Ya Ndumbaro hayajapoa, MwanaFA kaja na jipya. Viongozi wa kisiasa acheni mihemko

Ya Ndumbaro hayajapoa, MwanaFA kaja na jipya. Viongozi wa kisiasa acheni mihemko

We ndio umekurupuka na haujui unachokiandika au hujaelewa hoja ya mleta mada, haijalishi Mwana Fa ni Kiongozi wa michezo, kwani hakuna chombo kinachosimamia soka? Yaani Hawa Mawaziri wa hii Wizara Wana weledi mdogo sana wa mambo. Hawa kazi Yao ni kusimamia sera za michezo kwa ujumla sio matokeo ya uwanjani au michezo ulichezeshwa vipi
Asante sana mkuu kwa kutoa elimu ya bure kwa hawa mashabiki uchwara.
 
Mwana Fa sio kazi yake aisee na asijachanganye Kuna Mamlaka zinazosimamia michezo Yeye ni Kiongozi wa Serikali kazi yake ni kusimamia sera za michezo sera za Mamlaka za michezo sio maamuzi au matukio ya viwanjani. Asijichanganye aisee hilo jambo awaachue Yanga na TFF walifuatilie
Ujuwaji mwingi mbele kiza, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga tayari ameshafile document.

Nyinyi endeleeni kupiga domo tu.
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima akili za kichwani zinaanza kupungua.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
Ujuwaji mwingi mbele kiza, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga tayari ameshafile document.

Nyinyi endeleeni kupiga domo tu.
🤣🤣🤣🤣
Halafu unajiita PhD, hili ni suala la Yanga sio Wizara. Yanga wapambane wenyewe sio kuishirikisha Serikali, halafu umeandika Mkurugenzi wa Sheria sio Mkurugenzi wa michezo? Sijaelewa 🙄
 
It's better to let someone think you are an Idiot than to open your mouth and prove it.🙃
 
Ficha upumbavu wako, FA ni naibu waziri wa michezo anayo haki ya kuandika alichoandika.

Huwa mnapenda kujipendekeza CAF mkipata shida mnataka serikali ndio iwasaidie.

Waambieni CAF sasa waje wawajengee viwanja msitumie viwanja vyao serikali

Ujinga tu.
Kuwa waziri wa michezo hakukupi uhalali wa kuingilia masuala ya michezo.

Waziri wa michezo anaishia kutunga sera zinazohusiana na michezo sio kuingilia masuala ya michezo.

Hata Rais wa nchi ni waziri wa wizara zote ila akiingilia tu masuala ya mpira nchi inapigwa rungu.
 
Kuwa waziri wa michezo hakukupi uhalali wa kuingilia masuala ya michezo.

Waziri wa michezo anaishia kutunga sera zinazohusiana na michezo sio kuingilia masuala ya michezo.

Hata Rais wa nchi ni waziri wa wizara zote ila akiingilia tu masuala ya mpira nchi inapigwa rungu.
Muulize Michael Wambura atakueleza vizuri serikali ni nini.

Yule Kibaka mkuu SEP Blatter aliyejitungia hizi kanuni za kitapeli muulizeni atawajibu kama serikali inaweza au haiwezi kuingilia Mpira inapobidi.

Mmekaririshwa ujinga mtupu.
 
Haya. Endelea kushupaza shingo. Hivi hata wewe ungekiwa ndiyo CAF unaweza kuruhusu timu yenye akina Aziza na Mzinzi (wakosa magoli hawa) waende nusu fainali halafu timu yenye Allende, Nzwane, na Mokoena ibakie
Hao wakinda Allende wameifunga yanga goli ngapi kwenye dakika 180?
 
  • Thanks
Reactions: Exy
We ndio umekurupuka na haujui unachokiandika au hujaelewa hoja ya mleta mada, haijalishi Mwana Fa ni Kiongozi wa michezo, kwani hakuna chombo kinachosimamia soka? Yaani Hawa Mawaziri wa hii Wizara Wana weledi mdogo sana wa mambo. Hawa kazi Yao ni kusimamia sera za michezo kwa ujumla sio matokeo ya uwanjani au michezo ulichezeshwa vipi
Wewe na mleta mada mna shida?, kwanu meana FA kasema serikali imeaimabia yanga? Au kasema amewaambia?. Au yeye hawezi kuwa sehemu ya shabiki aliye na haki ya kutoa Maoni? Kwani alikuwa kweny Press? Au hiyo ni akaunti ya serikali?. Kwahiyo mtu akiwa kiongozi hapaswi kutoa mawazo yake?. Fikiria nje ya box .
 

Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao.

Wataalamu wa VAR wameona, wamechunguza na kuchambua, kisha wakaamua kuwa siyo goli. Sisi wala mihogo huku tusijitie kujua, tutashushiwa rungu mpk tuusahau na kuuchukia mpira kabisa .
Comments reserved
 
Acheni utumwa wa kifikra...Mbona hiyo Fifa imeshindwa luwafungia England kwa kumlazimisha Boss wa Chelsea kuachia timu?.
 
Back
Top Bottom