Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Ati it's a dream come true!! SMFH.. Hapo hata wakiwa ndani ya ndoa jamaa lazima atawaliwe amesha onesha he is weak mbele ya huyo mwanamke.. Ingekuwa kwetu vijijini mwanaume u nampigia goti mwanamke alafu unalia.. Ni viboko kwenda mbele..
Mwanamke ambaye niliwahi mkunjia goti na kulia ni mama yangu tu.. Enzi hizo za utoto.. Hata shule ya msingi nilikuwa nunda sipigi goti
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁😁😁 njiwa bana