Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Daah, kweli duniani kuna mambo, cha mtu chake au sio, ila kulia ni umama mwanaume hautakiwi kuonesha hisia za hivyo angekenua tu majino yake afu akifika room alieeeee hadi kero, ila duh mbele ya wanaume unajiliza wala sio manhoodameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
Dah! Labda nililie papuchi tena huko huko chumbani sio njeTatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
Wangelia wote basi, inakuwaje alie mbaba, angefaa alie mmama, mwanamke mkavu tu hataki kumsapoti mbaba kidogo walie wote [emoji848][emoji848]Kulia ni normal reaction,tendo lilikua emotionally significant...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie naona kama jamaa ndio kaolewa. Umeona dem alivyokua konki. Eti dem ndio anaenda kumbembeleza.....
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli...na mwnamke akajaribu kuwa mstaarab akashuka chini........kweli kuna tatizo....kama tunafikiri hivi vitu ndio vinatufanya tuonekane "sweet"....tuna safari ndefu kama wanaumeHuyu jamaa hii clip yake nimeshindwa kuirudia hadi najisikia aibu kuitazama tena,kafanya kitendo cha kilofa nahisi ana chembechembe za mwanaume wa Dar.
Eti mwanaume rijali unamvish pete mpenzi wako huku unajiliza huo ni udada,yaani ni balaa sitamani kijana mwingine aje afanye kitu kama hiki.
ILA LABDA HUENDA JAMAA KAMKUTA MWANAMKE NA BIKRA[emoji23] [emoji23] [emoji23]
MGOGO KADATA
Beautiful ones are not yet born
Kumbe alkua na majamaa wengi huko chuo waliokula nae tunda!!MC amejitaftia matatzo ya kupokonya demu wa wana aisee yatakayo mkuta huko mbele atatoa pia ushuhuda kama yule member wetu humu aliempokonya jamaa mwanamkeameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
haha..sio kwamba tumejijengea, ndio hali halisi...huyo leo analia hivyo mnamsifia wakina mama, siku utampelekea tatizo akusolvie kama mwanamume au mme alafu atapiga hayo mayowe (kwasababu yupo emotional kama wewe kama ulivyodai hapo) alafu utakuja kufungua threadi humu! ohoooTatizo tumejijengea mwanaume hatakiwi kulia wakati wanaume wako sensitive and vulnerable Kama sisi tu,mie ningependa mwanaume wangu alie tena kwa yowe,yewoooomiiii
Hivi kalia..au alikuwa anaigiza (comedian) ..ila sishangai alisema yeye ni mmoja ya wasanii wa3 wanaomilki BMW eti wana group la Whatsaapameojiwa nimeona clip anasema alikuwa anapigiwa sana simu na majamaa wanalalamika wamepokonywa demu wao ambaye walikuwa naye toka chuo,hivyo wakati anamvalimisha pete akakumbuka milima na mabonde yote hakuamini kama wamefika hatua hiyo akalia kwa furaha
Kofia kama kavaa bati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukiachana na kofia ya Pilipili mkewe ni mzuri bwana. Shape mashallah
Sent using Jamii Forums mobile app