Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

Dooo yaaani mkuu hapa nimecheka mpaka watu wananishangaa kwenye gari[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mie wa kwangu alitaka nipige magoti nikakataa akanunaa! Mshenga akaniambia yaani ungepiga goti hapo ningerudi Dar sasa hivi! Tunaiga tu bila hata kujua. Mwanaume rijali. Wa kiafrika hutakiwi uwe hivyo. Unajua hata hii cheza cheza kwenye ndoa mnaingia ukumbini mnacheza ni ndoa zenu hizi za kuanzia 2010 nadhani na kuendelea. Mnaiga wa Nigeria. Enzi zetu unakutana na best man kauzu ana moustach kama bumper la vokswagon hakuruhusu hata kutikisika. Kipande cha keki au nyama kinapimwa kwa rula.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuhakikishia Wanaume hatujaumbwa hivyo na mimi mwenyewe ni mfano sahihi Baba yangu mzazi alifariki lakini sikutokwa na machozi kabisa hadi ilinibidi nijifiche pembeni nipakae mate usoni ndipo nionekane nami ni miongoni mwa watu walioguswa na msiba.

Narudia tena Wanaume hatujaumbwa kuwa wa kulialia mbele za Watu ndiyomaana hata misibani huwa Wanawake ndiyo hulia sana.

Hata utotoni utamuoa Mama mzazi akimfokea mtoto wa kiume aache kulia sana kama si mtoto wa wa kiume sababu anaelewa jinsi gani Mwanaume kaumbiwa roho ngumu siyo ya huruma huruma sawa na ninyi Wanawake.

MC Pilipili katudhalilisha sana kwa ujinga alioufanya na wote mnaomtetea mtakuja kujibu mbele za Mungu juu ya hiyo laana yenu ya mapenzi ya kuigaiga hata visivyoigika tangu sasa hata vizazi vyenu vijavyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fact.. Unaliaje. Kwanza nikiona MTU Analia naweza kucheka

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]

Kwa nini mkuu?
 
Kijana bado anayo safari ndefu sana, kwa anavyojieleza. Kipusa kama hicho sijui.........naomba niishie hapa.
 
As you're such an agent of feminism by copying western culture without knowing how it has been negatively affected their married families by divorcing Women and contract marriage presence results which leads every year all over the world by 45-60% to.

Don't think every thing brought by white people is very better to adapt towards benefits results nowadays in African countries.

Wake up coz you're going to bury yourself in unexpected grave.

REMEMBER;

FERMINITY, EQUAL GENDER QUALITY AND WOMEN RIGHTS are satanic spirits created in western countries(European Nations) and U.S.A. to destroy God's plan for real marriage life with happy and loveness between Man and Woman in their family.

NB:

WOMAN = WIFE OF MAN as reveals you're supposed to be owned by MAN.

Be tuned and flexible to agree truth sensitivity.

MAN WILL ALWAYS BE MAN AND WOMAN WILL BE REMAIN AS A WOMAN AND IT DOESN'T MATTER HOW MUCH YOU CAN TRY TO COMPETE WITH MAN TO BE EQUALLY BY BEHAVIOR, STRENGTHS, PERSONALITY, THINKING CAPACITY, DECISIONS AND ATTITUDE DUE TO THE NATURE OF MEN CREATION BY GOD HIMSELF AND YOU CAN'T WIN IT EFFECTIVELY RATHER THAN WESTING YOUR TIME.

Sent using Jamii Forums mobile app
What part of shedding tears makes a man a woman?

If it were so, other than the genitals, tears would be used to identify the gender of a child at birth. Girls would cry at the top of their voices and boys? Well they would simply walk majestically out of their mother's wombs because boys don't cry.

Feminism? It does not apply in a thread whose debate is if a man shedding tears is girlish.

If African culture says men who cry are girls basi this should apply to men who cry at funerals, out of anger etc. 😁😁
 
Hata mimi hiyo video nimeiona,ameniboa sana na niliona kama inamdhalilisha sana.Sisi wanaume ndio tunachagua wanawake na kama hajakuridhisha unapiga chini.Amempa confidence sana huyo mdada na inavyoonekane brother kaonewa huruma tu kwani jamaa wakati analia dada wa watu alikuwa zake busy
 
Hahaa labda jamaa anapewa mambo motomoto hadi anaungua,anashindwa kuvumilia analia...
 
Hamna, huna tatizo mkuu huo ndo uvumilivu

Sent using Jamii Forums mobile app
Maana nakumbuka miaka ya nyuma nilipokuwa sehemu fulani iliitwa RTS Kunduchi kuna afande alitujaribu kwa kutupeleka kwenye chemba za vyoo na funza wake tukiwa na vyombo vya chakula. Makuruta wengine walishindwa kula, wengine kutapika. Mimi nilikula vizuri hadi nikaomba paper 2.Jamaa wakanishangaa nami nikawaonea huruma tu. 😂😂😂😂😂
 
Maana nakumbuka miaka ya nyuma nilipokuwa sehemu fulani iliitwa RTS Kunduchi kuna afande alitujaribu kwa kutupeleka kwenye chemba za vyoo na funza wake tukiwa na vyombo vya chakula. Makuruta wengine walishindwa kula, wengine kutapika. Mimi nilikula vizuri hadi nikaomba paper 2.Jamaa wakanishangaa nami nikawaonea huruma tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] ndo uanaume kamili huo mkuu, pilipili kashasaliti kambi ya kiumeni so hatuwezi kumwelewa hata mtu anieleweshe vipi siwezi kuelewa hata kidogo hii swala la kujiliza mbele ya mwanamke eti mapenzi yamezidi hadi yanamwagika daah niwe oldschool tu ila hiyo inashusha nyota za kiumeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kula mbele ya uchafu ndo uanaume una safari ndefu aisee
Maana nakumbuka miaka ya nyuma nilipokuwa sehemu fulani iliitwa RTS Kunduchi kuna afande alitujaribu kwa kutupeleka kwenye chemba za vyoo na funza wake tukiwa na vyombo vya chakula. Makuruta wengine walishindwa kula, wengine kutapika. Mimi nilikula vizuri hadi nikaomba paper 2.Jamaa wakanishangaa nami nikawaonea huruma tu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom