comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
- Thread starter
-
- #81
Basi sawaMkuu Codes names ziko kila sehemu... Na hio inayojulikana na watu wengi Haitumiki sana na Wale PSU ya Raisi Kwa wenzetu US kuanzia POTUS, FLOTUS na first family wote wako coded Kiusalama zaidi SS huweza kudecode
names zao na kufanya
maongezi safely through handset waliozovaa public bila mtu kungundua
Ungekuwa kitengo cha secret service (tiss) ungempa codename gani?Mimi ningemwita 'cyclone'
Hujui cyclone ni nini na hufanya nini? Kwa tafsiri cyclone ni kimbunga.Huyo mtu naona ana tabia za kimbunga katika utendaji wake.Kwann ungemuita hivyo?
NwafaaTinga Tinga.
Bulldozer.
Jembe.
Kibokoyao.
You've to corrcorrect your self,Point of collection, D.Trump Ni raisi wa 45 wa US sio 46
Hujui cyclone ni nini na hufanya nini? Kwa tafsiri cyclone ni kimbunga.Huyo mtu naona ana tabia za kimbunga katika utendaji wake.
Kumbe kwenye Jukwaa hili siku hizi kuna mizaa mizaa?
Nimekumbuka lile neno: "Mtu kaona kibanzi katika jicho la mwenzake na kushindwa kuona boriti katika jicho lake mwenyewe."Sahihi. Correct the collection itself!
Nyongeza tu hata hizo passkeys ama passcodes huwa zinabadilika mara kwa mara. Hata hiyo uliogundua ya Trump huenda imekwisha badilika kitambo kabisa.
sizonjeTinga Tinga.
Bulldozer.
Jembe.
Kibokoyao.
Point of collection, D.Trump Ni raisi wa 45 wa US sio 46
Nakataa... bashite tu anamtoa jashoTinga Tinga.
Bulldozer.
Jembe.
Kibokoyao.
Nyongeza tu hata hizo passkeys ama passcodes huwa zinabadilika mara kwa mara. Hata hiyo uliogundua ya Trump huenda imekwisha badilika kitambo kabisa.