Yajue mafao ya viongozi wa kisiasa

Bahati nzuri sote ni nyama ya aridhi na tukifa Hela zote tunaaza bank, ingekuwa tunaenda na Hela zote ingekuwa poA mbinguni
 
Hizo nyingi sana wakati Kuna Ile sms ya polisi mstaafu ch o Cha sgt kapiga kazi miaka 32 kapewa m 18 tu,Iko mtandaoni Kyle facebook
Tena wanampa Mil 50, 70 au 90 halafu anaambiwa zingine atapewa baadae 🤣🤣🤣
 
Kwa nchi hii hakuna risk yoyote kuwa Rais!! Kama huamini mwulize JK au mzee Ruksa!!
 
Mada hii nakumbuka lisu alisema viongozi wapo tiar waue mwanadamu mwenzake anaya mwalibia kwenye uchaguzi lengo aje apige mahela yao.

Gwajima aliona sadaka hazitoshi aende bungeni daah bas tu ndo tushazaliwa kwenye nchi hii maisha yatasonga tu
 
...na hujaongeza wa majeshi, mahakimu... Sasa hizo za wabunge zote wanapomaliza mudakw pamoja (393×250m/-=?) ni matirilioni mangapi? Yaani zinatoka kw mikupuo mingapi?! Halafu watu wanashangaa kila sk watu wakizunguka dunia na makopo mikononi wakiomba mikopo - ati kw niaba ya wananchi kuwaletea maendeleo(?) ...nk. Nafikiri tutaipata fresh
 
Haishangazi hata, wenye nchi hao.
 
2,3, na 8 ina maana mstaafu anakamata mpunga mrefu kuliko aliyepo madarakani? Ndiyo maana Wana nguvu sana nini?
 
Kuna watu nchi hii wana karma ....kitendo cha kusomeshwa na kodi za wananzengo kisha kupiga mstari wao ili walipe wengine ila siyo wao nina hakika wao siyo malaika ova....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…