Ya Ndumbaro hayajapoa, MwanaFA kaja na jipya. Viongozi wa kisiasa acheni mihemko

Vip
Wamepigwa penati za kimataifa siyo kama Aziza anampasia kipa na yule mwingine akampasia.
Simba matokeo yao unayo au mechi haijaisha?. Imekuwa kama vile Simba hajacheza kabisa 🤣🤣 .
 
Makolo ni Majinga siku zote

Mwana FA kama Naibu Waziri yupo sahihi kabisa
 
Ujuwaji mwingi mbele kiza, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga tayari ameshafile document.

Nyinyi endeleeni kupiga domo tu.
Punguza mihemko.umeulizwa kuhusu FA kama naibu waziri wewe unaleta porojo za mwanasheria.kwani nani hajui.watu wanakuelimisha kuhusu kufuata taratibu sahihi kwa wahusika sahihi.
 
Makolo ni Majinga siku zote

Mwana FA kama Naibu Waziri yupo sahihi kabisa
Usahihi wake ni upi?.Yeye atabaki kua mshauri tu ila wahusika ni chama cha soka na timu husika.
 
Wewe senge na wewe umeshakuwa mchambuzi?
 
Punguza mihemko.umeulizwa kuhusu FA kama naibu waziri wewe unaleta porojo za mwanasheria.kwani nani hajui.watu wanakuelimisha kuhusu kufuata taratibu sahihi kwa wahusika sahihi.
Nimeshamwambia huyo PhD 😂
 

Attachments

  • FB_IMG_1712425387055.jpg
    25 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1712425352345.jpg
    46.1 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1712425339198.jpg
    48.4 KB · Views: 4
Wabongo kwa u much know tu, hamjambo. Eti Ya Ndumbaaro hayajapoa..!! Yapi hayo, kama siyo kupenda tu kukuza mambo ya kijinga na ya kipuuzi!
 
Wabongo kwa u much know tu, hamjambo. Eti Ya Ndumbaaro hayajapoa..!! Yapi hayo, kama siyo kupenda tu kukuza mambo ya kijinga na ya kipuuzi!
Unajuwa mpaka dakika hii hakuna media yoyote inayodiscuss aibu iliyotokea Jana Cairo, sasa kuna kaujanja kakuspin watu wasiwajadiri kabisa wazee wa Cairo.
 
Waziri ni serikali au sio serikali??

kama ni serikali hakupaswa kusema chochote kuhusiana na maamuzi ya jana, TFF ndio ilitakiwa kuliongelea hili ukiwaondoa Yanga wenyewe
 
Reactions: G4N
Unaandika Kwa fikra za kutumia moyo sio akili, Ile kauli inaweza ikapoza nchi.. fuatilia Siasa za Mpira , unafikiri juzi tulivyoufyata ilikuwa ni suala dogo!
 
Matokeo ya kulazimisha siasa kwenye mpira
 
Wanatafuta kiki tu za kisiasa
 
Sasa hapa kati ya mwana FA na wewe, nani ana mihemko? Acha ujinga na ushabiki maandazi chundu wewe!
 
Hakika
 
Hapo wa kwanza kuficha upumbavu alikuwa huyo waziri. Wafuate viongozi wa Yanga kusaidia kuficha upumbavu wa mashabiki wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…