi tu tulikuwa bondeni apo tukidumisha mila....orait wazee hawacheat wanadumisha mila ila sasa wewe ulicheat LOL
Hakuna bahati mbaya hapo....Wakati unafanya u were well aware of what u are doing!Na sababu itakayokufanya ukae kimya ni kwa sababu u intend to repeat the same mistake again... Typical guys!
Aisee...Kiongozi...CAN you do it....au ndo unamwambia mkiwa Serengeti plains? LOL
No! Never grudges!Just some useful knowledge on how u operate....you have some grudges against us...or what,...?
Mheshmiwa Kizer amenipata ebu muulize aiweke into simpler words!Bado sijakupata....But I'll leave it as it is for now!
Smiles....!No! Never grudges!Just some useful knowledge on how u operate....
Hivi ni factors zipi humfanya mme au mke au BF ama GF kucheat?
nasema hivi coz tukiwatunajua chanzo ni rahisi kuzuia ili isitokee tena tuishi kwa amani.
Mkuu Wilbald
Hizo red bold....hao viumbe hawacheat ila wanadumisha mila...mwanaume hacheat bana........unaweza kushindana na nature?
Yes....Kimey dear!Smiles....!
Agreed?mmmmmmhhhhhhh
You can never go against nature......Yo my knowledge, it has never been useful...LOL I thot this 'maternity' leave of yours would have changed u but behold, you are still the same:juggle: