Ya leo kikaoni usiku pale Utemini

Boss lady asikurupuke, chonde Chonde, vijana wenye papara viburi ni shida, Yapo yanayohitaji hekima, na wakati mwingine kuishi kwingi kuona mengi, kuachia ngazi kwa chongolo isichukuliwe kirahisi rahisi, kuna tatizo kubwa!
BABU YENU, YANGU MACHO!
 
No yaliosemwa kwa code hapo ni muhim pia ukubal ukatae ndio yana endesha uchum wako. Mu cubya ni fit sana ila nae ni mtata ila very strategically acha siasa iendeshe
Mcuba namkubali sana. Wasiomjua wakawaulize Amina Mbowe na wenzie.
Ila aliempa KMK hii point anaona mbali sana
 
Kwani wewe kwenye huo uchawa wako unawaza nini cha maana cha kuleta maendeleo? Chawa akiwaza maendeleo wenye vichwa vizima watawaza nini sasa?
 
Duh! Sasa kama vyeo na madaraka siyo components za siasa, siasa ni nini sasa? We umekuwaje toka aje kijana Konda?
Toka aje DAB analialia tu humu

Hata swala la bandari limekufa kibidu

Ahaaaas
 
Huyu mama inawezekana alikuwa most underrated alafu ndio akaja kuangusha manguli na experience zao.

Kama naanza kuelewa moves zake! Midas touch!
Nakumbuka mwanzoni kabisa baada ya Magufuli kuondoka.

Kuna mtu akaniambia hii watu kuacha wafanye wanavyotaka ni mtego ambao utaondoka na wengi.
 
Nakumbuka mwanzoni kabisa baada ya Magufuli kuondoka.

Kuna mtu akaniambia hii watu kuacha wafanye wanavyotaka ni mtego ambao utaondoka na wengi.
Kadri siku zinavyosogea mama anazidi kupotea. Mark this word.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…