Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

Ama Salma Kikwete atanufaka sana...

Atakula mafao ya ustaafu wa mumewe huku akipokea mshahara na marupurupu ya ubunge. Akistaafu Ubunge anazoa mafao ya kustaafu ubunge huku akiendelea kula pensheni ya ustaafu wa mumewe...

Mbinguni kuna watu watapewa kazi ya kudeki vyoo na watakuwa wanalala stoo...
Malaya mlafi yule
 
Wasaa waja wa kusaga meno.
Si mbali naam si mbali kabisa.
 
Pia watanzania wengi wamesha laanika kwa upumbavu, Hawawezi kuwachukulia hatua yeyote viongozi.

Kutwa kucha kuwasifia viongozi na kujikomba komba..
Kwa hii katiba ya kijinga ya kuishi kwa huruma ya mtu badala ya sheria na taratibu hata ukiteuliwa wewe utakuwa unashinda unasifia pekee, angali Kitila Mkumbo, Polepole, Bashiru, Prof wa jalalani n.k
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Na hapo ni mafao ya miaka 10 kwa awamu mbili....
Ila kuna mtumishi kafanya kazi zaidi ya miaka 30 mafao yake kupata ni sarakasi, na hicho kidogo anachostahili bado eti apewe kidogo kidogo[emoji22]
Huku amewekewa kikokotoo hali iliyopekea watumishi kupewa mafao kiduchu ambayo hayawezi kumfanya huyo mtumishi asurvive miaka ya kutosha ili aje apate mkupuo unaofuata.Unyanyasaji na uporaji mafao ya wastaafu wetu kwa kisingizio cha kikokotoo lazima ukome
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
mtu mweusi sio poa . hizi benefits unaweza ona niza rais wa nchi za magharibi kumbe ni subsaharan country.

bado za mipigo aiseeh
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
daaah kumbe ndo maana hii nchi ngumu sanaaa asee kuna sehemu nyingi sanaaa zinavujaaa #tunatakakatibampya
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Yaani binafsi nafikiri mshahara wa Rais kwa mwezi unaweza kujenga kituo kimoja cha Afya chenye hadhi ya nyota Tano na hadi kukamilika na vitendea kazi.
 
Hii nchi basi tu yani... Ila MUNGU atujaalie uzima ipo siku tutapata wazarendo wakweli kwenye uongozi na kubadili katiba iliyopo.
 
Kwa malezi yote haya lakini bado wanashiriki vitendo vya kifisadi wakiwa madarakani na hata wanapokuwa wastaafu.
 
Back
Top Bottom