WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

WW1, WW2 na kinachoendelea sasa Middle east vilipangwa mwaka 1871 kama barua hii ni kweli

Wewe uliye scholar wa book of Enoch kilichokuaminisha hata ukipita posta mpya wengine unaopishana nao ni machotara wa shetani na binadamu. Hadi sasa zaidi ya kukanusha na kukitetea kitabu chako hujatoa quotation hata moja ya hicho unachodhani unacho chenye kukupa nguvu ya kuamini hayo.
Factless arguments with no evidence from your trusted book.
Hujui hata hao machotara wanaozungumziwa huko wanazungumziwa kwa muktadha upi ndiyo maana unatoa mfano kama wa posta mpya,hili linaonesha hujui kabisa kuhusu jambo hili na ninapokushauri ujifunze nakuwa na maana kubwa kabisa...

Unataka nitoe mstari kwenye kitabu hiki ili iweje?Ku verify nini hasa?
Kuhusu mistari huo nakupata nimekupa kifungo kingine future kulingana na kitabu cha ufunuo hicho nilichokielezea cha miaka 1000 ni tofauti kabisa na hiki kilichelezewa na petro ambacho hakina uhusiano wowote na story zako za kitabu chako cha siri ambacho huna ujasiri wa kutoa huko mafungu.
Unachoandika hapa nakielewa kabisa ni kutokana na kutoelewa,suala nililokupa huo mstario siyo hilo la miaka 1000 bali ni kukuonesha kuwa Shetani kafungwa kweli kinyume kama na wewe unavyofikiria....

Suala la miaka 1000 ni suala lingine na sijataka kulijadili maana unaonekana hujalielewa kabisa na nimekushauri ukatafute kwanza kitabu halisi ndio uje hapa....
Kwa maelezo ya hicho kifungu cha petro kama unakiamini kitaua hoja zako zote za kwenye kitabu hicho unachotakakukirandanisha na bibilia.
Kwanza. Kifungo kilitokea baada ya uasi kule mbinguni. Kama shetani angeachwa na maraika zake na Uwezo Ule Ule aliokuwa nao alipokuwa lucifer basi jini moja tu lingetoshA kudanganya ulimwengu wote. Kifungo kinachozungumziwa hapa ni limitation ya nguvu za shetani. Sasa kitabu chako kinadanganya eti baada ya uzinifu huo na kupelekea safina ndipo hayo mashetani yakafungwa kama ndiyo basi usingeamini uwepo wa nephili baada ya gharika maana wazinzi wa kishetani wako kifungoni.
Ni wapi umetoa hiyo dhana yako ya kupunguziwa nguvu?

Ni wapi maandiko yanasema jambo hili kama siyo maneno yako tu?

Mstari wa 2 Petro 2:4 uko wazi kabisa kuwa Shetani na malaika zake wapo kifungoni wakisubiri hukumu,wewe unasema wamewekewa limitation ya nguvu,unatoa wapi haya?

Mkuu wakati mwingine kana umeshindwa jambo ni hekima tu kusema ukweli au ukakaa kimya nitakuelewa lakini siyo kuanza kutoa hoja kama hizi,unaharibu kabisa aisee....

Umesoma wapi kwamba kifungo kilitokea baada ya uasi kule mbinguni na siyo baada ya kipindi fulani baada ya uasi?

Ndio maana shetani Kuna vitu hawezi kuvifanya mfano kujua unawaza nini.Ndio maana bibilia inasema yeye anaangalia mwenendo wako na tamaa zako na kudesign jaribu ambalo kwa jinsi ulivyo huwezi kuchomoka. Ndio maana hata alipomuona yesu ananjaa alimletea jiwe liwe mkate
Inawezekana hapa tunamjadili Shetani mwingine kabisa ambaye unamjua wewe tu.Ngoja nikuulize kitu....

Wakati Shetani anamjaribu Yesu alimjaribu physical au spiritual? Ukijibu hili nitaanza kukuelewa vyema.....
. Pia Kuna mahala tunaambiwa anaweza kukushawishi kwa kukuletea mawazo mabaya ila sio kufanya mapenzi na wewe ili uzae satanic offspring
You are contradictin yourself....

Asiyeweza kujua unawaza nini anawezaje kukuletea mawazo at the same time?

Yaani ni sawa na useme mtu hawezi kukupiga ngumi kwasababu yupo mkoa tofauti na wewe halafu hapo hapo unasema anaweza kukufinya....

Kivipi?
 
Mkuu,hawa UFOs siyo hadithi....

Unamfahamu mtu mmoja anaitwa Phil Scheneider?



Jamaa aliuawa mwaka 1996,ukiangalia utajua alikuwa nani na nini kilimfanya auawe...

Walifanya majaribio zaidi ya 13 ya kumuua wakashindwa lakini walikuja kufanikiwa baadaye,angalia hiyo documentary mkuu.....

Poa pouwa.
Uwepo au kutokuwepo kwa ufo au aliens sidhani kama kuna uhusiano na sexual intercourse Kati ya wanadamu na shetani baada ya gharika kwa elimu yako hadi utakapotoa evidence ya kimaandiko baada ya hiyo gharika. Hao wakaanani unaowakazania sio watu wa ajabu ni wajukuu wa Nuhu tu soma mwanzo 10:6 (Pure human being) na walikuwepo vipindi vyote.
 
Uweke na quotation chief " Mungu alisema Shatani ni mungu wa dunia hii" imeandikwa wapi.
Ninachofahamu shetani katupwa ulimwenguni na tumepewa Ole! Maana yeye ni mshtaki wetu kwa Mungu sio mzazi mwenzetu aje kufanya mapenzi na watu ili kuzaa hybrid ufunuo 12:10.
Yaani ni kutushawishi tumkosee Mungu ili atushtaki kwake kama sisi ni wakosaji maana anajua Mungu hapendelei.
Unasoma biblia kweli mkuu?

Umenisikitisha sana tena sana hata hili hulijui na nimeishiwa nguvu kabisa kuendeleza mjadala huu na wewe,haya maandiko yatakujibu yenyewe....

2 Kor 4:4
4 ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


Yohana 12:31
31 Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje
.

Yohana 14:30
30 Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Yohana 16:11
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.

Shetani hajawahi kusema "Nimepewa hivi vyote" Bali alisema " haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia"
Dunia na vyote viijazavyo ni mali ya Mungu Zab 34. NA kama unaamini yesu ni Mungu basi Shetani alikuwa anamuonyesha Mungu Mali zake. Ni Sawa wewe unaonyesha nyumba yangu alafu uniambie ukinifuta viatu nitakupa wakati tayari ni yangu. Shetani alikuwa anamrubuni yesu ili apigwe magoti.
Mkuu unasikitisha sana,sijui kama hata huwa unasoma maandiko maana hadi naona uvivu na naona kama napoteza muda tu kujadiliana na wewe mambo haya.....

Haya pingana na Biblia sasa...

Luka 4:6
6 Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo.

Hakuna hata kimoja ambacho Yesu alipinga kwenye hizo kauli za Shetani.....
Sasa unashangaa Shetani kudanganya?
Wapi nimeshangaa ndugu yangu?
Tofauti ya Mungu na Shatani shetani hawezi kuumba kitu na hana kitu, shetani anatumia hivi vikivyopo kudanganywa na kuchanganya watu
Shetani hajaumba sawa,lakini unadanganya kuwa hana kitu,rudi ukasome biblia yako vizuri....
 
Poa pouwa.
Uwepo au kutokuwepo kwa ufo au aliens sidhani kama kuna uhusiano na sexual intercourse Kati ya wanadamu na shetani baada ya gharika kwa elimu yako hadi utakapotoa evidence ya kimaandiko baada ya hiyo gharika. Hao wakaanani unaowakazania sio watu wa ajabu ni wajukuu wa Nuhu tu soma mwanzo 10:6 (Pure human being) na walikuwepo vipindi vyote.
Nimekupa maandiko yanayoonesha kuwa Wanefiuli walikuwepo hata baada ya gharika,kama unayakana hayo hutakubali hata nikikupa ushahidi wa namna ipi....

Nitakuwa napoteza muda tu....

Nimekupa hiyo documentary moja tu ili uone kwamba UFO siyo hadithi,kwa kuona hilo utajua kwamba yapo mengine ni halisi kama vile ambavyo ulivyokuwa unaona hilo ni hadithi.Humo utajua kwamba kuna viumbe ambao siyo binadamu ambao ni responsible na teknolojia yote hii unayodhani imegunduliwa na wanadamu....

Utaanza kuuona ukweli fulani hapo,tumia muda wako kuangalia hiyo....
 
Mengi uliyoandika hapa ni kweli na nakubaliana nawe mkuu....

Hapa ndipo tunapotofautiana sasa....

Hebu niambie Mungu alikuwa anamaanisha nini hapa?

Danieli 2:43
43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.


Hapo kuna "watu" ambao maandiko yanasema watajichanganya na mbegu za wanadamu,ni akina nani hao? Maana hao inaonekana wazi hao hawatakuwa ni wanadamu.....

Tusaidiane hapo mkuu....
Danieli 2:43
43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Mkuu daniel 2, imejieleza na kujitafsiri yote haihitaji external au mafunuo au tafsiri.

Nebu-Statue-03-Rock.jpg

Udongo uliochanganyikana na chuma ni Mamabaki ya Roman empire. Na wamejieleza watajaribu kujichanganya ili wasimame wawe strong kama zamani lkn Hawatafanikiwa wala kudumu. Ni moja ya vitu tunavyovijadili Humu na Mipango ya Kuunganisha Ulimwengu. Ndio maana Mungu alimwambia Daniel Kifunge hicho kitabu maana ni cha wakati wa mwisho yaani huu tulionao.

Kuchangamana huku sio kati ya Mwanadamu na Majini au SHETANI KUMPA MIMBA MTU NA KUZAA SHETANIMTU, Bali Wafalme waliosalia wa Roman Empire Yale Mataifa 10 na Baadae 7 yatajaribu kujichanganya hadi kwa damu ili watawale tena Ulimwengu. Soma Historia hata ya wakina King George au Wakina Malikia Elizabeth na wafalme wengine wengi wa Ulaya jinsi walivyojaribu kuona ili kuleta Umoja. Tena Inasemekana na wewe umesema mahali Hata Marais wa marekani (Wazungu US wotye walitokea Ulaya) kunauwezekano wote wakawa na Undugu wa damu ukitraceback. Tena Hata TRUMP na MAMA HILLARY wamejaribu kufuatiliwa inaonekana wanatokana na Damu ya koo za kifalme huko ulaya yaani ni ndugu kama ukirudi miaka ya nyuma saana mababu zao. Na huu mkakati hauna uhusiano na Mapepo bali ni mipango hii hii tunayodhani inaweza kuwa kweli
 
Danieli 2:43
43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

Mkuu daniel 2, imejieleza na kujitafsiri yote haihitaji external au mafunuo au tafsiri.

Nebu-Statue-03-Rock.jpg

Udongo uliochanganyikana na chuma ni Mamabaki ya Roman empire. Na wamejieleza watajaribu kujichanganya ili wasimame wawe strong kama zamani lkn Hawatafanikiwa wala kudumu. Ni moja ya vitu tunavyovijadili Humu na Mipango ya Kuunganisha Ulimwengu. Ndio maana Mungu alimwambia Daniel Kifunge hicho kitabu maana ni cha wakati wa mwisho yaani huu tulionao.

Kuchangamana huku sio kati ya Mwanadamu na Majini au SHETANI KUMPA MIMBA MTU NA KUZAA SHETANIMTU, Bali Wafalme waliosalia wa Roman Empire Yale Mataifa 10 na Baadae 7 yatajaribu kujichanganya hadi kwa damu ili watawale tena Ulimwengu. Soma Historia hata ya wakina King George au Wakina Malikia Elizabeth na wafalme wengine wengi wa Ulaya jinsi walivyojaribu kuona ili kuleta Umoja. Tena Inasemekana na wewe umesema mahali Hata Marais wa marekani (Wazungu US wotye walitokea Ulaya) kunauwezekano wote wakawa na Undugu wa damu ukitraceback. Tena Hata TRUMP na MAMA HILLARY wamejaribu kufuatiliwa inaonekana wanatokana na Damu ya koo za kifalme huko ulaya yaani ni ndugu kama ukirudi miaka ya nyuma saana mababu zao. Na huu mkakati hauna uhusiano na Mapepo bali ni mipango hii hii tunayodhani inaweza kuwa kweli
Madai ya kusema kwamba chuma na udongo no Roman Empire ni UONGO MKUU na hili nina mpango wa kuja kuanzisha thread yake siku moja na sijui kama una access ya jukwaa la dini....

Huu uongo nashindwa kuelewa tu ni kwanini watu wanashindwa kuuona lakini namshukuru Mungu uongo huu wengi wameashaanza kuuona maana ni uongo wa ajabu kabisa ambao unalihusisha kanisa katoliki na mpiunga Kristo wakati hakuna kitu kama hiki....

Hakuna miongoni mwa mataifa ambayo Yesu alisema atakuja kuyaangamiza wakati wa siku za mwisho ambayo ni mataifa ya ulaya,hakuna hata moja,huu ni uongo mkuu ambao ulitiwa chumvi na mwanamama mmoja hivi....

Najua umeshindwa kabisa kuona nilichotaka kukuonesha kwenye Danieli 2:43 kwasababu ya dhana yako hii na sijui kama utanielewa....

Maandiko yameeleza kuwa kuna ambao watajichanganya na MBEGU za wanadamu hii inaonesha kwamba hawatakuwa wanadamu,wakati mwingine naona tu tunazidi kwenda machakani na thread yako hii....

Ngoja nipige kimya mkuu nikuache na thread yako.....
 
Ungekuwa umefanya jambo la maana sana kama utasema ni kwa namna ipi hiyo Mwanzo 6 yote inakana kuwepo kwa hawa Wanefili baada ya gharika wakati hiyo Mwanzo 6:4 imeeleza wazi kabisa kuwa walikuwepo wakati huo na baada ya hapo na siyo kusema tu kuwa "inaeleza wazi kuwa hawakuwepo kabla ya hapo"...

Pia,sijui unachokataa ni kipi kati ya kuwepo hawa machotara wa Kishetani au kutokuwepo kabisa.Maandiko yanaeleza wazi kabisa kuwa matokeo ya ngono baina ya "waana wa Mungu na binti za wanadamu ndiyo hao Wanefili,sasa unaposema "kama walikuwepo" unaonesha kuwa una mashaka na uwepo wake wakati maandiko yapo wazi kabisa kuwa jambo hili lilikuwepo na hata baada ya hapo....

Nimekataa maelezo yako unayodhani kwamba yanatokana na kitabu cha Enoch kwasababu nilikueleza ni ya uongo kwa asilimia 95 na nikakushauri uende ukafanye utafiti upya.Hii nilikuwa ninamaana kwamba utakapofanya utafiti utagundua kwamba kuna copy zaidi ya mbili za kitabu hiki na kuanzia hapo utaanza kujua kwamba inawezekana umesoma kitabu ambacho sicho na utaanza kufanya utafiti,lakini naona hutaki kabisa kufanya jambo hili na umeamua tu kushikilia uongo,pole sana...

Yuda alimquote Enoch na akasema kwamba alitabiri juu ya watu hao.Hili linaonesha kwamba Enoch aliandika kuhusu jambo hili.Hili halipingiki.Sasa hapa nani kadanganya?

Yuda aliwezaje kunukuu kisichokuwepo? Au alidanganya kuwa Enoch alitoa unabii kuhusu watu hao?

Kama kitabu hiki kiliandikwa ili kionekane kufanana na alichosema Yuda,Je, Yuda alinukuu kitu gani? Kimantiki haiwezekani kabisa ulichokisema kwasababu Yuda anakiri uwepo wa maandiko ya Enoch ambayo yalikuwepo zamani sana kabla ya yeye kuwepo....

Kumbuka ni Yuda mwenyewe anayesema kwamba Enoch alisema aliyosema na siyo mimi au mtu mwingine anasema hivyo.Nadhani ili hoja yako iwe na mashiko ungesema kwamba kipo kitabu cha Enoch ambacho ni sahihi na ambacho Yuda alikinukuu lakini siyo kukana kabisa uwepo wake maana jambo hili litakukwama kooni tu,hutaweza kutema wala kumeza....

Kitabu cha Enoch na uhalali wake hautegemei ni nani anakikubali au kiligunduliwa mwaka gani.Hoja yako ya kitabu hiki kugunduliwa sijui mwaka gani haina mashiko kwasababu unaweza kugundua kitu leo lakini kikawa kimetengenezwa miaka hata 4000 iliyopita huko.Unaposema kwamba inawezekana kiliandikwa miaka mingi baada ya Yuda ili waweke maneno ya Yuda bado unakuwa unachekesha kwasababu Yuda mwenyewe alisema Enoch alisema hiki na kile siyo kitabu cha Enoch kinasema Yuda alisema hiki na kile.Haiwezekani kabisa niandike kitu leo halafu miaka 100 baadaye aje mtu aninukuu halafu iwe sijaandika kitu kilichonukuliwa....

Tofauti ya Yuda na Enoch ni miaka zaidi ya 3000,ni lazima Yuda alikuta maandiko ya Enoch ndiyo akajua kuwa mtu huyo alitoa unabii kuhusu aliowataja,sasa sijui ni kwasababu tu hutaki kukikubali au nbi kitu gani,lakini mkuu hili huna namna ya kulikana kwamba kitabu cha Enoch kilisomwa na wanafunzi wa Yesu na hata Yesu mwenyewe huenda....

Kuna mambo huyaelewi na kwasababu hii nakushauri urndelee kutafiti.Ni hivi,kila unachokiona kinatokea humu duniani kinahusiana na mambo ya kiroho.Iwe uchumi,Siasa au kingine chochote,kama unataka kujadili kwa namna stahiki jadili kwa uhalisia wake....

Sijui inaposema consipiracy unakuwa unamaanisha nini na kwa mujibu upi lakini kama unamaanisha mambo ambayo hayana ushahidi kwa mujibu wa sayansi unayoisoma shuleni na kuiona kwenye vyombo vya habari basi hata Biblia yako ni consipiracy vile vile kwasababu kwa mujibu wao yaliyoandikwa humo hayana ushahidi....

Kama siyo kwa maana hiyo basi yote niliyosema hapa siyo consipiracy kwakuwa ni mambo halisi ambayo kundi fulani la watu wameamua tu kuyakataa kama wewe unavyoamua kukataa kitabu cha Enoch kwasababu zako mwenyewe na siyo kwa uhalisia....
Maelezo mengi mazuri lakini hadi sasa hujaquote chochote kwenye kitabu cha VAlid unachodai wewe umekifanyia research miaka nane. Hututendei haki. Kama Umeweza Kuamini Yuda ndiye kamcopy Enoch, Basi inabidi ukubali 95% unayodai ni Uongo kwa maana Humohumo ndimo na panaonyesha Hicho unachosema Yuda amecopypaste.
Sasa Mkuu unaamini Uwepo wa kitabu unachohofu kukitumia, Ni busara kukiweka Pembeni hadi siku utakapomaliza Research yako Tuendelee kuamibi Bibilia kama reliable source.

Wana wa Israel walitunza taarifa kwa njia Mbili "Oral traditions" na " Writtings", Ndio maana hata paul 2Timothy 3:8 amewaquote Wachawi wa Kimisri Yane na Yambre wakati vitabu vya musa havijawaandika. Kama Yuda kasema, Enoch alisema, haimaanishi Enoch aliandika kitabu mkuu. Hapo kuna mchezo mchafu wa watu kutaka kudumbukiza quote ya bibilia ili kuvalidate uozo mwingine kama nilivyokuorodheshea mwanzo.
Maoni yangu lakini sio lazima ukubali
 
Madai ya kusema kwamba chuma na udongo no Roman Empire ni UONGO MKUU na hili nina mpango wa kuja kuanzisha thread yake siku moja na sijui kama una access ya jukwaa la dini....

Huu uongo nashindwa kuelewa tu ni kwanini watu wanashindwa kuuona lakini namshukuru Mungu uongo huu wengi wameashaanza kuuona maana ni uongo wa ajabu kabisa ambao unalihusisha kanisa katoliki na mpiunga Kristo wakati hakuna kitu kama hiki....

Hakuna miongoni mwa mataifa ambayo Yesu alisema atakuja kuyaangamiza wakati wa siku za mwisho ambayo ni mataifa ya ulaya,hakuna hata moja,huu ni uongo mkuu ambao ulitiwa chumvi na mwanamama mmoja hivi....

Najua umeshindwa kabisa kuona nilichotaka kukuonesha kwenye Danieli 2:43 kwasababu ya dhana yako hii na sijui kama utanielewa....

Maandiko yameeleza kuwa kuna ambao watajichanganya na MBEGU za wanadamu hii inaonesha kwamba hawatakuwa wanadamu,wakati mwingine naona tu tunazidi kwenda machakani na thread yako hii....

Ngoja nipige kimya mkuu nikuache na thread yako.....
usipaniki toa mitazamo yako na mwingine atoe yake. Soma daniel Mbili Ameona Sanamu na tafsiri yake imeandika ni Ufalme, Unaweza kusema sio Rumi, Lakni Bado kataja Umedi na Uajemi, Babylon, Wayunani na Ufalme huo wa mwisho wa chuma haujatajwa jina na mwisho wa Siku ndio ukaja kwenye hilo fungu la chuma hichohicho. Inabidi ueleze HAO MASHETANI KUFANYA MAPENZI wanaingilia wapi wakati walikuwa wanaongelea watu na Mmoja ya hao wafalme ndio alikuwa anahadithiwa hayo mambo na akaambiwa kabisa WEWE nebuchanezer ndio ile sehemu ya kichwa cha dhahabu. Naanza kupata mashaka kama hata unamepapitia hapo

Hadi sasa Unasema kitu ni uongo bila kuonyesha Ukweli ni upi kwenye kitu hichohicho unachokipinga. Hauni kama unafeli mkuu.


3 And whereas thou sawest the iron mixed with miry clay, they shall mingle themselves by the seed of men; but they shall not cleave one to another, even as iron doth not mingle with clay.

Hao They wameelezewa hapo juu na Ni watu,
Soma chapter nzima uone content na context ya story nzima chief.
 
Uko sahihi kwa sehemu,kwa mtazamo wangu,kwamba hawa watu waliiba haya maarifa mahali na kutaka kuaminisha dunia kuwa wao ndiyo walikuwa na akili zaidi.....

Nakubaliana na wewe kuwa wanachokisema au walichokijua ni sehemu ndogo sana ya maarifa yenyewe.Ni ujinga sana kudhani kuwa eti leo ndiyo tuna maendeleo makubwa kuliko wakati mwingine wowote ule.Ni ujinga mkubwa kudhani kuwa eti binadamu anaendelea kupata uekewa kubwa zaidi wa mazingira na yeye mwenyewe....

Nsema ni ujinga kwa sababu kama tuikiamini hivyo basi tutakuwa tunakubaliana na dhana ya hawa wazungu kuwa hao akina Plato ndiyo binadamu wenye akili zaidi kwasababu kila tunachokisoma shuleni leo kinakuwa na misingi yao.Lakini kama tukiamua kukataa na kuuona ukweli mkubwa kuwa binadamu waliwahi kuwa na maendeleo zaidi ya haya ambayo leo tunayo leo ni kwamba hawa watu wanaosemwa kuwa majiniaz ukweli ni kwamba hakuna kitu kabisa wanachokisea au walichoikifanya hakikuwa na wala siyo kitu kipya kabisa.....

Mada yako inahusiana kwa sehemu kubwa sana na hawa watu kwakuwa mbinu ya udanganyifu inayofabnyika leo na itakayoendelea kufanyika wao wana sehemu kubwa sana ya mbinu hiyo.Namna ya ku shape akili ya binadamu na namna yake ya kufikiri ambayo leo inatumika inawahusu sana hawa watu.Naomba niweke angalizo kuwa,kusema inawahusu kwa sehemu kubwa simaanishi kuwa wao ndiyo kila kitu bali wao wamechaguliwa tu kuwa front line wakati nyuma yao kuna wakubwa zaidi ya mara milioni ya hawa tunaowaona hapa....

Jambo hili linafanana na masuala mazima ya utajiri wa dunia na wale ambao wewe na mimi tunaambiwa kuwa ni matajiri wa dunia.Hawa unaowasoma kwenye forbes ni watu tu waliowekwa mbele.Utajiri wa dunia na dunia nzima iko kwenye mikono ya wengine ambao kamwe hutakuja kuwasikia,wako siku zote kuifanya dunia iwe kama watavyo wao na hata namna ya kufikiri uliyonayo ni wao wameishape ikawa hivyo....
Aisee
 
Maelezo mengi mazuri lakini hadi sasa hujaquote chochote kwenye kitabu cha VAlid unachodai wewe umekifanyia research miaka nane. Hututendei haki. Kama Umeweza Kuamini Yuda ndiye kamcopy Enoch, Basi inabidi ukubali 95% unayodai ni Uongo kwa maana Humohumo ndimo na panaonyesha Hicho unachosema Yuda amecopypaste.
Sasa Mkuu unaamini Uwepo wa kitabu unachohofu kukitumia, Ni busara kukiweka Pembeni hadi siku utakapomaliza Research yako Tuendelee kuamibi Bibilia kama reliable source.
Umekuwa ukidai sana ninukuu hiki kitabu,unataka ninukuu ili iweje?

Yaani nanukuu kwasababu ipi?

Pia,siyo mimi ninayesema kuwa YTuda alimnukuu Enoch bali Yuda mwenyewew amesema hivyo,ni kwanini hili unalikwepa?

Nilichosema ni kwamba,miongoni mwa maandiko yako uliyoleta hapa kuhusu kitabu cha Enoch asilimia 95 ni uongo,hii inamaana kuna ukweli mdogo na huu ni miongoni mwa ukweli,wewe unageuza tena tena bila hata ku reason ni kivipi ninachosema mimi ni uongo....
Wana wa Israel walitunza taarifa kwa njia Mbili "Oral traditions" na " Writtings", Ndio maana hata paul 2Timothy 3:8 amewaquote Wachawi wa Kimisri Yane na Yambre wakati vitabu vya musa havijawaandika. Kama Yuda kasema, Enoch alisema, haimaanishi Enoch aliandika kitabu mkuu. Hapo kuna mchezo mchafu wa watu kutaka kudumbukiza quote ya bibilia ili kuvalidate uozo mwingine kama nilivyokuorodheshea mwanzo.
Maoni yangu lakini sio lazima ukubali
Nani amekuambia kuwa hakukuwa na kitabu kilichowaandika Yane na Yambre? Kutokuandikwa kwao kwenye vitabu vya Musa himaanishi kuwa hawakuandikwa....

Source za mambo ziko nyingi sana mkuu.Mfano ukitaka kujua Nimrod aliishi namna ipi huwezi kukuta jambo hili kwenye Biblia,kwasababu halimo kwenye Biblia basi halijaandikwa?

Namna yako ya kufikiri inastaajabisha sana aisee.....
 
usipaniki toa mitazamo yako na mwingine atoe yake. Soma daniel Mbili Ameona Sanamu na tafsiri yake imeandika ni Ufalme, Unaweza kusema sio Rumi, Lakni Bado kataja Umedi na Uajemi, Babylon, Wayunani na Ufalme huo wa mwisho wa chuma haujatajwa jina na mwisho wa Siku ndio ukaja kwenye hilo fungu la chuma hichohicho. Inabidi ueleze HAO MASHETANI KUFANYA MAPENZI wanaingilia wapi wakati walikuwa wanaongelea watu na Mmoja ya hao wafalme ndio alikuwa anahadithiwa hayo mambo na akaambiwa kabisa WEWE nebuchanezer ndio ile sehemu ya kichwa cha dhahabu. Naanza kupata mashaka kama hata unamepapitia hapo

Hadi sasa Unasema kitu ni uongo bila kuonyesha Ukweli ni upi kwenye kitu hichohicho unachokipinga. Hauni kama unafeli mkuu.


3 And whereas thou sawest the iron mixed with miry clay, they shall mingle themselves by the seed of men; but they shall not cleave one to another, even as iron doth not mingle with clay.

Hao They wameelezewa hapo juu na Ni watu,
Soma chapter nzima uone content na context ya story nzima chief.
Wewe jamaa ni hatari kabisa....

Kwanza sijapanic maana hiyo siyo kawaida yangu.Nafahamu kila mmoja ana uhuru wa kutoa mawazo yake na hilo siwezi kulizuia na kama siwezi kulizuia siwezi kuhangaika na kitu ambacho sina uwezo wa kukizuia....

Niliponukuu danieli 2:43 sikunukuu ili kuonesha kuwa malaika wa shetani waliingiliana kimwili na binadamu bali nilikuonesha kwamba wakati huu wa mwisho kuna aina ya viumbe ambao siyo binadamu pire watataka kujichanganya na binadamu,sijui kama umeona tofauti hapo...

Suala la kuingiliana kimwili lipo kwenye Mwanzo 6 huko na siyo hapa,unatakiwa uwe unaelewa flow ya hizi post ili uweze kuelezea ni kitu gani kinazungumziwa kwenye post husika na siyo kuchukulia jumla jumla tu....

Nimekueleza kwamba,kama wote walikuwa ni wanadamu hakukuwa na haja ya kuandika "nao watataka kujichanganya nafsi zao na MBEGU za wanadamu",kwanini wametofautisha "wao" na mbegu za "wanadamu"....

Ni sawa na useme kulikuwa na ajali barabara ya Samora na wamekufa watu wanne na viumbe wengine wanne,halafu uje useme wale viumbe nao ni watu wakati unaona kabisa context ya maelezo hayo inakuonesha kuna binadamu na viumbe wengine ambao siyo binadamu maana kama kungekuwa na binadamu wote hakukuwa na haja ya kuwatofautisha hivyo....
 
Wewe jamaa ni hatari kabisa....

Kwanza sijapanic maana hiyo siyo kawaida yangu.Nafahamu kila mmoja ana uhuru wa kutoa mawazo yake na hilo siwezi kulizuia na kama siwezi kulizuia siwezi kuhangaika na kitu ambacho sina uwezo wa kukizuia....

Niliponukuu danieli 2:43 sikunukuu ili kuonesha kuwa malaika wa shetani waliingiliana kimwili na binadamu bali nilikuonesha kwamba wakati huu wa mwisho kuna aina ya viumbe ambao siyo binadamu pire watataka kujichanganya na binadamu,sijui kama umeona tofauti hapo...

Suala la kuingiliana kimwili lipo kwenye Mwanzo 6 huko na siyo hapa,unatakiwa uwe unaelewa flow ya hizi post ili uweze kuelezea ni kitu gani kinazungumziwa kwenye post husika na siyo kuchukulia jumla jumla tu....

Nimekueleza kwamba,kama wote walikuwa ni wanadamu hakukuwa na haja ya kuandika "nao watataka kujichanganya nafsi zao na MBEGU za wanadamu",kwanini wametofautisha "wao" na mbegu za "wanadamu"....

Ni sawa na useme kulikuwa na ajali barabara ya Samora na wamekufa watu wanne na viumbe wengine wanne,halafu uje useme wale viumbe nao ni watu wakati unaona kabisa context ya maelezo hayo inakuonesha kuna binadamu na viumbe wengine ambao siyo binadamu maana kama kungekuwa na binadamu wote hakukuwa na haja ya kuwatofautisha hivyo....
Niliponukuu danieli 2:43 sikunukuu ili kuonesha kuwa malaika wa shetani waliingiliana kimwili na binadamu bali nilikuonesha kwamba wakati huu wa mwisho kuna aina ya viumbe
hapo nyuma ulisema UFO/ALLIENS ni product ya unachokipinga hapo juu
Rudia Daniel 2. Wao wewe unasema ALIENS/UFO. Naiona shida hapo.
Maana unaweza kuniambia Yesu alipomwambia Petro Rudi nyuma wewe Shetani kesho utasema Petro alikuwa UFO.
Mkuu Ukisoma hapo daniel 2, mtiririko unazungumzia KINGDOMS (Ufalme wa wanadamu). Unataka kuchomekea UFO hapo kimakosa kabisa. Na wao maana watawala waliokuwepo, watajichanganya na wanadamu wengine ili kutengeneza upamoja wa damu ili waendelee kutawala lakini itashindikana.
 
Niliponukuu danieli 2:43 sikunukuu ili kuonesha kuwa malaika wa shetani waliingiliana kimwili na binadamu bali nilikuonesha kwamba wakati huu wa mwisho kuna aina ya viumbe
hapo nyuma ulisema UFO/ALLIENS ni product ya unachokipinga hapo juu

Rudia Daniel 2. Wao wewe unasema ALIENS/UFO. Naiona shida hapo.
Maana unaweza kuniambia Yesu alipomwambia Petro Rudi nyuma wewe Shetani kesho utasema Petro alikuwa UFO.
Mkuu Ukisoma hapo daniel 2, mtiririko unazungumzia KINGDOMS (Ufalme wa wanadamu). Unataka kuchomekea UFO hapo kimakosa kabisa. Na wao maana watawala waliokuwepo, watajichanganya na wanadamu wengine ili kutengeneza upamoja wa damu ili waendelee kutawala lakini itashindikana.
Dah!!!

Narudia tena,niliponukuu Danieli 2:43 sikuwa namaanisha kukuonesha tendo la ngono bali lengo langu ni kukuonesha kwamba kuna viumbe ambao siyo binadamu.....

Pili,Nimeshasoma sana kuhusu huu unabii na nimeshafanya uitafiti na bado naendelea kufanya utafiti kuuhusu,hicho ambacho nimekuonesha hapo inawezekana kuwa ni UFO's au viumbe wowote ambao siyo binadamu pure lakini watakuwa wakioonekana kuwa ni kama binadamu,jambo hili ninakueleza kutokana na namna maandiko yalivyotofautisha wanadamu na hao wengine....

Unapotoa huu mfano wako wa Petro inaonesha hunielewi kabisa na kwakuwa hujui hili unakwenda kutaka kuonesha tatizo ni langu wakati ni lako....

Tatu,haiwezekani,narudia tena haiwezekani kabisa watawala watake kujichanganya na watu wengine halafu wasisemwe kuwa ni wanadamu,usichotaka kukikubali hapo kinakufanya ujichanganye sana.Watawala ni binadamu,Mungu alijua ni kwanini akawatofautisha hao wengine na binadamu sawasawa na sababu iliyomfanya akawatofautisha wana wa Mungu na wanadamu.....

Hoja yangu ya msingi ni context ya maelezo hayo,yanataka msomaji aelewe nini.Ukiangalia mwandishi amesema wazi kuwa "watajichanganya nafsi zao na wanadamu",hii inaonesha kwamba kuna ambao hawatakuwa wanadamu watakaotaka kujichanganya na wanadamu,hili liko wazi kabisa.Kama unalikataa likatae kwa sababu zako mwenyewe....
 
Nimefanya utafiti wangu kwa kiasi nilichoweza na bado naendelea kufanya utafiti huu.Kuna mengi nisiyoyajua na machache sana nayajua....

Nina miaka zaidi ya 8 ninafanya utafiti huu,ni miaka michache sana ukilinganisha na wale ambao nawaona na nimewakuta humo kwenye utafiti wa haya mambo ambao wana zaidi ya miaka 30 hivyo najiona kama katoto kachanga kwao.....

Ninachoweza kuwahimiza nyote hapa ni kupenda kusoma na kutafiti.Kuna watu wanadhani ishu kama za UFO's ni hadithi wakati zipo kabisa na kuna watu wamepoteza maisha yao kwa kusema hadharani....

Mambo ambayo tunatamani kuyajua yana gharama yake.Tupo na tunaendelea kufanya utafiti,unaweza kudhani najua mengi kumbe ninachokijua ni kama punje ya mchanga kwenye fukwe ya bahari....
Unaweza kushare nasi utafiti ukikamilika na je unahusu nini in specific
 
Umekuwa ukidai sana ninukuu hiki kitabu,unataka ninukuu ili iweje?

Yaani nanukuu kwasababu ipi?

Pia,siyo mimi ninayesema kuwa YTuda alimnukuu Enoch bali Yuda mwenyewew amesema hivyo,ni kwanini hili unalikwepa?

Nilichosema ni kwamba,miongoni mwa maandiko yako uliyoleta hapa kuhusu kitabu cha Enoch asilimia 95 ni uongo,hii inamaana kuna ukweli mdogo na huu ni miongoni mwa ukweli,wewe unageuza tena tena bila hata ku reason ni kivipi ninachosema mimi ni uongo....

Nani amekuambia kuwa hakukuwa na kitabu kilichowaandika Yane na Yambre? Kutokuandikwa kwao kwenye vitabu vya Musa himaanishi kuwa hawakuandikwa....

Source za mambo ziko nyingi sana mkuu.Mfano ukitaka kujua Nimrod aliishi namna ipi huwezi kukuta jambo hili kwenye Biblia,kwasababu halimo kwenye Biblia basi halijaandikwa?

Namna yako ya kufikiri inastaajabisha sana aisee.....

Kama hautaki kukinukuu, mimi nimesema nimekinukuu na kimesema hayo ambayo wewe unadai 5% ni kweli na 95% ni uongo.
Utadhibitisha vipi kwa kutokinukuu ili uonyeshe basis ya hizo asilimia zako.
Na nimeelezea kwamba Humohumo unaposema 95% nimetoa ya uongo ndio Nukuu unayosema Yuda aliicopy paste kwa Mujibu wa Yuda Moja Ndio Hiyo nukuu inaonekana.
Unakwepa nini chief.
Hapa hatutafuti nani yuko sahihi bali kila mmoja anatoa mtazamo wake huru kwa ushahidi ikiwezekana

usisahau kusema na basis ya grading ya hizo asilimia
 
Dah!!!

Narudia tena,niliponukuu Danieli 2:43 sikuwa namaanisha kukuonesha tendo la ngono bali lengo langu ni kukuonesha kwamba kuna viumbe ambao siyo binadamu.....

Pili,Nimeshasoma sana kuhusu huu unabii na nimeshafanya uitafiti na bado naendelea kufanya utafiti kuuhusu,hicho ambacho nimekuonesha hapo inawezekana kuwa ni UFO's au viumbe wowote ambao siyo binadamu pure lakini watakuwa wakioonekana kuwa ni kama binadamu,jambo hili ninakueleza kutokana na namna maandiko yalivyotofautisha wanadamu na hao wengine....

Unapotoa huu mfano wako wa Petro inaonesha hunielewi kabisa na kwakuwa hujui hili unakwenda kutaka kuonesha tatizo ni langu wakati ni lako....

Tatu,haiwezekani,narudia tena haiwezekani kabisa watawala watake kujichanganya na watu wengine halafu wasisemwe kuwa ni wanadamu,usichotaka kukikubali hapo kinakufanya ujichanganye sana.Watawala ni binadamu,Mungu alijua ni kwanini akawatofautisha hao wengine na binadamu sawasawa na sababu iliyomfanya akawatofautisha wana wa Mungu na wanadamu.....

Hoja yangu ya msingi ni context ya maelezo hayo,yanataka msomaji aelewe nini.Ukiangalia mwandishi amesema wazi kuwa "watajichanganya nafsi zao na wanadamu",hii inaonesha kwamba kuna ambao hawatakuwa wanadamu watakaotaka kujichanganya na wanadamu,hili liko wazi kabisa.Kama unalikataa likatae kwa sababu zako mwenyewe....
Narudia tena,niliponukuu Danieli 2:43 sikuwa namaanisha kukuonesha tendo la ngono bali lengo langu ni kukuonesha kwamba kuna viumbe ambao siyo binadamu.....

HAO VIUMBE AMBAO SIO BINADAMU, KWA MAELEZO YAKO MWANZO NI PRODUCT YA NGONO KATI YA MASHETANI NA WATU WAKAZALIWA, NA MIONGONI MWAO NI UFO/ALLIEN. MIMI NIKASEMA SIKATAI KAMA KUNAUWEZEKANO WA KUWAPO VIUMBE AMBAO SIO BINADAMU WALA MARAIKA WALA MAJINI MAANA MUNGU ALIUMBA TRILLIONS OF PLANETS AMBAZO YAWEKEZNA KUKAWA NA VIUMBE HUKO. ILA DUNIA HII TULIUMBIWA SISI WANDAMU TUITAWALE, BAADAE TUKAWACONATMINATED NA DHAMBI TENDO AMBALO WENGINE WANATAFSIRI TUMUKABIDHI SHETANI, HAPO NDIO INAKUJA CONCEPT YAKO YA SHETANI KUJIONA NI MMLIKI WA HII DUNIA AMBAYO KWA MANTIKI HIYO NINAKUBALI JAPO MMILIKI HALISI NI MUUMBAJI ILA WALIOUMBIWA WAKAIKABIDHI KWA KIUMBE ASIYEHISIKA.

SASA UNAKWEPA NINI KUWA MZIZI WA WEWE KULETA FUNGU HILI AMBALO KWANZA NI LA KIUNABII. NA PILI KINACHOELEZWA DANIEL 2 NDICHO KINAELEZWA DANIEL7 KWA MAFUMBO MENGINE NA BAADHI YA HAYA ZA UFUNUO NI KUTAKA KUTUAMINISHA MACHOTARA WA KIPEPO NDIO HAO WANAOZUNGUMZIWA HAPA. BIBILIA ILIJITAFSIRI YENYEWE KUWA HAPO HILO ENEO LET BIBLE TRANSLATE ITSELF MKUU. PIA SIO LAZIMA HUO UFALME WA CHUMA BAADAE CHUMA NA UDONGO IWE NI ROMA AU VATICAN KWA MSINGI MMOJA TU FALME TATU ZIMETAJWA NA BIBILIA ILA WA MWISHO HAUJATAJWA JINA KWA MSINGI WA UKWELI KWAMBA UFALME HUO NI WA WAKATI KITABU HICHO KILICHOAMLIWA KIFUNGWE KITAFUNGULIWA NA KUNAUWEZEKANO KINGEPOTEZWA. PIA HAPO KAMA UNAPINGA SIO HIKI BASI SEMA KILE NI KIPI NDIO UTARATIBU CHIEF.

TUKUMBUKE TULIKOTOKA PIA. MADA TUNAKUBALIANA ILA MTAZAMO NI KUWA WALIO NYUMA YA HAYO YA WORLD WARS MIMI NASEMA NI BINADAMU WEWE UNASEMA NI BINADAMU AMBAO NI CHOTARA WA KISHETANI YAANI WANA DNA MAKE UP YA KISHETANI HIVYO WANAAKILI YA ZIADA. PROOF YAKO NI BIBILIA NA BOOK OF ENOCH AMBACHO HATA SASA UNAKWEPA KUTUPA UKWELI ULIOMO.
 
Unasoma biblia kweli mkuu?

Umenisikitisha sana tena sana hata hili hulijui na nimeishiwa nguvu kabisa kuendeleza mjadala huu na wewe,haya maandiko yatakujibu yenyewe....

2 Kor 4:4
4 ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


Yohana 12:31
31 Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje
.

Yohana 14:30
30 Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Yohana 16:11
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.


Mkuu unasikitisha sana,sijui kama hata huwa unasoma maandiko maana hadi naona uvivu na naona kama napoteza muda tu kujadiliana na wewe mambo haya.....

Haya pingana na Biblia sasa...

Luka 4:6
6 Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo.

Hakuna hata kimoja ambacho Yesu alipinga kwenye hizo kauli za Shetani.....

Wapi nimeshangaa ndugu yangu?

Shetani hajaumba sawa,lakini unadanganya kuwa hana kitu,rudi ukasome biblia yako vizuri....
Mkuu unasikitisha sana,sijui kama hata huwa unasoma maandiko maana hadi naona uvivu na naona kama napoteza muda tu kujadiliana na wewe mambo haya.....

Haya pingana na Biblia sasa...

Luka 4:6

6 Ibilisi akamwambia, Nitakupa wewe enzi hii yote, na fahari yake, kwa kuwa imo mikononi mwangu, nami humpa ye yote kama nipendavyo.
maana nimesoma kitabu cha mathayo 4 wewe umeleta Luka 4 nakubali uko sahihi wala huwezi kunisikitika kwa kuwa nimesoma story hiyo hiyo iliyoandkiwa kwa mtazamo tofauti:
Again, the devil took Him to a very high mountain and showed Him all the kingdoms of the world and their glory. 9“All this I will give You,” he said, “if You will fall down and worship me.” ambayo inasema kama nilivyosema japo LUKA 4 inasema hivyo unavyosema wewe. Nakubaliana wote wako sahihi maana naamini Bibilia haijichanganyi japo tukio moja linaweza kujadiliwa kwa mitazamo tofauti. kama
Umenisikitisha sana tena sana hata hili hulijui na nimeishiwa nguvu kabisa kuendeleza mjadala huu na wewe,haya maandiko yatakujibu yenyewe....

2 Kor 4:4
4 ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.


Yohana 12:31
31 Sasa hukumu ya ulimwengu huu ipo; sasa mkuu wa ulimwengu huu atatupwa nje.

Yohana 14:30
30 Mimi sitasema nanyi maneno mengi tena, kwa maana yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu kwangu.


Yohana 16:11
11 kwa habari ya hukumu, kwa sababu yule mkuu wa ulimwengu huu amekwisha kuhukumiwa.


Mkuu unasikitisha sana,sijui kama hata huwa unasoma maandiko maana hadi naona uvivu na naona kama napoteza muda tu kujadiliana na wewe mambo haya.....

Haya pingana na Biblia sasa...

nakukubalia uko sahihi. Shetani sio tu ni muungu bali ni baba wa miungu mingine yote iliyopo hapa duniani. Kuwa mkuu wa ulimwengu ni kwa sababu Wakuu wa ulimwengu tulikwa ni sisi sasa Tulivyokubali kuingia mkenge pale bustanini tukamkabidhi cheo hicho lkn ni bado haibadilishi ukweli kwamba ni kama mpangaji tu, mwenye Nyumba ni Mungu. Ndio maana tunaambiwa atachomwa Moto.
Samahani kwa kukusikitisha ila kusikufanye utokomee gizani. Mijadala kama hii inatoa opportunity ya Kurefine kile tunachokiamini na kapata fursa ya kujua umepungua wapi ujirekebishe. Sibishi masahihisho yako nakubaliana nayo. Paoja na Ukuu wake huu wa mpito Mwanadamu anamuamini Mungu au kukubali kuwa mfuasi wa Mungu WITH HIS FREE MIND na hata siku ya Hukumu hakutakokea mtu atakyesema MIMI NILIKUWA CHOTARA WA KISHETANI NDIO MAANA NILISHINDWA KUKUFUATA MUNGU wenzangu waliokufuata walikuwa ni PURE BINADAMU.
every human being will be judged according to the decisions he made with his free uncontaminated mind.
 
Haya yote yanayoongelewa na tunayoyashuhudia inaelezwa ni kazi ya lucifer. Kwa uelewa wangu mdogo, nafaham lucifer alipambana na Kristo Yesu akashindwa akapokonywa funguo ya kuzimu na akafungiwa huko akisubiri hukumu. Najiuliza hii mipango yote shetan aliipanga na kuanza kuitekeleza kabla hajafungiwa kuzimu au akiwa kuzimu ana uwezo wakutekeleza mipango yake?
Swali zuri.
Pia moses kulola ktk maisha yake ya kitumishi alikuwa anamuomba Mungu vitu viwili;
Kutokuongezeka kwa nywele zake za kichwani kwasababu hakupenda kushikwa kichwa na kinyozi akiamini kuwa kushikwa kichwa na watu wasio wacha Mungu ingempelekea shetani kupata nafasi ya kumjeruhi.

Pili aliomba Mungu amuoneshe shetani uso kwa uso.

Yote haya yalitimia kabla hajafa.

Kama shetani amefungwa je kulola hakumuona ?

Au kuna exception gani za utendani wa shetani na kifungo chake,
Au aliyefungwa ni mpinga kristo , yule asi.
 
Mkuu,hawa UFOs siyo hadithi....

Unamfahamu mtu mmoja anaitwa Phil Scheneider?



Jamaa aliuawa mwaka 1996,ukiangalia utajua alikuwa nani na nini kilimfanya auawe...

Walifanya majaribio zaidi ya 13 ya kumuua wakashindwa lakini walikuja kufanikiwa baadaye,angalia hiyo documentary mkuu.....

GALILEO GALILEI, NOCOLA TESLA, EISTAIN, NEWTON,ABBOT, PYTHAGORAS, ARCHMEDES, MARCONI, EDSON, MENDEL, NA WANASAYANSI WOTE KWA CONCEPT ZAKO HAWA NI ADVANCED HUMAN BEING WITH SATANIC GENES. AU WAMEWEZA KUFANYA SCIENTIFIC INVENTIONS NA WENGINE WANAENDELEA HATA KENYA JAMAA KAGUNDUA MOBILE MONEY, MBONGO MWINGINE JUZI TU AMEGUNDUA WATERFILTER USING NANOTECHNOLOGY WOOOTE HAWA NI PRODUCT YA STATANIC CONTAMINATION. NAOMBA MAELEZO ZAIDI NA EVIDENCE YA HAYO. maana hata galileo mwenyewe alisema

I do not feel obliged to believe that the same God who has endowed us with sense, reason, and intellect has intended us to forgo their use. Galileo Galilei

THEY ARE ALL HUMAN BEING, PURELY HUMAN BEING MKUU BORN WITH FREE CAPACITY OF CHOOSING GOOD OR EVIL.
KAMA MIPANGO HII IKITHIBITIKA NI KWELIL BASI INAFANYWA NA FREE SINFUL MEN BUT NOT SATANIC OFFSPRINGS
 
Back
Top Bottom