Yahaya Nawanda, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Simiyu akamatwa na Polisi kwa tuhuma za ulawiti

Lazima nije kukuona Yahya nikuletee uji wa tembele ulainishe utumbo ,vijana wa KM humo mahabusu waishi na wewe wima ,Karma is bitch bro ,naandika hapa utayakuta ukitoka huko .
Sifurahii wewe kuwepo huko Ila naumia ulinitendea ubaya na bado ukanigalagaza Kama vile hunijui kisa vibinti vya masijala ,Kaka jela ni njia ,zamu yangu ilifika nikapita Sasa ni zamu yako ndugu ,vumilia ,yatakwisha .
 
Mwingine huyu hapa 👇

View: https://twitter.com/millardayo/status/1801237692459479152?t=B0gPnEFA9X0FalnL17jsEQ&s=19
 
Duu! Hatari sana, huyu kachezeshewa tu na Wajanja, ni ngumu sana Mwanamke kutangaza kitu kama hicho ukizingatia hakubakwa!
 
Duu! Hatari sana, huyu kachezeshewa tu na Wajanja, ni ngumu sana Mwanamke kutangaza kitu kama hicho ukizingatia hakubakwa!
Ukishakuwa kiongozi au status fulani katika jamii unapaswa kujichunga sana otherwise wahuni watapita humo humo kwenye madhaifu yako kukuaibisha.

Dr. Nawanda siku ya tukio angekuwa nyumbani na familia yake wangempataje? Ila kwa kuwa aliamua kuingia "disko" hizo ndio gharama anatakiwa kulipa.
 
Ni kweli, wengine wanatakiwa kujifunza kupitia hili, huenda kuna Jimbo alikuwa anapitapita kwa ajili ya kugombea uchaguzi ujao, Wajanja wamekula kichwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…