Ya Ndumbaro hayajapoa, MwanaFA kaja na jipya. Viongozi wa kisiasa acheni mihemko

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925

Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao.

Wataalamu wa VAR wameona, wamechunguza na kuchambua, kisha wakaamua kuwa siyo goli. Sisi wala mihogo huku tusijitie kujua, tutashushiwa rungu mpk tuusahau na kuuchukia mpira kabisa .
 
Ficha upumbavu wako, FA ni naibu waziri wa michezo anayo haki ya kuandika alichoandika.

Huwa mnapenda kujipendekeza CAF mkipata shida mnataka serikali ndio iwasaidie.

Waambieni CAF sasa waje wawajengee viwanja msitumie viwanja vyao serikali

Ujinga tu.
 
Mnadhani wenyewe hawakusikia siku mliposema kuwa mashaabiki watakao vaa jersey zao watoe passport?

Wao hawakusema lkn wamewaonesha jeuri waliyonayo kuzidi matamko yenu.
 
Hebu turudi kwenye sheria za caf na fifa zinasemaje!
 
Hua wanakurupuka kama wanaugua dege dege!
 
Hii Wizara inaonekana inaendeshwa na wapuuzi puuzi, TFF ipo kimya ila wizara kila saaa ina tamko, shenzi sanaa
 
 
Hamjazoea kuona watu wakidai haki zào. We kaa kimya usubiri shemejio alete mboga.
 
Hamjazoea kuona watu wakidai haki zào. We kaa kimya usubiri shemejio alete mboga.
VAR officials ndiyo waliopo pale kutoa haki. Sasa wametoa haki kwa Mamelodi wewe unagoma. Nadhani wewe ndiye hujazoea vya haki.
 
VAR si ilikuwepo uwanjani sasa hao wataalamu unawatoa wapi. Ukiona hivyo mpaka unaazima wataalam wengi ujue kuna shida hapo
 
We ndio umekurupuka na haujui unachokiandika au hujaelewa hoja ya mleta mada, haijalishi Mwana Fa ni Kiongozi wa michezo, kwani hakuna chombo kinachosimamia soka? Yaani Hawa Mawaziri wa hii Wizara Wana weledi mdogo sana wa mambo. Hawa kazi Yao ni kusimamia sera za michezo kwa ujumla sio matokeo ya uwanjani au michezo ulichezeshwa vipi
 
Madhara ya kushabikia timu za mabwana wenu haya,, hujui chochote kwny mpira ila unaleta pumba kama hizo, FA yuko sahihi 100% mpe pole bwana wako dada
Haya. Endelea kushupaza shingo. Hivi hata wewe ungekiwa ndiyo CAF unaweza kuruhusu timu yenye akina Aziza na Mzinzi (wakosa magoli hawa) waende nusu fainali halafu timu yenye Allende, Nzwane, na Mokoena ibakie?
 
Nimeona sehemu Zakazakazi amemuomba FA kwenye hiyo barua asisahau kuitaja na Azam kwa maana kuna tukio la kiuonezi walifanyiwa kwenye mechi ya marudiano ya kufuzu makundi
Mwana Fa sio kazi yake aisee na asijachanganye Kuna Mamlaka zinazosimamia michezo Yeye ni Kiongozi wa Serikali kazi yake ni kusimamia sera za michezo sera za Mamlaka za michezo sio maamuzi au matukio ya viwanjani. Asijichanganye aisee hilo jambo awaachue Yanga na TFF walifuatilie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…