Nimefurahia kukuoma role model wangu.Kila siku nasema hapa...
Uafrika hasa utanzania ni laana
Waafrika hasa watanzania wana Upumbavu wa milele.
Hakika usemacho ni ukweli mchungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefurahia kukuoma role model wangu.Kila siku nasema hapa...
Uafrika hasa utanzania ni laana
Waafrika hasa watanzania wana Upumbavu wa milele.
Malaya mlafi yuleAma Salma Kikwete atanufaka sana...
Atakula mafao ya ustaafu wa mumewe huku akipokea mshahara na marupurupu ya ubunge. Akistaafu Ubunge anazoa mafao ya kustaafu ubunge huku akiendelea kula pensheni ya ustaafu wa mumewe...
Mbinguni kuna watu watapewa kazi ya kudeki vyoo na watakuwa wanalala stoo...
Pia watanzania wengi wamesha laanika kwa upumbavu, Hawawezi kuwachukulia hatua yeyote viongozi.Ukweli hatuna viongozi tuna majangili tupu nchi hii
Uafrika hasa utanzania ni laana.Sokwe ana akili timamu kuliko Muafrika!
Naam mkuu..[emoji1]
Muafrika ni sawa na mduduSokwe ana akili timamu kuliko Muafrika!
Kwa hii katiba ya kijinga ya kuishi kwa huruma ya mtu badala ya sheria na taratibu hata ukiteuliwa wewe utakuwa unashinda unasifia pekee, angali Kitila Mkumbo, Polepole, Bashiru, Prof wa jalalani n.kPia watanzania wengi wamesha laanika kwa upumbavu, Hawawezi kuwachukulia hatua yeyote viongozi.
Kutwa kucha kuwasifia viongozi na kujikomba komba..
Huku amewekewa kikokotoo hali iliyopekea watumishi kupewa mafao kiduchu ambayo hayawezi kumfanya huyo mtumishi asurvive miaka ya kutosha ili aje apate mkupuo unaofuata.Unyanyasaji na uporaji mafao ya wastaafu wetu kwa kisingizio cha kikokotoo lazima ukomeNa hapo ni mafao ya miaka 10 kwa awamu mbili....
Ila kuna mtumishi kafanya kazi zaidi ya miaka 30 mafao yake kupata ni sarakasi, na hicho kidogo anachostahili bado eti apewe kidogo kidogo[emoji22]
Acha niwaite Lucas mwashambwa Kabende MsakilaLUCAS MWASHAMBWA,JIDULABAMBASI na KABENDE MSAKILA,watakwambia hayo MAFAO ni kidogo sana inapaswa yaongezwe [emoji28]
Hahahaha!Acha niwaite Lucas mwashambwa Kabende Msakila
mtu mweusi sio poa . hizi benefits unaweza ona niza rais wa nchi za magharibi kumbe ni subsaharan country.Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
daaah kumbe ndo maana hii nchi ngumu sanaaa asee kuna sehemu nyingi sanaaa zinavujaaa #tunatakakatibampyaSheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Yaani binafsi nafikiri mshahara wa Rais kwa mwezi unaweza kujenga kituo kimoja cha Afya chenye hadhi ya nyota Tano na hadi kukamilika na vitendea kazi.Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)
RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:
1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.
3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.
4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.
5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.
6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.
7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).
8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.
9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.
NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!
Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!
Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?