Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,847
- 2,768
Ahsante sana bossYajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo
Habarini za jioni ya pasaka ndugu wana jamvi. Si mwandishi sana humu jamvini japo ni msomaji wa muda kidogo. Leo nimependa ku share jambo lilionipa msaada baada ya kuona watu wengi wamekuwa wakisumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo. Binafsi niliumwa na vidonda vya tumbo kwa miaka mitatu...www.jamiiforums.com