Yahya Sinwar baada ya kuwaponyoka Israel aibuka na kusema Hamas imeshaua zaidi ya elfu askari wa IDF

Yahya Sinwar baada ya kuwaponyoka Israel aibuka na kusema Hamas imeshaua zaidi ya elfu askari wa IDF

Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
Unapigana na adui akiwa nyumbani kwako😃😃😃
 
mmmh.

Kwahiyo yeye anaanzisha vita halafu anatoroka na kuwaachia msala wapalestina,😄😄😄..

Na bado kuna watu wanamuunga mkono na kumfadhiri, hakika vilio vya wapalestina vitakufuata huko huko ulipo hautopona hakika lazma ulipie vilio vyao...
Kwani netanyahu umemuona kwenye uwanja wa vita siamejificha tu nyumbani tena mpk mwanae alietakiwa kupigana vita kamficha asiende lakini ww unataka kiongozi mkuu wa hamas aingie vitani na utasubiri sana
 
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
1,000 kwa 20,000 🙃😃😃
806555740.jpg
 
1,000 kwa 20,000 🙃😃😃
View attachment 2854095
Malengo ya israel ni yapi unaweza kuuwa hata watu million lakini usipofikea malengo yako ya kuanzisha vita umefail maana malengo ya israel ni mawili 1.kuokoa mateka na walisema hawataki majadiliano watawaokoa mwisho wa siku wakaomba kubadilishana na mpk leo hakuna mateka waliemuokoa zaidi ya waliobadilishana 2.kuifuta hamas hapo ndio wanahangaika huu mwezi 3 unaenda eneo lenyewe wanalohangaika nalo kama kigamboni na hapo wanasaidiwa na Usa+france+german+uk
 
Kiongozi mkazi wa Hamas ndani ya Gaza ameibuka kwa mara ya mwanzo tangu mashambulizi ya oktoba 7 na kusema jeshi lake linapigana vita vikali na ambavyo havijawahi kutokea.

Matamko yake hayo yamekuja kwa njia ya maandishi na kuonesha ni matamko ya muda unaoendelea ametoa matamko kuashiria mipango ya Misri kutaka kumaliza vita hivyo ambayo ndiyo kwanza yanaanza kujadiliwa.

Sinwar ameahidi askari wake kuwa wataliangamiza jeshi la Israel na kwamba hawana mpango wa kuridhia mashariti ya Israel katika kumaliza vita hivyo.

katika tamko lake amesisitiza kuwa askari wa Israel waliouliwa na Hamas ni zaidi ya elfu moja na kwamba wametia hasara kubwa kwa kuharibu vifaa vya kivita vya jeshi hilo.

Wiki mbili zilizopita jeshi la Israel lilitangaza kuizingira nyumba ya Yahya Sinwar na kwamba wakati wowote wangekuwa wamemkamata.

Hata hivyo hawakumuona na wala hawakumkata, yawezekana kwa umahiri mkubwa aliwaponyoka.

Hamas faces ‘unprecedented battle’ against Israel, says Sinwar

View attachment 2852930
Al sahafu katika ubora wake
 
Hamas wamejua kuwaabisha wazayuni[emoji23][emoji1787][emoji1787] Mwezi wa3 huu kazi kuua raia tu si waue hao Hamas sasa
IMG_6399.jpg

Wanajeshi waisrael wanavyojikusanya pamoja na kuuliwa kizembe had aibu,zile nyumba za wapalestina walizofanya magofu ndio zimekua makaburi yao
 
Kinachoendelea Gaza kila mwenye macho anaona.
Jana israel imeua gaidi la iran hujo syria lenye cheo cha brigedia jenerali
Vifo vimefikia ekfu 21 huku zaidi ya elfu 50 wakijeruhiwa. Kila jengo iimebomolewa. Netanyahu amesema vita haisimami.
Majenerali wa Israel kadhaa nao wameshaondosswa na Hamas nao wanasema vita viendelee.Hakuna kurudi nyuma
 
Malengo ya israel ni yapi unaweza kuuwa hata watu million lakini usipofikea malengo yako ya kuanzisha vita umefail maana malengo ya israel ni mawili 1.kuokoa mateka na walisema hawataki majadiliano watawaokoa mwisho wa siku wakaomba kubadilishana na mpk leo hakuna mateka waliemuokoa zaidi ya waliobadilishana 2.kuifuta hamas hapo ndio wanahangaika huu mwezi 3 unaenda eneo lenyewe wanalohangaika nalo kama kigamboni na hapo wanasaidiwa na Usa+france+german+uk

Malengo ni kuwatoa Hamas madarakani
 
Back
Top Bottom