Ya Ndumbaro hayajapoa, MwanaFA kaja na jipya. Viongozi wa kisiasa acheni mihemko

Ya Ndumbaro hayajapoa, MwanaFA kaja na jipya. Viongozi wa kisiasa acheni mihemko

Vip
Wamepigwa penati za kimataifa siyo kama Aziza anampasia kipa na yule mwingine akampasia.
Simba matokeo yao unayo au mechi haijaisha?. Imekuwa kama vile Simba hajacheza kabisa 🤣🤣 .
 
Makolo ni Majinga siku zote

Mwana FA kama Naibu Waziri yupo sahihi kabisa
 
Ujuwaji mwingi mbele kiza, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga tayari ameshafile document.

Nyinyi endeleeni kupiga domo tu.
Punguza mihemko.umeulizwa kuhusu FA kama naibu waziri wewe unaleta porojo za mwanasheria.kwani nani hajui.watu wanakuelimisha kuhusu kufuata taratibu sahihi kwa wahusika sahihi.
 
Makolo ni Majinga siku zote

Mwana FA kama Naibu Waziri yupo sahihi kabisa
Usahihi wake ni upi?.Yeye atabaki kua mshauri tu ila wahusika ni chama cha soka na timu husika.
 

Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao.

Wataalamu wa VAR wameona, wamechunguza na kuchambua, kisha wakaamua kuwa siyo goli. Sisi wala mihogo huku tusijitie kujua, tutashushiwa rungu mpk tuusahau na kuuchukia mpira kabisa .
Wewe senge na wewe umeshakuwa mchambuzi?
 
Punguza mihemko.umeulizwa kuhusu FA kama naibu waziri wewe unaleta porojo za mwanasheria.kwani nani hajui.watu wanakuelimisha kuhusu kufuata taratibu sahihi kwa wahusika sahihi.
Nimeshamwambia huyo PhD šŸ˜‚
 

Attachments

  • FB_IMG_1712425387055.jpg
    FB_IMG_1712425387055.jpg
    25 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1712425352345.jpg
    FB_IMG_1712425352345.jpg
    46.1 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1712425339198.jpg
    FB_IMG_1712425339198.jpg
    48.4 KB · Views: 4
Wabongo kwa u much know tu, hamjambo. Eti Ya Ndumbaaro hayajapoa..!! Yapi hayo, kama siyo kupenda tu kukuza mambo ya kijinga na ya kipuuzi!
 
Wabongo kwa u much know tu, hamjambo. Eti Ya Ndumbaaro hayajapoa..!! Yapi hayo, kama siyo kupenda tu kukuza mambo ya kijinga na ya kipuuzi!
Unajuwa mpaka dakika hii hakuna media yoyote inayodiscuss aibu iliyotokea Jana Cairo, sasa kuna kaujanja kakuspin watu wasiwajadiri kabisa wazee wa Cairo.
 
Ficha upumbavu wako, FA ni naibu waziri wa michezo anayo haki ya kuandika alichoandika.

Huwa mnapenda kujipendekeza CAF mkipata shida mnataka serikali ndio iwasaidie.

Waambieni CAF sasa waje wawajengee viwanja msitumie viwanja vyao serikali

Ujinga tu.
Waziri ni serikali au sio serikali??

kama ni serikali hakupaswa kusema chochote kuhusiana na maamuzi ya jana, TFF ndio ilitakiwa kuliongelea hili ukiwaondoa Yanga wenyewe
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Ficha upumbavu wako, FA ni naibu waziri wa michezo anayo haki ya kuandika alichoandika.

Huwa mnapenda kujipendekeza CAF mkipata shida mnataka serikali ndio iwasaidie.

Waambieni CAF sasa waje wawajengee viwanja msitumie viwanja vyao serikali

Ujinga tu.
Unaandika Kwa fikra za kutumia moyo sio akili, Ile kauli inaweza ikapoza nchi.. fuatilia Siasa za Mpira , unafikiri juzi tulivyoufyata ilikuwa ni suala dogo!
 
Matokeo ya kulazimisha siasa kwenye mpira
 
We ndio umekurupuka na haujui unachokiandika au hujaelewa hoja ya mleta mada, haijalishi Mwana Fa ni Kiongozi wa michezo, kwani hakuna chombo kinachosimamia soka? Yaani Hawa Mawaziri wa hii Wizara Wana weledi mdogo sana wa mambo. Hawa kazi Yao ni kusimamia sera za michezo kwa ujumla sio matokeo ya uwanjani au michezo ulichezeshwa vipi
Wanatafuta kiki tu za kisiasa
 

Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao.

Wataalamu wa VAR wameona, wamechunguza na kuchambua, kisha wakaamua kuwa siyo goli. Sisi wala mihogo huku tusijitie kujua, tutashushiwa rungu mpk tuusahau na kuuchukia mpira kabisa .
Sasa hapa kati ya mwana FA na wewe, nani ana mihemko? Acha ujinga na ushabiki maandazi chundu wewe!
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga lazima akili za kichwani zinaanza kupungua.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMERUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
Hakika
 
Ficha upumbavu wako, FA ni naibu waziri wa michezo anayo haki ya kuandika alichoandika.

Huwa mnapenda kujipendekeza CAF mkipata shida mnataka serikali ndio iwasaidie.

Waambieni CAF sasa waje wawajengee viwanja msitumie viwanja vyao serikali

Ujinga tu.
Hapo wa kwanza kuficha upumbavu alikuwa huyo waziri. Wafuate viongozi wa Yanga kusaidia kuficha upumbavu wa mashabiki wake
 
Back
Top Bottom