Ya Adani na Wachina: Hii ndiyo sababu kuu inayofanya Wanasiasa wetu wawachukie Wazungu

Ya Adani na Wachina: Hii ndiyo sababu kuu inayofanya Wanasiasa wetu wawachukie Wazungu

Umeandika vitu visivyoeleweka. Dpw ni mmiliki wa mzigo unaotka drc, Burundi na Rwanda kivipi? Wanamiliki hiyo mizigo kivipi?

Pili hoja yako ilikua kwa sasa kuna ufanisi na ongezeko la mapato, wakati tupo sisi wenyewe kulikua hakuna ufanisi Wala ongezeko la mapato. Hapo ndio tulianza huu mjadala. Haya ya sgr, Mara drc, mara Rwanda yanakuja wapi?
Ufanisi wa mapato tukiwepo sisi wenyewe ni stori tu za kina Padre Kitima na watu wa aina yake, ukarabati ulifanyika lakini teknolojia za kisasa sisi hatuna.

Volumes zetu sisi wenyewe ni ndogo, pia elimu za utendaji kazi kwetu bado ni ndogo tuache tu hizi siasa.

Ni uwekezaji unaofanyika bandarini ni sawa na ukodishaji ule ule tunaofanya kwa majumba yetu. Mali ni yetu sisi baada ya muda mkataba unaisha tunaendelea kumiliki sisi.

DPW alisaini mkataba wa kwanza na Tshisekedi wa kununua mizigo kule DRC akasaini mkataba mwingine na Kagame ambao pia unahusisha ujenzi wa Depot kubwa kule Kigali mwishoni akasaini mkataba na Samia hapa Tz ambao unajumuisha matumizi ya bandari na biashara nzima ya uchukuzi wa mzigo kutoka DRC mpaka unapopanda meli kuelekea huko ughaibuni.
 
Sababu kuu ndo hiyo wanatoa sana Rushwa na hawana longolongo kwenyw kutoa Rushwa jambo linalopendwa sana na Viongozi wa Kitanzania.

Wachina na Wahindi ni wahuni wa kiwango cha SGR
Adani hakuna.sehemu.aliyowekeza hajatuhumiwa kwa dhuluma na rushwa ni muhuni kama.wahuni.wa.kichina hawa.waliojaa hapa.

Huwa najiuliza kwanini nchi zingine.zinapata.investor kutoka continental.europe ila sisi tunapata.wachina hawana.utu. adabu. Hawalipi wafanyalazi hela.nzuri wapo wapo tuu na bado tunawakumbatia.

Huwezi kwenda Rwanda ukasikia mchina ana kiwanda cha misumari itasikia mspain. Mtaliani au mfaransa
 
Ufanisi wa mapato tukiwepo sisi wenyewe ni stori tu za kina Padre Kitima na watu wa aina yake, ukarabati ulifanyika lakini teknolojia za kisasa sisi hatuna.

Volumes zetu sisi wenyewe ni ndogo, pia elimu za utendaji kazi kwetu bado ni ndogo tuache tu hizi siasa.

Ni uwekezaji unaofanyika bandarini ni sawa na ukodishaji ule ule tunaofanya kwa majumba yetu. Mali ni yetu sisi baada ya muda mkataba unaisha tunaendelea kumiliki sisi.

DPW alisaini mkataba wa kwanza na Tshisekedi wa kununua mizigo kule DRC akasaini mkataba mwingine na Kagame ambao pia unahusisha ujenzi wa Depot kubwa kule Kigali mwishoni akasaini mkataba na Samia hapa Tz ambao unajumuisha matumizi ya bandari na biashara nzima ya uchukuzi wa mzigo kutoka DRC mpaka unapopanda meli kuelekea huko ughaibuni.
Hujui unachoongea, Sina uhakika kama hata unasoma unachoandika. Angalia Tena unavyojichanganya hata unachoandika hakieleweki

Issue ilikua ufanisi na mapato, nimekuambia serikali hii hii ya Samia iliwapa tuzo TPA kwa ufanisi bora, ikapokea gawio kutoka TPA pamoja na mapato kuongezeka. Wewe unaaandika vitu ambavyo hata havieleweki
 
Pamoja na yote Mzungu ni mtu aliyenyooka sana!

Mzungu kawekeza sana kwenye suala la utawala bora ambapo kupitia utawala bora amejenga Taasisi na mifumo imara sana zinazosimamia mambo na kuhakikisha yanaenda bila shida.

Kunyooka huku kwa Mzungu ndiko kumefanya sasa aanze kupoteza sana Africa. Hii ni kwa sababu Viongozi wa Afrika wanapenda sana Rushwa. Kupenda Rushwa kwa Viongozi wa Afrika ndiko kumefanya kwa sasa bara la Africa kuongoza kwa uwekezaji wa Wachina na Wahindi.

Mchina na Mhindi ni watu wanaoamini kuwa ili jambo lake liende lazima atoe Rushwa. Endapo siku ikitokea ukafanyika uchunguzi huru wa namna kandarasi za Wachina na Wahindi zinavyopatikana hapa Tanzania na Afrika nawaambia wananchi wetu wanaweza choma nyumba zote za Viongozi wetu sio tu Tanzania bali Afrika nzima.

Waendesha Mashtaka wa Marekani kufungua Mashtaka dhidi ya tajiri wa kihindi Adani ni funzo kubwa kwetu kuwekeza kwenye katiba bora inayojenga na inayosimamia mifumo imara. Mifumo isiyotoa nafasi kwa rushwa na kuhakikisha fedha zote za walipakodi zinatumika kwa maendeleo ya wananchi tu na sio kuwanufaisha wachache.

Hapa Tanzania Adani kapewa sehemu ya Bandari yetu. Huwezi sikia hata siku moja PCCB wakifanya uchunguzi. Na kamwe hatutosikia. Hii ni kwa sababu Adani ameingia Tanzania kupitia Ofisi namba moja.

Sio mara ya kwanza kwa mzungu kuonyesha umuhimu wa Mifumo na Taasisi imara kwenye utawala bora. Tanzania tulishawahi rudishiwa chenji yetu ya Rada baada ya Wazungu kugundua kuwa kampuni zao zilitupiga na wakazibana zikarudisha kweli.

Kuna kipindi Bandarini Wazungu waligundua kuna kampuni zao zilitoa Rushwa kupata tenda za kufunga mifumo ya tehama kwenye Bandari yetu. Ila pamoja na Ile kampuni kubanwa nchini mwao hapa kwetu hatujasikia hadi leo wahusika wakifikishwa Mahakamani.

Kusema kweli ili tuendelee tunawahitaji sana Wazungu kuliko hawa wachina na wahindi wanaojenga miradi ya hovyo iliyo chini ya kiwango tena kwa pesa nyingi ambazo zinaenda kutumika kama Rushwa kuwanufaisha wachache.

Najua huu uzi hautapata wachangiaji wengi kwa sababu Watanzania wengi ni mazuzu. Hawaelewi unyeti wa kodi zao na wanawaona wanasiasa kama miungu ambao wanaweza fanya chochote na hela zao bila kuhojiwa au kufanywa chochote.
View attachment 3158628

Ipo siku

Lord denning
Qatar
Adani afungwe.
 
Haya Takukuru ingieni kazini sasa kuchunguza kandarasi ya Adani pale TICS.
 
Kama anatumia hila kuiba shida ni wewe unaye ibiwa kihila bila kutumia akili kukwepa hizo hila.
Kuna watu wawili wote wa hovyo. Mmoja mwizi ( mweupe ) na mweusi mjinga, mbumbumbu na mbinafsi. Tangu nimekubaliana na nawe kipengele cha ujinga wa mtu mweusi, nawe niunge mkono juu ya uovu wa kila binadamu mweupe kwa mtu mweusi
 
Pale New York wakati Mwalimu kutoka Pugu sekondari alipoleta barua kutoka TANU ikitaka UN itoe uhuru kuwa eti Watanganyika waishajua kusoma na kuandika.
Majibu ya mlezi mkoloni Mwingireza yalikuwa ili Tanganyika waweze kujitawala itachukua miaka mingine 70.

Sasa tunalalamika nini?
Mtoto akililia wembe mpe.
 
Pale New York wakati Mwalimu kutoka Pugu sekondari alipoleta barua kutoka TANU ikitaka UN itoe uhuru kuwa eti Watanganyika waishajua kusoma na kuandika.
Majibu ya mlezi mkoloni Mwingireza yalikuwa ili Tanganyika waweze kujitawala itachukua miaka mingine 70.

Sasa tunalalamika nini?
Mtoto akililia wembe mpe.
Tuliwahi sana kujitawala. Ilipaswa hadi saivi tuwe tunatawaliwa
 
Kuna watu wawili wote wa hovyo. Mmoja mwizi ( mweupe ) na mweusi mjinga, mbumbumbu na mbinafsi. Tangu nimekubaliana na nawe kipengele cha ujinga wa mtu mweusi, nawe niunge mkono juu ya uovu wa kila binadamu mweupe kwa mtu mweusi
Naunga mkono hoja mkuu.
 
Hujui unachoongea, Sina uhakika kama hata unasoma unachoandika. Angalia Tena unavyojichanganya hata unachoandika hakieleweki

Issue ilikua ufanisi na mapato, nimekuambia serikali hii hii ya Samia iliwapa tuzo TPA kwa ufanisi bora, ikapokea gawio kutoka TPA pamoja na mapato kuongezeka. Wewe unaaandika vitu ambavyo hata havieleweki
Tuzo TPA ni kitu kimoja lakini ongezeko la mzigo utakaopita bandarini baada ya SGR kuwa imeshaanza kazi kikamilifu ni kitu kingine tofauti kabisa.

Tuzo kutolewa pamoja na baadhi ya magawio ya mashirika na taasisi kwenda hazina huku hundi za mfano zikitolewa mbele ya Rais wa awamu ya tano, zile zilikuwa ni siasa za sanaa tu.

Kuna baadhi ya wakurugenzi hayati JPM aliwatimua baada ya kugundua kuwa wamecheza mchezo wa usanii kupeleka gawio hazina wakati kiuhalisia taasisi zao hazikuwa na uwezo ule kifedha.

DPW anaongeza tija bandarini, ukubali au ukatae huo ndio ukweli halisi.
 
Wazungu wapokee rushwa, uwasingizie Waafrika. Kwa lengo gani?

Kuwatukuza watoa na wala rushwa?

Huu uzi umepindishwa kwa kiasi kikubwa sana, na kama kawaida ya wazungu pindi umalaya wao kwenye biashara unapowekwa hadharani wanasingizia wengine!

Weka taarifa kamili hapa, uone uozo wa mzungu.
 
Pamoja na yote Mzungu ni mtu aliyenyooka sana!

Mzungu kawekeza sana kwenye suala la utawala bora ambapo kupitia utawala bora amejenga Taasisi na mifumo imara sana zinazosimamia mambo na kuhakikisha yanaenda bila shida.

Kunyooka huku kwa Mzungu ndiko kumefanya sasa aanze kupoteza sana Africa. Hii ni kwa sababu Viongozi wa Afrika wanapenda sana Rushwa. Kupenda Rushwa kwa Viongozi wa Afrika ndiko kumefanya kwa sasa bara la Africa kuongoza kwa uwekezaji wa Wachina na Wahindi.

Mchina na Mhindi ni watu wanaoamini kuwa ili jambo lake liende lazima atoe Rushwa. Endapo siku ikitokea ukafanyika uchunguzi huru wa namna kandarasi za Wachina na Wahindi zinavyopatikana hapa Tanzania na Afrika nawaambia wananchi wetu wanaweza choma nyumba zote za Viongozi wetu sio tu Tanzania bali Afrika nzima.

Waendesha Mashtaka wa Marekani kufungua Mashtaka dhidi ya tajiri wa kihindi Adani ni funzo kubwa kwetu kuwekeza kwenye katiba bora inayojenga na inayosimamia mifumo imara. Mifumo isiyotoa nafasi kwa rushwa na kuhakikisha fedha zote za walipakodi zinatumika kwa maendeleo ya wananchi tu na sio kuwanufaisha wachache.

Hapa Tanzania Adani kapewa sehemu ya Bandari yetu. Huwezi sikia hata siku moja PCCB wakifanya uchunguzi. Na kamwe hatutosikia. Hii ni kwa sababu Adani ameingia Tanzania kupitia Ofisi namba moja.

Sio mara ya kwanza kwa mzungu kuonyesha umuhimu wa Mifumo na Taasisi imara kwenye utawala bora. Tanzania tulishawahi rudishiwa chenji yetu ya Rada baada ya Wazungu kugundua kuwa kampuni zao zilitupiga na wakazibana zikarudisha kweli.

Kuna kipindi Bandarini Wazungu waligundua kuna kampuni zao zilitoa Rushwa kupata tenda za kufunga mifumo ya tehama kwenye Bandari yetu. Ila pamoja na Ile kampuni kubanwa nchini mwao hapa kwetu hatujasikia hadi leo wahusika wakifikishwa Mahakamani.

Kusema kweli ili tuendelee tunawahitaji sana Wazungu kuliko hawa wachina na wahindi wanaojenga miradi ya hovyo iliyo chini ya kiwango tena kwa pesa nyingi ambazo zinaenda kutumika kama Rushwa kuwanufaisha wachache.

Najua huu uzi hautapata wachangiaji wengi kwa sababu Watanzania wengi ni mazuzu. Hawaelewi unyeti wa kodi zao na wanawaona wanasiasa kama miungu ambao wanaweza fanya chochote na hela zao bila kuhojiwa au kufanywa chochote.
View attachment 3158628

Ipo siku

Lord denning
Qatar
Bonge moja la uzi, hongera sana mkuu kwa upevu huu! Asians ni wawekezaji wa hovyo sana, ni vile tu wengi wetu ni wazito kung'amua huu uhalisia!
 
Ngozi nyeusi ni takataka
Umedadavua hilo vipi? Takataka Babako, mamako, Mjomba wako, nyanya yako na familia yako yote. Koma kuwaita watu weusi takataka. Shenzi wahead

mkuu kulinganisha na China na India. India wapo juu sana kwenye shule za IT na Uhasibu kutuzidi.

Wahindi ndio watoa Rushwa moja hapa Tanzania-warudishwe makwao-na ndio maana nasema tungo'oke kwenye Jumuiya ya Madola ambayo ndio inayowapa hawa Wahindi Trade Advantage.

Jiridhie na Treaty ya Waingereza baada ya kushindwa kuwarudisha wahindi makwao baada ya kuwatumia kama watumwa wa kujenga reli zao Duniani.
China wanatoa elimu za kiubunifu kwa wanafunzi wa mashule yao tangia wakiwa na umri mdogo sana huwezi kulinganisha na afrika yetu hii iliyojaa roho mbaya, wizi, ushirikina na ujinga mwingine wa aina hiyo.
Wamasai wanafanya nini? Wakurya wanafanya nini? Kama sio kutoa elimu kwa vijana wao tangia wakiwa wadogo?
 
Badala ya Wachina wajenge viwanda ili ajira ziongezeke, wameweruhusiwa wajenge maduka
 
Pamoja na yote Mzungu ni mtu aliyenyooka sana!

Mzungu kawekeza sana kwenye suala la utawala bora ambapo kupitia utawala bora amejenga Taasisi na mifumo imara sana zinazosimamia mambo na kuhakikisha yanaenda bila shida.

Kunyooka huku kwa Mzungu ndiko kumefanya sasa aanze kupoteza sana Africa. Hii ni kwa sababu Viongozi wa Afrika wanapenda sana Rushwa. Kupenda Rushwa kwa Viongozi wa Afrika ndiko kumefanya kwa sasa bara la Africa kuongoza kwa uwekezaji wa Wachina na Wahindi.

Mchina na Mhindi ni watu wanaoamini kuwa ili jambo lake liende lazima atoe Rushwa. Endapo siku ikitokea ukafanyika uchunguzi huru wa namna kandarasi za Wachina na Wahindi zinavyopatikana hapa Tanzania na Afrika nawaambia wananchi wetu wanaweza choma nyumba zote za Viongozi wetu sio tu Tanzania bali Afrika nzima.

Waendesha Mashtaka wa Marekani kufungua Mashtaka dhidi ya tajiri wa kihindi Adani ni funzo kubwa kwetu kuwekeza kwenye katiba bora inayojenga na inayosimamia mifumo imara. Mifumo isiyotoa nafasi kwa rushwa na kuhakikisha fedha zote za walipakodi zinatumika kwa maendeleo ya wananchi tu na sio kuwanufaisha wachache.

Hapa Tanzania Adani kapewa sehemu ya Bandari yetu. Huwezi sikia hata siku moja PCCB wakifanya uchunguzi. Na kamwe hatutosikia. Hii ni kwa sababu Adani ameingia Tanzania kupitia Ofisi namba moja.

Sio mara ya kwanza kwa mzungu kuonyesha umuhimu wa Mifumo na Taasisi imara kwenye utawala bora. Tanzania tulishawahi rudishiwa chenji yetu ya Rada baada ya Wazungu kugundua kuwa kampuni zao zilitupiga na wakazibana zikarudisha kweli.

Kuna kipindi Bandarini Wazungu waligundua kuna kampuni zao zilitoa Rushwa kupata tenda za kufunga mifumo ya tehama kwenye Bandari yetu. Ila pamoja na Ile kampuni kubanwa nchini mwao hapa kwetu hatujasikia hadi leo wahusika wakifikishwa Mahakamani.

Kusema kweli ili tuendelee tunawahitaji sana Wazungu kuliko hawa wachina na wahindi wanaojenga miradi ya hovyo iliyo chini ya kiwango tena kwa pesa nyingi ambazo zinaenda kutumika kama Rushwa kuwanufaisha wachache.

Najua huu uzi hautapata wachangiaji wengi kwa sababu Watanzania wengi ni mazuzu. Hawaelewi unyeti wa kodi zao na wanawaona wanasiasa kama miungu ambao wanaweza fanya chochote na hela zao bila kuhojiwa au kufanywa chochote.
View attachment 3158628

Ipo siku

Lord denning
Qatar
🙏🤝
 
Wazungu hatuwataki. Kwanza wabishi na wengi wana mkono mfupi. Wachina huwa wanatoa bakshishi na wahindi halafu hawatupangii siasa zetu.
Wachina na Wahindi wengi ni wabia wa ccm.
Yaani ukifuatilia vibali vyao lazima ukute jina la ccm.
 
Back
Top Bottom