Ya MC Pilipili hayapaswi kufanywa na mwanaume rijali

🤣🤣Walimwengu mna matatizo muacheni SHARUKHAN WA TANZANIA.
 
kulia kuna release tension,ndio maana wanaume mnakufa mapema ni sababu mnabeba mengi kifuni vyenu
Mamy hao wanao bisha hapa kulia kwa Mc pilipili wasikusumbue pengine wao wanalia kuliko Mc na kamasi juu. Mapenzi hayana komando, kulia, kucheka, kupiga chafya n. K, inatokea bila kutalajia.
 
Huyu MC pilipili nimemfuatilia ana trend zisizo za kiuwanaume na hii clip yake ya kumlilia mpenzi wake siku ya kumvika pete ni hitimisho la nilichokuwa namuwazia siku nyingi.
Namshauri hii clip aifute kwani itakuwa ni kadhia kubwa kwa watoto wake.
 
hii thread itawafanya waliotaka kupiga magoti wawavishe pete wachumba wao wasifanye hivyo kwa kuhofia kuonekana 'dhaifu'...jamani kupiga magoti na kulia ni expression how you feel...kusema kweli anayeliliwa hujisikia vizuri na yule anayelia anajiskia vizuri kumuonyesha jinsi anavyompenda na jinsi hafichi hisia zake juu yake…kwa kimombo ni 'affection'..kwa kweli ni gesture tu..UANAUME WA MC PILI PILI ANAYEJUA NI HUYO MCHUMBA WAKE..msimpake kaka wa watu matope mpaka aanze yeye na mkewe mtarajiwa kujishtukia...MC POLE POLE KAMA UNAISOMA HII TOPIC JUA ULICHOFANYA NI PERFECT NORMAL...
 

haha... if you say so....
 
Ndiyo ulie??? Mc Pilipili ameonyesha ufala wa kiwango cha PHD

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani kula mbele ya uchafu ndo uanaume una safari ndefu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Umetafsiri kadiri ulivyosoma au umeanzia kusoma maoni yangu hapo tu. Hoja yangu ilikuwa hivi:Kuna vitu viwili huwa vinanishinda kuvitekeleza. Kutapika kwa hiyari/kujitapisha kwa nguvu na kulia kwa hali yoyote. Sikuhusisha uanamke au uanamume katika hayo. Nimeeleza hayo mambo huwa yananishinda tu. Nashindwa kukuelewa hiyo hoja kuwa eti ndiyo "uanaume" umeitoa wapi hadi uniwekee mdomoni!
 

wa gogo ni washamba kuliko wasukuma.sio wote lakini
mc chachandu mbichi kachekesha watu baada ya kuchekesha visivyo chekesha.
tokea nizaliwa leo ndo na shuudia huyo jamaa utazani alikuwa anataka kuvishwa pete mbele ya watu gafla
 
Hahahahahahaaa! Dah! Ulimwengu hauishi vibweka. Yaani kakidume kamelia hadi kwikwi na mafua juu kwa sababu ya kutojiamini? Very disgusting! Nooo! Sikubaliani mwanaume kujiliza wala kupiga magoti kwa sababu ya hiyo kuvishana pete ya uchumba. Kulia aachie mashangazi!
 
Ila naona kama huyo mwanamke hajampenda mcpilipili, kaolewa tu ilimradi cariha
Ukiona kidume kinajiliza kimandazi namna hio ujue kuna walakini, huyo demu ni dhahiri kabisa upendo wake umeegama katika huruma zaidi na sio hisia. Yajayo yanafurahisha. Usiombe upendwe kwa kuonewa huruma maana siku hio huruma ikiisha unaweza tafta mti na kamba ukajimalize!
 
Mbona huyo dada mbona kama ana rangi mbili? Njano usoni na nyeusi kuanzia shingoni. Nauliza ndio mrembo mwenyewe?

Hio ya kupiga magoti na kulia ni utahira tu. Sema kila mtu huwa na kichaa chake ila tumezidiana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…