Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

Bahati nzuri sote ni nyama ya aridhi na tukifa Hela zote tunaaza bank, ingekuwa tunaenda na Hela zote ingekuwa poA mbinguni
 
Hizo nyingi sana wakati Kuna Ile sms ya polisi mstaafu ch o Cha sgt kapiga kazi miaka 32 kapewa m 18 tu,Iko mtandaoni Kyle facebook
Tena wanampa Mil 50, 70 au 90 halafu anaambiwa zingine atapewa baadae 🤣🤣🤣
 
Kwa nchi hii hakuna risk yoyote kuwa Rais!! Kama huamini mwulize JK au mzee Ruksa!!
 
Mada hii nakumbuka lisu alisema viongozi wapo tiar waue mwanadamu mwenzake anaya mwalibia kwenye uchaguzi lengo aje apige mahela yao.

Gwajima aliona sadaka hazitoshi aende bungeni daah bas tu ndo tushazaliwa kwenye nchi hii maisha yatasonga tu
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
...na hujaongeza wa majeshi, mahakimu... Sasa hizo za wabunge zote wanapomaliza mudakw pamoja (393×250m/-=?) ni matirilioni mangapi? Yaani zinatoka kw mikupuo mingapi?! Halafu watu wanashangaa kila sk watu wakizunguka dunia na makopo mikononi wakiomba mikopo - ati kw niaba ya wananchi kuwaletea maendeleo(?) ...nk. Nafikiri tutaipata fresh
 
Sheria - THE POLITICAL SERVICE
RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225)

RAIS:
Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo:

1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

2. Kiinua mgongo sawa na ASILIMIA HAMSINI ya mshahara wake wote aliopokea akiwa madarakani kama rais.

3. Akitoka nje ya nchi kwa shughuli ya Kiserikali atalipiwa ticket ya ndege FIRST CLASS, yeye, mwenza wake na msaidizi wake.

4. Diplomatic passport yake na mwenza/wenza wake.

5. Gharama za matibabu ndani na nje ya nchi.

6. Gari mbili zisizopungua uzito wa tani 3 na hubadilishwa kila baada ya miaka 5.

7. Nyumba kubwa ya kifahari isiyopungua vyumba vinne, servant quarter & ofisi (Nyumba ya kifahari).

8. Fedha ya maintenance kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya mshahara wa rais aliye madarakani.

9. Msaidizi
10. Secretary
11. Mtumishi wa ofisi
12. Mpishi
13. Mfua nguo
14. Kijana wa kazi
15. Mtunza bustani
16. Dereva wawili
17. Matumizi ya maeneo ya VIP
18. Gharama za mazishi
19. Gharama zingine pale Serikali itaona inafaa.
20. Ulinzi wake na wana familia.

NB: Sheria hii ni ya TZ Bara, upande wa Zanzibar wana sheria yao. Hii sheria inafanyiwa MABORESHO kuongeza mafao zaidi kwa rais na wana familia. Mjane wa rais anafaidika mno sijui kulikuwa na ulazima gani wa kumwongezea mafao mengine!

Sasa, haya ni mafao ya rais tu, wengine kwenye orodha ni Makamu wa rais, Waziri Mkuu, Spika wa Bunge, Naibu Spika, RC, DC & Wabunge. Wote hawa wanalipwa mafao makubwa. Imagine, wabunge 393 uwalipe kila mmoja TZS 250M!

Je, unajua Spika mstaafu anapokea LITA 70 za mafuta ya gari kila wiki mpaka atakapofariki?
Haishangazi hata, wenye nchi hao.
 
2,3, na 8 ina maana mstaafu anakamata mpunga mrefu kuliko aliyepo madarakani? Ndiyo maana Wana nguvu sana nini?
 
Kuna watu nchi hii wana karma ....kitendo cha kusomeshwa na kodi za wananzengo kisha kupiga mstari wao ili walipe wengine ila siyo wao nina hakika wao siyo malaika ova....
 
Back
Top Bottom