Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Ni sign ya weakness kubwaJust so you know it is not a sign of weakness.
Ndugu yake na stivu kulialiaYani amepiga magoti na kulia-lia wakati wa kumvalisha pete mwanamke wake.
Ni aibu amefanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kampenda baada ya kuwa na pesaHuyu dada kamkubali nakupenda na kumu support mana Mc pilipili wadada walikuwa Wana mtosa na kumkimbia plus dharau. I'm happy for him aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha we nomaHata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
Amedhalilisha hadhi ya kiume .
Kwanini walikuwa wanamkimbia na kumtosa...??Huyu dada kamkubali nakupenda na kumu support mana Mc pilipili wadada walikuwa Wana mtosa na kumkimbia plus dharau. I'm happy for him aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiachana na kofia ya Pilipili mkewe ni mzuri bwana. Shape mashallah
Sent using Jamii Forums mobile app
Seems jamaa ana shida kidogo kichwani.Kisa cha kumkimbia ilikua ni nini?