Yajue makundi manne ya dawa za kulevya & madhara yake

Kwenye mambo ya kiimani tunaamini kila kitu kipo kwa reason sasa wewe ukihukumu maamuzi ya muumba wako sijui akili yako inakuwa inafikilia nini kwa mfano sie tuliopiga medic idara ya pharm kila mmea ambao unafaida lazima utumike kusaidia watu hata pombe inatumika kusaidia watu hawa pombe kali kwenye kikohozi kikavu simple yaani
 
Zote zina compoud ya caffeine so hazina tofauti na tumbaku na mirungi zote ni CNS stimulant sema mirungi ni mild stimulant kwahiyo ni kali kuliko hizo nyingine
Tobacco ina nicotine ambayo unaweza kuchanganya pamoja paracetamol ukapata dawa nzuri ya mauvi
Mirungi ina cathinione inaweza kutumika kama euphoric effect kwa wazee na vijana ambao wako na mistress
Coffee ina caffeine pia unaweza changanya pamoja na paracetamol na asprin kwaajiri ya maumivu
Chocorate ina theobroma inaweza tumika kama dawa ya pressure ya kushuka(hypotension)
 
Na wewe unatumia ipi? Apo
 
Naona mfamasia umeingia kazini.
 
Na wewe unatumia ipi? Apo
Nilitumia vileta njozi na vichangamsho, lkn niliacha baada ya kunusurika ukichaa.

Nipo salama huu no mwaka wa tano tangu niache kutumia hizi dawa.
 
Nakushukuru mtoa mada .
Hulka asilia ya mwanadamu ni udadisi . Anapenda kuthubutu , na mara nyingi ukizuia kitu unamuongezea hamu ya kudadisi na matokeo yake yanaweza kuwa chanya au hasi .
 
Ndio niliwahi tumia uyoga mara moja ila cannabis naipenda sana japo situmii kila siku
Uyoga ni huuhuu au ni neno la kupunguzia makali kitu kingine kama "dawa" kwa cannabis? Kama ni uyoga kweli, nao imekuwaje uingizwe ktk kundi hili wakati ni mlo tu wakawaida?
 
Kwamba uyoga ni madawa ya kulevya....! Hii ni mpya kwangu (asante JF), kwa hiyo...huku vijijini sisi ni 'mateja' ama !? Maana kila msimu tunakula uyoga.
-----------
Ebu mleta mada fafanua kidogo juu ya hili.
 
Uyoga ni huuhuu au ni neno la kupunguzia makali kitu kingine kama "dawa" kwa cannabis? Kama ni uyoga kweli, nao imekuwaje uingizwe ktk kundi hili wakati ni mlo tu wakawaida?
Kuna uyoga aina nyingi sana upo hadi unatumika kutibia kikohozi ila huu niule wa mambo spiritual awake (recreational)psilocybin mushroom pia inajulikana kama psychedelic mushroom psilocybin mushrooms include Copelandia, Gymnopilus, Inocybe, Mycena, Panaeolus, Pholiotina, Pluteus, and Psilocybe. Over 100 species are classified in the genus Psilocybe. Psilocybin na hiyo ndio chemical compound yake ukila hiyo ni hatari euphoric yake na wamefanya uchunguzi hivi karibuni kuwa haina addiction
 
Vipi, unapatikana hapa nchini? Na kama upo utautambuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…