miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,072
- 1,021
Acha mfumo dume mkuuMimi wyf alipiga yeye!! Hahaha , eti akaniambia "piga magoti basi" , yani mbele ya wazazi wa pande zote mbili duh;;; nikamwambia "utapiga wewe, Fara wewe" [emoji16]
nimetumia Mungu maana niliona ndiko uliko elekea, ili twende sambamba zaidi pia nikaelekea huko....Hivi swala la role za mahusiano nyie wanaume hukimbilia Mungu ka kichaka cha kutafta justification zenu za hovyo sijui mwanamke sijui nini kah hamna hoja nyingine ya kujitetea
Wanawake tujigalagaze chini Ili Iweje kwani tunajioa wenyewe. Nyie si huleta vimbele front vyenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah ah ah a ah ahMkuu una akili sanaaA
Hata mimi kuna demu siku nikimuoa nitalia mpaka nitoe kamasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro una njaa??Na wewe jike dume sidhani hata kama akili yako iko sawa.mi nina maisha yangu yamesimama wima kinyama.siwezi kuwa fala kama ndugu yako na wewe msagaji na msagwaji
Amefanya umama.Kwanini wanaume wa kitanzania imewauma sana alichofanya huyo kaka? kamlilia mpenzi wake kulingana na waliyopitia haamini kama leo wamefikia hiyo stage sasa shida iko wapi akimwaga machozi na kupiga magoti?
Hahaha kweli mfumo dume hauwezi kuisha kwenye jamii za kiafrika,
Nawasikitikia sana dada zangu.
Sababu amezaliwa na mama basi acha afanye umama.
Asante Mkuu.Una akili sana utakuwa umerithi hizo akili kwa mamako ,IPO vizuri sana kixhwani Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jidanganye kuwa chozi la mwanamme ni ishara ya unyonge.mambo ya kidhungu, always very touching... ebu badilisha ayo maneno yawe ya kiswahili trust me hayatakuw na maana yeyote[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa.Kivyovyote vile siwezi pigia magoti demu. Isipokuwa MAMA ANGU tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
After having no crucial ideas to argue what kind of truthful penetrated inside your head.
NB:
I will always stand for the truth even if the all people over the world separate me I don't dare hence transparency makes me feel free at any place.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mc Pili Pili sie wengine tumekuelewa,tukio lilikua overwhelming kwako, na kulia ni natural,wewe pekee ndio unayejua how you felt that day,mbona wadada wengine siku ya harusi wanalia wakati ni jambo la furaha ?
Wanalia wanaume wa Dar siyo Kanda ya Ziwa dada!
haha..sio kwamba tumejijengea, ndio hali halisi...huyo leo analia hivyo mnamsifia wakina mama, siku utampelekea tatizo akusolvie kama mwanamume au mme alafu atapiga hayo mayowe (kwasababu yupo emotional kama wewe kama ulivyodai hapo) alafu utakuja kufungua threadi humu! ohooo