Yajue Mapinduzi ya Niger kwa upana zaidi

Yajue Mapinduzi ya Niger kwa upana zaidi

Kuna video niliona humuhumu Jf nadhani ya Raisi T-shekedi T-shilombo Felix akimjibu Emmanuel Macron kuhusu swala la amani/vikundi vya kigaidi nchini Kongo nalawama akimpa Macaroni

Sasa hapo sijui ipoje maana inaonesha anajua au Antonee shilombo Raisi wa Kongo alikuwa na mihemko tu
Maraisi na viongozi wote wa Africa wanajua A to Z kinachofanyika shida ndio ilikuwa ni nani atamfunga paka kengele baada ya ujio wa Russia ndio tumeona watu wanaanza kuamka ..
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Iko sehemu gani na inaitwaje iyo Refinery? Wanasiasa wenyewe wa NIGERIA wamesema ile ilikuwa ni siasa tu na fedha zenyewe za kujenga iko kiwanda ni USD 20B na izo fedha alitaka akakope uko uko WB sasa cha kujiuliza ni iki serikali ya NIGERIA imekosa Dola billion 20 ya kujenga iko kiwanda au wamekosa mwekezaji wa kuwekeza izo fedha NIGERIA kwa population yao na GDP yao?
Lini serikali ya Nigeria ilikuambia inataka kufanya biashara ya Refinery ya mafuta??
Mwekezaji ndio huyo Dangote amepatikana.
Alivyopanga kuzipata na alivyozipata hizo pesa za kujenga hiko kiwanda ni suala lake binafsi mradi sio pesa chafu.
 
siku moja moja uwe unatumia akili ww!!!...yaani ww kila linalosemwa jema kuhusu Russia ni lazima utafute kitu cha kupinga...mtoa mada kaelezea vzr sana...inayotafutwa ni new route ya kuutoa mzigo Russia-St Petersburg...na kuufikisha popote pale duniani kwa Wahitaji....hiyo SAHEL ROUTE mpya hailezei kwamba mzigo wa Mrusi utapelekwa Mali/Niger/B-Faso...hiyo ni route ya kuweza kuzifikia nchi nyingine duniani ....
au kwa mtazamo wako ni wapi mtoa mada ameongea kwamba biashara itakuwa ni kati ya Russia na hizo Sahel Regions???

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Uyu jamaa ni mweupe kichwani hana analolijua
 
Hao West wameshawahi kutupa Tech ipi..??...zaidi ya dawa za kufubaza virusi vya HIV na CONDOM wakati hiyo HIV wameitengeneza wenyewe na kutuletea ss...hv Waafrica mkoje nyie...hv anaekupatia mbolea ukalime ujikomboe na njaa....Silaha na maarifa ya kujilinda dhidi ya West wanaokesha wakituibia resources zetu...yupi ni bora...???
Madini yote hapa Tanzania yanakombwa na West bure kabisa....Gesi yetu ya Lindi huko nayo yote washachukua yaani bure kabisa...anatokea mtu kutusanua jinsi ya kujikinga ww Yoda et all mnakesha humu kumponda kwamba hafai...aisee!!!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Urusi haitupatii mbolea au silaha bure, tunanuna kwa pesa zetu.
Teknolojia sio lazima uletewe mitambo nchini kwako. Kuna Waafrika wengi tu wamesoma vyuo bora kabisa Marekani na Ulaya kwa scholarships, tatizo tofauti na wenzao Wachina au Korea Kusini wao walibweteka na kutoitumia knowledge waliyopata huko.
 
Mtu mwenye akili timamu akisikia hii kauli kwamba Urusi inapitisha mizigo Sahel route ili kuzifikia nchi nyingine duniani atacheka sana.

Sijui kama unafahamu Sahel Ukiachilia mbali huo ni ukanda wa jangwa kali pia ni eneo lawlessness la wanamigambo, waasi na majambazi.
Unajua waasi,majambazi na wanamigambo wameletwa na nani apo? Unakumbuka maharamia waliokuwa wanateka meli somalia nani alikuwa anawafund? na kuwapa silaha na kwa madhumuni gani?
 
Magaidi wanapatikana sehemu zenye Yao
Hata wale wa msumbiji wanapatika maeneo yenye hazina kubwa sana ya madini
 
Unajua waasi,majambazi na wanamigambo wameletwa na nani apo? Unakumbuka maharamia waliokuwa wanateka meli somalia nani alikuwa anawafund? na kuwapa silaha na kwa madhumuni gani?
Hawajeletwa na yeyote, hapo ndio nyumbani kwao wamekuwa wakiishi miaka yote.
 
Hao West wameshawahi kutupa Tech ipi..??...zaidi ya dawa za kufubaza virusi vya HIV na CONDOM wakati hiyo HIV wameitengeneza wenyewe na kutuletea ss...hv Waafrica mkoje nyie...hv anaekupatia mbolea ukalime ujikomboe na njaa....Silaha na maarifa ya kujilinda dhidi ya West wanaokesha wakituibia resources zetu...yupi ni bora...???
Madini yote hapa Tanzania yanakombwa na West bure kabisa....Gesi yetu ya Lindi huko nayo yote washachukua yaani bure kabisa...anatokea mtu kutusanua jinsi ya kujikinga ww Yoda et all mnakesha humu kumponda kwamba hafai...aisee!!!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Uyo YODA ni mweupe kichwani wala asikuumize kichwa anasema RUSSIA awezi kuisaidia Africa je WEST ambao mpaka muda huu wameisadia nini africa zaidi ya kuwafanya kuwa maskini na omba omba tu
 
Refinery ya Dangote ndio kubwa zaidi Africa.
Mbona unalinganisha na Africa badala ya say Saudi Arabia? Unavyoambiwa hizo ni kama vile viji mashine vyakukamua alizeti huelewi kipi?
 
Kwahiyo Africa tuish kwa kumtegemea mtu mmoja ambae n Putin vip akifa shithole countries hiv hatuwez shikamana kama Africa
 
Mbona unalinganisha na Africa badala ya say Saudi Arabia? Unavyoambiwa hizo ni kama vile viji mashine vyakukamua alizeti huelewi kipi?
Plant ya ku refine mapipa 650,000 kwa siku sio sawa na mashine ya alizeti, Refinery kubwa zaidi duniani iko India inazalisha mapipa milioni 1.2 kwa siku.
 
Maraisi na viongozi wote wa Africa wanajua A to Z kinachofanyika shida ndio ilikuwa ni nani atamfunga paka kengele baada ya ujio wa Russia ndio tumeona watu wanaanza kuamka ..
Africa inahitaji ulinzi tu dhidi ya hao mabeberu wengine, ikihakikishiwa (which Russia is offering that) the rest will be history...Maana hata wao hawana kingine zaidi ya majeshi yenye nguvu na nuclear power basi...Kwanza Kwa sasa hata akili tunawazidi Kwa mbali sana...Hatuna tu wakutulinda kwakua walituwahi mapema kutudhibiti...Ni kama umfunge Tyson Kwa minyororo kisha umpige ngumi za haja bila yeye kujitetea udai kuwa eti wewe unamzidi huyo mwanamasumbwi
 
Back
Top Bottom