🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ningekuwa mimi ni mdingi ake namfata pale namnong'oneza "Ukimaliza tu uje nyumbani na bakora kabisa sheeenzi taipu.." afu nawapungia mkono nakenua kidogo nasepa
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣Walimwengu mna matatizo muacheni SHARUKHAN WA TANZANIA.[emoji23][emoji23][emoji23] ndo uanaume kamili huo mkuu, pilipili kashasaliti kambi ya kiumeni so hatuwezi kumwelewa hata mtu anieleweshe vipi siwezi kuelewa hata kidogo hii swala la kujiliza mbele ya mwanamke eti mapenzi yamezidi hadi yanamwagika daah niwe oldschool tu ila hiyo inashusha nyota za kiumeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamy hao wanao bisha hapa kulia kwa Mc pilipili wasikusumbue pengine wao wanalia kuliko Mc na kamasi juu. Mapenzi hayana komando, kulia, kucheka, kupiga chafya n. K, inatokea bila kutalajia.kulia kuna release tension,ndio maana wanaume mnakufa mapema ni sababu mnabeba mengi kifuni vyenu
MgogoKabila gani?
Why would a man's tears make me feel like am in control of him?
I would let him shed his tears because he is winning over some battle in his heart I may never get to know about.
Then I would lift up my King, dust his knees and let him lead us into the journey we are just beginning.
His bitter past got buried together with the tears he shed, when they touched the ground.
Ndiyo ulie??? Mc Pilipili ameonyesha ufala wa kiwango cha PHDDon't be quick to judge. You never know.
Hizi nyoyo zetu tunazotembea nazo bwana, acha zijifiche tu zimebeba mengi.
Huwezi jua huyo mdada ana impact gani katika maisha yake. Maybe its a dream come true, maybe she saved his life.... maybe he never thought he would ever be loved again after previous breakup.
Let him cry his heart out. Whatever is in his heart, his Lord understands better.
Sawa
Umetafsiri kadiri ulivyosoma au umeanzia kusoma maoni yangu hapo tu. Hoja yangu ilikuwa hivi:Kuna vitu viwili huwa vinanishinda kuvitekeleza. Kutapika kwa hiyari/kujitapisha kwa nguvu na kulia kwa hali yoyote. Sikuhusisha uanamke au uanamume katika hayo. Nimeeleza hayo mambo huwa yananishinda tu. Nashindwa kukuelewa hiyo hoja kuwa eti ndiyo "uanaume" umeitoa wapi hadi uniwekee mdomoni!
Hili jambo la mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete mchumba naona linazidi kukomaa,si utamaduni wetu japo sio mbaya sana kwani ni effects za globalization kwenye muingiliano wa kiutamaduni na wazungu/waarabu/wachina na vile tunasema "strong culture absorbs weak culture" na hii inachangiwa sana na nguvu ya kiuchumi.
Tuyaache hayo,leo Mc wa taifa Pilipili kama anavyojiita mwenyewe kamvisha pete mdada mrembo sana huko Boko Dsm hongera kwake but concern yangu kubwa ni kitendo cha yeye Pilipili kama Mwanaume kulia sana wakati kapiga goti mbele ya binti halaf binti anaonekana hana hata chembe ya hofu na kuguswa na kilio cha pilipili,huu ni udhaifu ambao kama.
Mwanaume lijali hakika hupaswi kuuonyesha,that is a big point of weaknes,hata kama umewahi kuumizwa sana kwenye mapenzi jitahidi usitoe chozi mbele ya mwanamke ambaye si mama yako,hii itakusaidia sana hata ukiwa kwenye ndoa ukitoa maamuzi yanakua ya kiume kweli kweli but hii ya kulia lia si dalili njema sana,kwa anayewajua vizuri wanawake atakua amenielewa.
By the way hongera sana Pilipili kwa kupata mchumbaView attachment 987138View attachment 987135
Mchekeshaji maarufu Bongo, MC Pilipili jioni ya leo amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake (Mke mtarajiwa) Philomena Thadey, nyumbani kwa Wazazi wa mwanamke maeneo ya Boko (Tegeta) jijini DSM, sherehe hiyo imehudhuriwa na watu mbalimbali wa Serikali na taasisi zisizo za kiserikali.
Acha wivu mleta mada wewe ka hukulia ni ushamba wako. Mimi baby shamwambia kabisa apige goti
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona kidume kinajiliza kimandazi namna hio ujue kuna walakini, huyo demu ni dhahiri kabisa upendo wake umeegama katika huruma zaidi na sio hisia. Yajayo yanafurahisha. Usiombe upendwe kwa kuonewa huruma maana siku hio huruma ikiisha unaweza tafta mti na kamba ukajimalize!Ila naona kama huyo mwanamke hajampenda mcpilipili, kaolewa tu ilimradi cariha