Yahaya Nawanda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za ulawiti

Serious polisi wamesubiri muda wote huo ndio wamkamate na kuanza uchunguzi? Kama sio kutaka kumsafisha ni nini?
 
Na mjadala umehamia kwenye noti ya sh 100 kuwa na nembo ya Yanga.

Nchi ya mafala hii. Bora ningezaliwa jibwa Ulaya.

Hata Tumsime angekuwa kafirwa na afisa wa serikali za Ulaya angekuwa bilionea. Lkn hapa kaambulia 65M tu.
Hapa ndio umefika wakati wa kukumbuka ule wimbo TUPO BONGO BAHATI MBAYA KALIBU ULAYA
 
"Ncha butu"? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie watu aaaah
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Majuzi nilikuwa na rafiki yake aliyekuwa nae na kusoma nae. Wanasema kuna kipindi pia alitolewaga ukuu wa wilaya kwa kashfa kama hizo hizo
Kwani ni yeye tyuu? Mbona yule akiyekua RC na sasa kapelekwa kwenye jumuia ya chama, kampangia msenge apartment hapo sala sala.

Tatizo LA huyu jamaa ni kukurupukia wasiohusika, au laah walishindwana bei, woiiiiih
 
Kwani ni yeye tyuu? Mbona yule akiyekua RC na sasa kapelekwa kwenye jumuia ya chama, kampangia msenge apartment hapo sala sala.

Tatizo LA huyu jamaa ni kukurupukia wasiohusika, au laah walishindwana bei, woiiiiih
tutallamika sana tu. wakati Muumba ashatoa hukumu za watu kama hawa sisi binaadam tunajifanya tunahuruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…