Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ati it's a dream come true!! SMFH.. Hapo hata wakiwa ndani ya ndoa jamaa lazima atawaliwe amesha onesha he is weak mbele ya huyo mwanamke.. Ingekuwa kwetu vijijini mwanaume u nampigia goti mwanamke alafu unalia.. Ni viboko kwenda mbele..

Mwanamke ambaye niliwahi mkunjia goti na kulia ni mama yangu tu.. Enzi hizo za utoto.. Hata shule ya msingi nilikuwa nunda sipigi goti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Not man enough???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] Kwamba bed anacheza makida tuu...

sasa huyo demu kafata hela kwa pilipili au??? maana hana hizo hela za maana jamaa piaa demu kama Mefosiwa mbona kuna watu wengi sana anaweza subiri apate anaempenda... Huyo jamaa why hataki kumuoaa????[emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndo za kulazimisha sio ndoaa ni GEREZAAA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BIKRA? MSITUONE TU TUMO HUMU TUSHAKULA K NYINGI SANA. HATUPENDI TU KUTANGAZA. ANGEKUWA BIKRA MI NGEHARISHA MWAKA MZIMA.ASHALIWA SANA HUYO DEMU NA ATAENDELEWA KULIA MAANA DEMU HANA HISIA KABISA KWA JAMAA...SEMA BASI TU.
We jamaa unamjua huyo demu vizuri???? Manaa duuh unatoa data zinatishaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivooo?...noma sana basi...Kuna wanaume wengi tu wana matabia hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna lolote, hapa ss hv unasema tu lkn kwa uwongo kupitia maneno malaini ni asili yenu tangu Delilah amdanganye Samson mpaka alitekwa na Wafilisti na kutobolewa macho.

NB:

ACHA KUENDESHWA NA HISIA KWA KUTETEA KILA KITU, SISI WANAUME HATUKO HIVYO NA HUJUI JINSI GANI TUNAVYOUMIZWA NA HUO UPUMBAVU WA MC TAIRA.

UTAKE, USITAKE ACHA KUHALALISHA MAIGIZO YA MWONEKANO WA NNJE UGEUKE KUWA UHALISIA WA TABIA ZETU WANAUME TULIVYOUMBWA.

HUO NI UJINGA MKUBWA MNO, NI SAWA NA "MWANAUME KUTETEA HALI YA MAUMIVU APATAYO MWANAMKE WAKATI WA KUJIFUNGUA/KUZAA MTOTO" HAWEZIJUA HATA THELUTHI YA MAUMIVU YAKE KWA JINSI MWANAMKE ATAVYOKUWA ANAKABILIANA NAYO, NARUDIA TENA HAWEZIJUA HATA THELUTHI YA MAUMIVU YAKE KWA JINSI MWANAMKE ATAVYOKUWA ANAKABILIANA NAYO WAKATI WA KUJIFUNGUA/KUZAA KAMWE!

TUACHENI WANAUME TUMALIZE HASIRA ZETU HAPA KWA KUWEKA HISIA ZETU TOKA ROHONI KIMAUMIVU KWA UJINGA ALIOUFANYA MC PILIPILI.

Na ukimwona Mwanaume anafanya ujinga wa kupiga magoti wakati akimvalisha Mchumba wake pete huku akilia basi jua kabisa huyo Mwanaume atakuwa siyo riziki/ana vinasaba vya kike maana hatuko hivyo kamwe kwa 100%√

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu amuondolee huo uvulana aisee maana atakuwa hasara sana kwa Wazazi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea kwa uchungu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…