Kwa namna alivyofanya amejitangazia kwamba yeye ni mwanaume jina. Hapo hapo watu walishaanza kumpigia hesabu huyo mtu wake. Atakuja kulia tena siku si nyingi,atakuwa amekwapuliwa huyo demu
Ati it's a dream come true!! SMFH.. Hapo hata wakiwa ndani ya ndoa jamaa lazima atawaliwe amesha onesha he is weak mbele ya huyo mwanamke.. Ingekuwa kwetu vijijini mwanaume u nampigia goti mwanamke alafu unalia.. Ni viboko kwenda mbele..Don't be quick to judge. You never know.
Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.
Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.
Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.
Kwani Wakikuwa wanamtosa na Kumkimbia?Huyu dada kamkubali nakupenda na kumu support mana Mc pilipili wadada walikuwa Wana mtosa na kumkimbia plus dharau. I'm happy for him aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Not man enough???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Kwamba bed anacheza makida tuu...MC pilipili ni jamaa yangu wa karibu sana.namfahamu huyo bint na jamaa zake wawili. Pilipili ameforce sana kumuoa huyo dada. Mwanamke ana jamaa yake anayempenda sana sema jamaa hayupo tayari kumwoa.ila mpaka one week ago demu alikuwa anawasiliana na jamaa kuwa yeye anampenda.jamaa hataki kumwoa demu.
Pilipili ame force sana kwa ahadi nyingi lakini demu hana hisia naye na jamaa anapenda sana show off nadhan sababu hajiamini.mademu hawadumu naye ana udhaifu mkubwa. Wengi wanalalamika he isnt a man enough. Kwanza hawezi kutatua changamoto kama baba yaani kuwaza kiume.na hii imesabbisha mara nying awe ni mtu wa mipasho na maneno kwa wana wake.
Ni mtu ambaye usimpelekee issue ukitegemea yeye mwanaume mtashirikiana kusolve ataenda kuizungumza kwenye radio au atawaambia washkaji
Kwani Wakikuwa wanamtosa na Kumkimbia?
Ina maana Walichikuwa wamekiona huyu hajakiona?
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa unamjua huyo demu vizuri???? Manaa duuh unatoa data zinatishaaBIKRA? MSITUONE TU TUMO HUMU TUSHAKULA K NYINGI SANA. HATUPENDI TU KUTANGAZA. ANGEKUWA BIKRA MI NGEHARISHA MWAKA MZIMA.ASHALIWA SANA HUYO DEMU NA ATAENDELEWA KULIA MAANA DEMU HANA HISIA KABISA KWA JAMAA...SEMA BASI TU.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu una akili sanaaA
Hata mimi kuna demu siku nikimuoa nitalia mpaka nitoe kamasi
Sent using Jamii Forums mobile app
So ni bikraa itakuwaa bado??[emoji16][emoji16][emoji16]Huyo Philomena nimesoma nae Turiani Secondary, Magomeni Dar, Ila Daaaahhhh! Kuna Mwana Aliambiwa Asubiri Mpk Wamalize Shule Daaahhh!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivooo?...noma sana basi...Kuna wanaume wengi tu wana matabia hayoWalikuwa wanamtosa sababu nasikia jamaa ni aina ya Wale Wanaume wenye viherehere. Wanaongea sana. Na Mwanaume unapaswa kuwa na Akiba ya Maneno. Sasa unaambiwa akiwa na Demu halafu akakutana na Marafiki wa huyo Demu ni yule Mwanaume asiyekuwa na Haiba. Anaongea anapitiliza. Aliwahi kudate na Rafiki yangu Mmoja hivi siwezi kumtaja hapa. Alimwacha kwa mambo yake hayohayo. Atofautishi Mahusiano na Comedy zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
HaaahaaaaaahaaBikra watoe wengine,uzeeni uje kumlilia,atumwe kidume mmoja asapotiwe fweza akammegee,ungese mkubwa huu...
Sent using Jamii Forums mobile app
2Hivooo?...noma sana basi...Kuna wanaume wengi tu wana matabia hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna lolote, hapa ss hv unasema tu lkn kwa uwongo kupitia maneno malaini ni asili yenu tangu Delilah amdanganye Samson mpaka alitekwa na Wafilisti na kutobolewa macho.Why would a man's tears make me feel like am in control of him?
I would let him shed his tears because he is winning over some battle in his heart I may never get to know about.
Then I would lift up my King, dust his knees and let him lead us into the journey we are just beginning.
His bitter past got buried together with the tears he shed, when they touched the ground.
MC pilipili ni jamaa yangu wa karibu sana.namfahamu huyo bint na jamaa zake wawili. Pilipili ameforce sana kumuoa huyo dada. Mwanamke ana jamaa yake anayempenda sana sema jamaa hayupo tayari kumwoa.ila mpaka one week ago demu alikuwa anawasiliana na jamaa kuwa yeye anampenda.jamaa hataki kumwoa demu.
Pilipili ame force sana kwa ahadi nyingi lakini demu hana hisia naye na jamaa anapenda sana show off nadhan sababu hajiamini.mademu hawadumu naye ana udhaifu mkubwa. Wengi wanalalamika he isnt a man enough. Kwanza hawezi kutatua changamoto kama baba yaani kuwaza kiume.na hii imesabbisha mara nying awe ni mtu wa mipasho na maneno kwa wana wake.
Ni mtu ambaye usimpelekee issue ukitegemea yeye mwanaume mtashirikiana kusolve ataenda kuizungumza kwenye radio au atawaambia washkaji
Nawe unaliaga?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu umeongea kwa uchungu sanaHuna lolote, hapa ss hv unasema tu lkn kwa uwongo kupitia maneno malaini ni asili yenu tangu Delilah amdanganye Samson mpaka alitekwa na Wafilisti na kutobolewa macho.
NB:
ACHA KUENDESHWA NA HISIA KWA KUTETEA KILA KITU, SISI WANAUME HATUKO HIVYO NA HUJUI JINSI GANI TUNAVYOUMIZWA NA HUO UPUMBAVU WA MC TAIRA.
UTAKE, USITAKE ACHA KUHALALISHA MAIGIZO YA MWONEKANO WA NNJE UGEUKE KUWA UHALISIA WA TABIA ZETU WANAUME TULIVYOUMBWA.
HUO NI UJINGA MKUBWA MNO, NI SAWA NA "MWANAUME KUTETEA HALI YA MAUMIVU APATAYO MWANAMKE WAKATI WA KUJIFUNGUA/KUZAA MTOTO" HAWEZIJUA HATA THELUTHI YA MAUMIVU YAKE KWA JINSI MWANAMKE ATAVYOKUWA ANAKABILIANA NAYO, NARUDIA TENA HAWEZIJUA HATA THELUTHI YA MAUMIVU YAKE KWA JINSI MWANAMKE ATAVYOKUWA ANAKABILIANA NAYO WAKATI WA KUJIFUNGUA/KUZAA KAMWE!
TUACHENI WANAUME TUMALIZE HASIRA ZETU HAPA KWA KUWEKA HISIA ZETU TOKA ROHONI KIMAUMIVU KWA UJINGA ALIOUFANYA MC PILIPILI.
Na ukimwona Mwanaume anafanya ujinga wa kupiga magoti wakati akimvalisha Mchumba wake pete huku akilia basi jua kabisa huyo Mwanaume atakuwa siyo riziki/ana vinasaba vya kike maana hatuko hivyo kamwe kwa 100%√
Sent using Jamii Forums mobile app