Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nikipata huo muda nitakutajia yote.Unaweza kuyataja ayo mataifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikipata huo muda nitakutajia yote.Unaweza kuyataja ayo mataifa?
Maraisi na viongozi wote wa Africa wanajua A to Z kinachofanyika shida ndio ilikuwa ni nani atamfunga paka kengele baada ya ujio wa Russia ndio tumeona watu wanaanza kuamka ..Kuna video niliona humuhumu Jf nadhani ya Raisi T-shekedi T-shilombo Felix akimjibu Emmanuel Macron kuhusu swala la amani/vikundi vya kigaidi nchini Kongo nalawama akimpa Macaroni
Sasa hapo sijui ipoje maana inaonesha anajua au Antonee shilombo Raisi wa Kongo alikuwa na mihemko tu
Uyu jamaa anapata tabu sana ataki kukubali kuwa west wamepoteana na wanazidi kupoteza ushawishiKaka unateseka ukiwa wapi?
Lini serikali ya Nigeria ilikuambia inataka kufanya biashara ya Refinery ya mafuta??Iko sehemu gani na inaitwaje iyo Refinery? Wanasiasa wenyewe wa NIGERIA wamesema ile ilikuwa ni siasa tu na fedha zenyewe za kujenga iko kiwanda ni USD 20B na izo fedha alitaka akakope uko uko WB sasa cha kujiuliza ni iki serikali ya NIGERIA imekosa Dola billion 20 ya kujenga iko kiwanda au wamekosa mwekezaji wa kuwekeza izo fedha NIGERIA kwa population yao na GDP yao?
Faida ndio izo raslimali wanazoiba apo na kuchukua bure apo NIGERIANigeria inailipa Marekani kiasi gani kwa malipo ya ulinzi na inapata kiasi gani katika mauzo yake ya Mafuta?
Nieleze ilipo apo NIGERIA na uwezo wake wa kuchuja mapipa mangapi ya mafuta ghafi kwa siku?Refinery ya Dangote ndio kubwa zaidi Africa.
Uyu jamaa ni mweupe kichwani hana analolijuasiku moja moja uwe unatumia akili ww!!!...yaani ww kila linalosemwa jema kuhusu Russia ni lazima utafute kitu cha kupinga...mtoa mada kaelezea vzr sana...inayotafutwa ni new route ya kuutoa mzigo Russia-St Petersburg...na kuufikisha popote pale duniani kwa Wahitaji....hiyo SAHEL ROUTE mpya hailezei kwamba mzigo wa Mrusi utapelekwa Mali/Niger/B-Faso...hiyo ni route ya kuweza kuzifikia nchi nyingine duniani ....
au kwa mtazamo wako ni wapi mtoa mada ameongea kwamba biashara itakuwa ni kati ya Russia na hizo Sahel Regions???
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Urusi haitupatii mbolea au silaha bure, tunanuna kwa pesa zetu.Hao West wameshawahi kutupa Tech ipi..??...zaidi ya dawa za kufubaza virusi vya HIV na CONDOM wakati hiyo HIV wameitengeneza wenyewe na kutuletea ss...hv Waafrica mkoje nyie...hv anaekupatia mbolea ukalime ujikomboe na njaa....Silaha na maarifa ya kujilinda dhidi ya West wanaokesha wakituibia resources zetu...yupi ni bora...???
Madini yote hapa Tanzania yanakombwa na West bure kabisa....Gesi yetu ya Lindi huko nayo yote washachukua yaani bure kabisa...anatokea mtu kutusanua jinsi ya kujikinga ww Yoda et all mnakesha humu kumponda kwamba hafai...aisee!!!
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Unajua waasi,majambazi na wanamigambo wameletwa na nani apo? Unakumbuka maharamia waliokuwa wanateka meli somalia nani alikuwa anawafund? na kuwapa silaha na kwa madhumuni gani?Mtu mwenye akili timamu akisikia hii kauli kwamba Urusi inapitisha mizigo Sahel route ili kuzifikia nchi nyingine duniani atacheka sana.
Sijui kama unafahamu Sahel Ukiachilia mbali huo ni ukanda wa jangwa kali pia ni eneo lawlessness la wanamigambo, waasi na majambazi.
Hawajeletwa na yeyote, hapo ndio nyumbani kwao wamekuwa wakiishi miaka yote.Unajua waasi,majambazi na wanamigambo wameletwa na nani apo? Unakumbuka maharamia waliokuwa wanateka meli somalia nani alikuwa anawafund? na kuwapa silaha na kwa madhumuni gani?
Uyo YODA ni mweupe kichwani wala asikuumize kichwa anasema RUSSIA awezi kuisaidia Africa je WEST ambao mpaka muda huu wameisadia nini africa zaidi ya kuwafanya kuwa maskini na omba omba tuHao West wameshawahi kutupa Tech ipi..??...zaidi ya dawa za kufubaza virusi vya HIV na CONDOM wakati hiyo HIV wameitengeneza wenyewe na kutuletea ss...hv Waafrica mkoje nyie...hv anaekupatia mbolea ukalime ujikomboe na njaa....Silaha na maarifa ya kujilinda dhidi ya West wanaokesha wakituibia resources zetu...yupi ni bora...???
Madini yote hapa Tanzania yanakombwa na West bure kabisa....Gesi yetu ya Lindi huko nayo yote washachukua yaani bure kabisa...anatokea mtu kutusanua jinsi ya kujikinga ww Yoda et all mnakesha humu kumponda kwamba hafai...aisee!!!
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Mbona Botswana hakuna magaidi??Magaidi wanapatikana sehemu zenye Yao
Hata wale wa msumbiji wanapatika maeneo yenye hazina kubwa sana ya madini
Uwezo wake ukoje inaweza kuchenjua mapipa mangapi kwa siku?Iko Lekki,
ilianza kujengwa mwaka 2017 na ikamalizwa mwaka 2023,
Inaitwa Dangote Refinery.
Ndio cha kujiuliza kwanini wanakaa sehemu izo na kwa faida ya nani?Magaidi wanapatikana sehemu zenye Yao
Hata wale wa msumbiji wanapatika maeneo yenye hazina kubwa sana ya madini
Usifanye mchezo na utajiri wa GESI uliopo apo cabodelgado msumbiji uwezi kuifananisha na Botswana kwa raslimali..Mbona Botswana hakuna magaidi??
Mbona unalinganisha na Africa badala ya say Saudi Arabia? Unavyoambiwa hizo ni kama vile viji mashine vyakukamua alizeti huelewi kipi?Refinery ya Dangote ndio kubwa zaidi Africa.
Plant ya ku refine mapipa 650,000 kwa siku sio sawa na mashine ya alizeti, Refinery kubwa zaidi duniani iko India inazalisha mapipa milioni 1.2 kwa siku.Mbona unalinganisha na Africa badala ya say Saudi Arabia? Unavyoambiwa hizo ni kama vile viji mashine vyakukamua alizeti huelewi kipi?
Africa inahitaji ulinzi tu dhidi ya hao mabeberu wengine, ikihakikishiwa (which Russia is offering that) the rest will be history...Maana hata wao hawana kingine zaidi ya majeshi yenye nguvu na nuclear power basi...Kwanza Kwa sasa hata akili tunawazidi Kwa mbali sana...Hatuna tu wakutulinda kwakua walituwahi mapema kutudhibiti...Ni kama umfunge Tyson Kwa minyororo kisha umpige ngumi za haja bila yeye kujitetea udai kuwa eti wewe unamzidi huyo mwanamasumbwiMaraisi na viongozi wote wa Africa wanajua A to Z kinachofanyika shida ndio ilikuwa ni nani atamfunga paka kengele baada ya ujio wa Russia ndio tumeona watu wanaanza kuamka ..