Asante sana mkuu kwa kutoa elimu ya bure kwa hawa mashabiki uchwara.We ndio umekurupuka na haujui unachokiandika au hujaelewa hoja ya mleta mada, haijalishi Mwana Fa ni Kiongozi wa michezo, kwani hakuna chombo kinachosimamia soka? Yaani Hawa Mawaziri wa hii Wizara Wana weledi mdogo sana wa mambo. Hawa kazi Yao ni kusimamia sera za michezo kwa ujumla sio matokeo ya uwanjani au michezo ulichezeshwa vipi
Wengi humu ni mburula tu na uwezo wa kutafakari mambo hawana huwa ni wakurupukaji tu. Namshauri Mwana Fa aachane na hili jambo awaachie Yanga wenyewe na TFF.Asante sana mkuu kwa kutoa elimu ya bure kwa hawa mashabiki uchwara.
Ujuwaji mwingi mbele kiza, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga tayari ameshafile document.Mwana Fa sio kazi yake aisee na asijachanganye Kuna Mamlaka zinazosimamia michezo Yeye ni Kiongozi wa Serikali kazi yake ni kusimamia sera za michezo sera za Mamlaka za michezo sio maamuzi au matukio ya viwanjani. Asijichanganye aisee hilo jambo awaachue Yanga na TFF walifuatilie
🤣🤣🤣🤣Ujuwaji mwingi mbele kiza, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga tayari ameshafile document.
Nyinyi endeleeni kupiga domo tu.
Zinasemaje? Zinamkataza waziri kutoa maoni yake au?Hebu turudi kwenye sheria za caf na fifa zinasemaje!
Huyo anelekea kuwa kichaa.Zama zile Makolokolo wako on fire ulikuwa hutumi kabisa vibonzo hivi, tangu Yanga SC iwe ya moto zaidi kimataifa ndiyo unajizima data, unafki ni kipaji [emoji851]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Sasa kama ni suala la Yanga mbona wizara imesafirisha mashabiki?🤣🤣🤣🤣
Halafu unajiita PhD, hili ni suala la Yanga sio Wizara
Mkuu uelewa wako ni mdogo aisee 🤣 Sasa Serikali kusafirisha mashabiki si mashabiki walienda kuipa hamasa timu Yao ?Sasa kama ni suala la Yanga mbona wizara imesafirisha mashabiki?
Kuwa waziri wa michezo hakukupi uhalali wa kuingilia masuala ya michezo.Ficha upumbavu wako, FA ni naibu waziri wa michezo anayo haki ya kuandika alichoandika.
Huwa mnapenda kujipendekeza CAF mkipata shida mnataka serikali ndio iwasaidie.
Waambieni CAF sasa waje wawajengee viwanja msitumie viwanja vyao serikali
Ujinga tu.
Serikali inawahusu vipi Yanga mpaka isafirishe mashabiki wake?Mkuu uelewa wako ni mdogo aisee 🤣 Sasa Serikali kusafirisha mashabiki si mashabiki walienda kuipa hamasa timu Yao ?
Muulize Michael Wambura atakueleza vizuri serikali ni nini.Kuwa waziri wa michezo hakukupi uhalali wa kuingilia masuala ya michezo.
Waziri wa michezo anaishia kutunga sera zinazohusiana na michezo sio kuingilia masuala ya michezo.
Hata Rais wa nchi ni waziri wa wizara zote ila akiingilia tu masuala ya mpira nchi inapigwa rungu.
Atoe maoni mpaka agare gare!Zinasemaje? Zinamkataza waziri kutoa maoni yake au?
Hao wakinda Allende wameifunga yanga goli ngapi kwenye dakika 180?Haya. Endelea kushupaza shingo. Hivi hata wewe ungekiwa ndiyo CAF unaweza kuruhusu timu yenye akina Aziza na Mzinzi (wakosa magoli hawa) waende nusu fainali halafu timu yenye Allende, Nzwane, na Mokoena ibakie
Wamepigwa penati za kimataifa siyo kama Aziza anampasia kipa na yule mwingine akampasia.Hao wakinda Allende wameifunga yanga goli ngapi kwenye dakika 180?
Wewe na mleta mada mna shida?, kwanu meana FA kasema serikali imeaimabia yanga? Au kasema amewaambia?. Au yeye hawezi kuwa sehemu ya shabiki aliye na haki ya kutoa Maoni? Kwani alikuwa kweny Press? Au hiyo ni akaunti ya serikali?. Kwahiyo mtu akiwa kiongozi hapaswi kutoa mawazo yake?. Fikiria nje ya box .We ndio umekurupuka na haujui unachokiandika au hujaelewa hoja ya mleta mada, haijalishi Mwana Fa ni Kiongozi wa michezo, kwani hakuna chombo kinachosimamia soka? Yaani Hawa Mawaziri wa hii Wizara Wana weledi mdogo sana wa mambo. Hawa kazi Yao ni kusimamia sera za michezo kwa ujumla sio matokeo ya uwanjani au michezo ulichezeshwa vipi
Comments reserved
Kauli hii ya mwanaFA ikionwa na CAF itabidi serikali ije na taarifa nyingine tena ya kusema mwanaFA alikuwa anatania. Kwasabb mkiombwa uthibitisho wa madai yenu naamini hamtakuwa nao.
Wataalamu wa VAR wameona, wamechunguza na kuchambua, kisha wakaamua kuwa siyo goli. Sisi wala mihogo huku tusijitie kujua, tutashushiwa rungu mpk tuusahau na kuuchukia mpira kabisa .