Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
-
- #221
Kitendo Cha kumuona tu utakuwa ume mfariji SanaNitaendaa Tena kumtembelea rafiki ayangu💔😭Ni mwaka Sasa tangu amewekwa ndani
Asante hapoo nikimuonaa tuu machozi yanitokaaa...nashindwaa hata kuongea naeee...niliposoma hii story nikamkumbuka sanaa jmosi lzma nikamuonee...hivi zile pesa tunaziacha Kwa maafande huwa zinawafikia kweli?Kitendo Cha kukuona tu utakuwa ume mfariji Sana
Na kingine ukienda kumtembelea mtu jera haji kuku sahau
Na ukimtupa mtu jera haji kuku sahau pia hata Kama ata kusamehe
Yaah uta muuliza kwamba naweza kuku achia pesa atakupa utaratibu balikiwa mkuu na Nina Imani atakushukurua sanaAisee kweli kabisa hebu jamaa atoe detail zote za huyo kijana aliyeokota risasi hapa kuna watu msaada unatokea sana hhu
Swali moja rahisi ulikua mfungwa au maabusu?. Ukijibu utajua ulipozingua. Kwa wiki naenda hayo maeneo mara tatu hadi nne, najua ninachokisema.Unadhani tupo kijiweni mkuu?
Au tuna fanya stories hapa?
Na Kama nadanganya si useme wapi nime danganya? Ili tuone Nani mwongo Kati yangu Mimi na wewe?
Mwisho. Ushawai ingia jera?
Kama umewai nisahihishe nilipo kosea lakini Kama huja wai usiombee kuingia hakufai huko
Mahabusu na nataka unionyeshe nilipo zinguaSwali moja rahisi ulikua mfungwa au maabusu?. Ukijibu utajua ulipozingua. Kwa wiki naenda hayo maeneo mara tatu hadi nne, najua ninachokisema.
Hapo utakuwa upelelezi ndiyo shida ndugu yangu huu utalatibu wa kumkamata mtu kabla ya kuwa na ushahidi Ni mbaya sanaDaaaa jela ni balaa kuna jamaa yetu yuko huko mahabusu mwaka 9 sasa.....hata sielewi tumepambana sannaa
Chezeni na hakimu mkuu itasaidiaDaaaa jela ni balaa kuna jamaa yetu yuko huko mahabusu mwaka 9 sasa.....hata sielewi tumepambana sannaa
Sawa asante sanaaChezeni na hakimu mkuu itasaidia
Duh kesi gani hiyo?Daaaa jela ni balaa kuna jamaa yetu yuko huko mahabusu mwaka 9 sasa.....hata sielewi tumepambana sannaa
Kazi kubwa kwa watumishi hao nikuwA tia moyo wafungwa waliopo jeraHao viongozi wa dini wakati wa ibada hawakemei ushoga?
Jera Ni jera mkuu jera haifanani na nyumbaniMagereza ya Dar es salaam huwa naona kama upo uraiani kasoro uhuru tu.
Sjakuelewa mkuu hapa una zungumzia Nini mkuu?Hakuna gereza unaloingia bila kunyanyua mguu.
Kama kupi Ni jau mkuu?Sehemu ulipopatia kuandika ni "Schwarzenegger" kwingine kote jau tu.
Jera pana mashariti ya ajabu Sana mkuuKuna mwamba alikuwa anahadithia maana yeye alifungwa huko tanga, anasema mkienda shambani kama majembe yapo 20 anabeba mtu mmoja. Mkishika kila mtu lake mnaambiwa mnataka kuua askari?
Kingine alisema askari anaweza uliza nondo zipo ngapi kwenye dirisha, ukitaja idadi kamili utakula kichapo maana wewe unataka kutoroka.
Muda wa kulala ni saa 9 alasiri, na pale tarehe y siku inabadilishwa.
Alisema mambo mengi sana, japo alitoka kwa msamaha wa rais baada ya kukaa miaka 2 kati ya 15 aliyopigwa.
Mungu atuepushe ndugu zangu.