Bila Mrusi kuanza kutusamehe hao wasingefanikiwa...Mpaka hapo mchango wa Mrusi ni 💯Taarifa rasmi ya WB ni kwamba HIPC na Multilateral Debt Relief Initiative (MDRI) zimewezesha kusamehewa kwa deni la kiasi cha $100 billions kwa jumla ya mataifa 37, 31 yakiwa ya Africa.
Kuna video niliona humuhumu Jf nadhani ya Raisi T-shekedi T-shilombo Felix akimjibu Emmanuel Macron kuhusu swala la amani/vikundi vya kigaidi nchini Kongo nalawama akimpa MacaroniIla hiyo ya kusema, US anatoa siraha kwa waasi na wakati huohuo kwa serikali ili waendelee kupigana mbona kama haimake sence??
Hata kama serikali za kiafrika sio makini ila sio kwa kiasi hicho mkuu, yaani uone mtu anakupa siraha wewe na anampa adui yako na bado uendelee kumuamini.
Au ni kua hiyo ni siri mnayoijua wachache huko hizo serikali nufaika hazijui hiyo sir??
Kaka unateseka ukiwa wapi?Taarifa rasmi ya WB ni kwamba HIPC na Multilateral Debt Relief Initiative (MDRI) zimewezesha kusamehewa kwa deni la kiasi cha $100 billions kwa jumla ya mataifa 37, 31 yakiwa ya Africa.
Hii ni mipango iliyoanza mwaka 2005 wakati huo hata Urusi ilikuwa inakopeshwa na World Bank.Bila Mrusi kuanza kutusamehe hao wasingefanikiwa...Mpaka happy mchango wa Mrusi ni [emoji817]
Nigeria inailipa Marekani kiasi gani kwa malipo ya ulinzi na inapata kiasi gani katika mauzo yake ya Mafuta?Swali moja la kujiuliza NIGERIA wanachimba mafuta lakini mpaka leo hii hawana Refinery yaani kiwanda cha kuyatengeneza ayo mafuta kutoka kuwa kwenye barrel yaani mafuta ghafi kuja kwenye mafuta safi kwaajili ya matumizi.. USA anahakikisha NIGERIA wasiwe na Amani kwa kum keep busy na vita dhidi ya Boko haram uku yeye akija kama msaidizi wa kukusaidia kuwatokomeza uku Akichukua Raslimali zako kama malipo ya Ulinzi wake ..
Nenda kaajiriwe nao utuache sisi na warusi wetu tulikomboe hili bara Kwa mara ya piliHii ni mipango iliyoanza mwaka 2005 wakati huo hata Urusi ilikuwa inakopeshwa na World Bank.
Refinery unazozisemea wewe anazomiliki dangote kwa uwezo na ubora ni kama izi machine zetu za kukamulia mafuta ya alizeti ivi unajua kuwa na sisi tulishawai kuwa na Refinery yetu kama iyo ya Dangote pale bandarini? Ngoja nitulie vizuri nikupe darasa naona bado unaitaji kuelimishwa zaidi.Sawa,achana uwezo mdogo wa akili,na Hilo usilifanye kuwa hoja kwasasa.
Narudia tena,huyu Rabi ni Muongo.
Kadanganya kuhusu Refineries.
Anasena Nigeria hakuna Refinery wakati Dangote mwenyewe tu anazo kwa ajili ya viwanda vyake achilia mbali na Serikali.
Anasema US inategemea Mafuta ya Nigeria wakati graph inaonyesha mtumiaji wa mafuta ya Nigeria ni India na Spain.
Then tukisema huyu Rabi/Mwalimu ni muongo wapenda porojo kama nyie mnatuita tuna matatizo ya akili,shauri yako.
halina akili hiloBila shaka uwezo wa akili yako ni mdogo ktk mambo kama haya yaache tu yakupite, maana jibu umepewa kabisa usa ananufaikaje lakin hujaelewa.
Nigeria ina refineries nyingi tu na ya kwanza in Port Harcourt Refining Company iliyojengwa mwaka 1968, mwaka huu Dangote amefungua Refinery kubwa zaidi barani Africa huko kwao Nigeria.Swali moja la kujiuliza NIGERIA wanachimba mafuta lakini mpaka leo hii hawana Refinery yaani kiwanda cha kuyatengeneza ayo mafuta kutoka kuwa kwenye barrel yaani mafuta ghafi kuja kwenye mafuta safi kwaajili ya matumizi.. USA anahakikisha NIGERIA wasiwe na Amani kwa kum keep busy na vita dhidi ya Boko haram uku yeye akija kama msaidizi wa kukusaidia kuwatokomeza uku Akichukua Raslimali zako kama malipo ya Ulinzi wake ..
Refinery ya Dangote ndio kubwa zaidi Africa.Refinery unazozisemea wewe anazomiliki dangote kwa uwezo na ubora ni kama izi machine zetu za kukamulia mafuta ya alizeti ivi unajua kuwa na sisi tulishawai kuwa na Refinery yetu kama iyo ya Dangote pale bandarini? Ngoja nitulie vizuri nikupe darasa naona bado unaitaji kuelimishwa zaidi.
siku moja moja uwe unatumia akili ww!!!...yaani ww kila linalosemwa jema kuhusu Russia ni lazima utafute kitu cha kupinga...mtoa mada kaelezea vzr sana...inayotafutwa ni new route ya kuutoa mzigo Russia-St Petersburg...na kuufikisha popote pale duniani kwa Wahitaji....hiyo SAHEL ROUTE mpya hailezei kwamba mzigo wa Mrusi utapelekwa Mali/Niger/B-Faso...hiyo ni route ya kuweza kuzifikia nchi nyingine duniani ....Mleta uzi ni vyema ukafahamu GDP ya Niger, Mali na Burkinafaso kwa pamoja ni ndogo kuliko hata ya Tanzania, Urusi pamoja na kuwa sio smart sana kwenye masuala ya Uchumi haiwezi kuhangaika na kuzungusha mizigo kwa reli, majini-caspian sea, reli-Iran, majini-Arabian sea, reli/barabara- Djibouti/Ethiopia, Sudan au Egypt kuwapelekea wachovu wa Sahel. Huo mzigo utafika umechoka sana na hata masikini huko hawataweza kununua hiyo ngano kwa bei itakayowafikia nayo.
Itoshe kusema wewe ni maamuma wa global logistics na supply chain.
Unajua ukanda wa Sahel unajumuisha nchi zipi na maeno gani ya baadhi ya nchi??siku moja moja uwe unatumia akili ww!!!...yaani ww kila linalosemwa jema kuhusu Russia ni lazima utafute kitu cha kupinga...mtoa mada kaelezea vzr sana...inayotafutwa ni new route ya kuutoa mzigo Russia-St Petersburg...na kuufikisha popote pale duniani kwa Wahitaji....hiyo SAHEL ROUTE mpya hailezei kwamba mzigo wa Mrusi utapelekwa Mali/Niger/B-Faso...hiyo ni route ya kuweza kuzifikia nchi nyingine duniani ....
au kwa mtazamo wako ni wapi mtoa mada ameongea kwamba biashara itakuwa ni kati ya Russia na hizo Sahel Regions???
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mtu mwenye akili timamu akisikia hii kauli kwamba Urusi inapitisha mizigo Sahel route ili kuzifikia nchi nyingine duniani atacheka sana.siku moja moja uwe unatumia akili ww!!!...yaani ww kila linalosemwa jema kuhusu Russia ni lazima utafute kitu cha kupinga...mtoa mada kaelezea vzr sana...inayotafutwa ni new route ya kuutoa mzigo Russia-St Petersburg...na kuufikisha popote pale duniani kwa Wahitaji....hiyo SAHEL ROUTE mpya hailezei kwamba mzigo wa Mrusi utapelekwa Mali/Niger/B-Faso...hiyo ni route ya kuweza kuzifikia nchi nyingine duniani ....
au kwa mtazamo wako ni wapi mtoa mada ameongea kwamba biashara itakuwa ni kati ya Russia na hizo Sahel Regions???
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Hao West wameshawahi kutupa Tech ipi..??...zaidi ya dawa za kufubaza virusi vya HIV na CONDOM wakati hiyo HIV wameitengeneza wenyewe na kutuletea ss...hv Waafrica mkoje nyie...hv anaekupatia mbolea ukalime ujikomboe na njaa....Silaha na maarifa ya kujilinda dhidi ya West wanaokesha wakituibia resources zetu...yupi ni bora...???Putin haiwezi kuikomboa Africa, anachotafuta ni washirika tu wa kiuchumi na kuwaparua West. Hakuna teknolojia, mitaji au namna bora ya kufanya mambo ya maana Africa itapata kutoka Urusi. Hata mkutano wa juzi wa Putin na watawala wa Africa huko Urusi watawala wa Africa waliishia kwenda kuangalia maonyesho ya silaha zinazozalishwa na Urusi badala ya teknolojia muhimu za uzalishaji viwandani.
Africa itakachoendelea kupata kwa wingi kutoka Urusi ni AK47, Ngano na mbolea.
Iko sehemu gani na inaitwaje iyo Refinery? Wanasiasa wenyewe wa NIGERIA wamesema ile ilikuwa ni siasa tu na fedha zenyewe za kujenga iko kiwanda ni USD 20B na izo fedha alitaka akakope uko uko WB sasa cha kujiuliza ni iki serikali ya NIGERIA imekosa Dola billion 20 ya kujenga iko kiwanda au wamekosa mwekezaji wa kuwekeza izo fedha NIGERIA kwa population yao na GDP yao?Nigeria ina refineries nyingi tu na ya kwanza in Port Harcourt Refining Company iliyojengwa mwaka 1968, mwaka huu Dangote amefungua Refinery kubwa zaidi barani Africa huko kwao Nigeria.
Mfano tu apo CONGOAnayesema US na collective west hawana shida na resource za Nigeria haoni miradi ya US na hao west huko Africa Magharibi?
Unaweza kuyataja ayo mataifa?Taarifa rasmi ya WB ni kwamba HIPC na Multilateral Debt Relief Initiative (MDRI) zimewezesha kusamehewa kwa deni la kiasi cha $100 billions kwa jumla ya mataifa 37, 31 yakiwa ya Africa.
Iko Lekki,Iko sehemu gani na inaitwaje iyo Refinery? Wanasiasa wenyewe wa NIGERIA wamesema ile ilikuwa ni siasa tu na fedha zenyewe za kujenga iko kiwanda ni USD 20B na izo fedha alitaka akakope uko uko WB sasa cha kujiuliza ni iki serikali ya NIGERIA imekosa Dola billion 20 ya kujenga iko kiwanda au wamekosa mwekezaji wa kuwekeza izo fedha NIGERIA kwa population yao na GDP yao?