Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inawahusu kisiasa,Serikali inawahusu vipi Yanga mpaka isafirishe mashabiki wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawahusu kisiasa,Serikali inawahusu vipi Yanga mpaka isafirishe mashabiki wake?
Acha kutishia watu wewe kolo dunia nzima inalitambua lile goli
Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao.
Wataalamu wa VAR wameona, wamechunguza na kuchambua, kisha wakaamua kuwa siyo goli. Sisi wala mihogo huku tusijitie kujua, tutashushiwa rungu mpk tuusahau na kuuchukia mpira kabisa .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeona sehemu Zakazakazi amemuomba FA kwenye hiyo barua asisahau kuitaja na Azam kwa maana kuna tukio la kiuonezi walifanyiwa kwenye mechi ya marudiano ya kufuzu makundi
Kuwa WENYE AKILI NI WAWILI TU!Uzuri Rage alishatwambia,