Kwa jinsia yenu sawa, ila na wewe kama akili yako timamu upate mwanaume wa hivyo analia mbele ya kadamnasi basi jihesabu umepata msagaji mwenzio.Kulia ni normal reaction,tendo lilikua emotionally significant...
Huyu ni wa mkoani halafu watu wenye tabis za ajabu ajabu 90% ni wa kutoka mikoaniMbona uyo mkoa katoka lakini yuko jijini tuseme tu ni wa dar mc pilipili
HaaasMimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" [emoji16]
Huyu Jamaa anatumia nguvu nyingi sana kuchekesha. Ila siyo Mchekeshaji( Kila nikitazama Clip zake uwa naishia tu kusonya). Kwanza anaongea haraka. Anavyoongea havichekeshi. Tabu tupu. Leo anamvisha Mtu Pete anajiliza. Kiki za mjini hizi!!!Nimeamini hazipatikani kirahisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani amepiga magoti na kulia-lia wakati wa kumvalisha pete mwanamke wake.
Ni aibu amefanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada unamoyo mwepesi wa kudanganywa.. wanauame tunaweza fanya chochote kukurishisha lakini sio kutoka moyoni.It's not about mimi au cute Kuwa mwanaume hakukufanyi usiwe na hisia. Nyie wanaume mnaojificha ndio hufa siku si zenu mkiogopa kufanya mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
Inferiority complexKuna watu wanatafsiri ulijali kwa tafsiri zakijinga sana.
Hivi uanaume wangu au ulijali wangu unaathirika vp kama me ntapiga goti moja kumvisha pete mchumba wangu?
Hawa ndo wale utawaskia wanajiita wagumu, na mara nyingi ni maisha ndo huwa yanawapa mentality hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanatafsiri ulijali kwa tafsiri zakijinga sana.
Hivi uanaume wangu au ulijali wangu unaathirika vp kama me ntapiga goti moja kumvisha pete mchumba wangu?
Hawa ndo wale utawaskia wanajiita wagumu, na mara nyingi ni maisha ndo huwa yanawapa mentality hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweliUkimpigia mwanamke magoti. Yeye atakuwa kichwa siku zote, wewe mkia
Wewe unayo?
Chai hii...Mimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" 😁