TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Anatuchora....!Mkuu wewe ni member since 2008
Kifupi una miaka 10 JF
Naishia hapo.
Ee wadau hapo juu ,labda hivo vinahusiana vipi na juice?
Mleta mada njoo tuyajenge pm,mimi ni mdau nipo kwa iyo sector,na kajua ndo kameanza kupendeza
Tumsamehe,moderators nafikiri wataunganisha uzi
Ni kweli zipo za elfu 60,000 na kuendelea piaBei ya blenda nilisikiaga eti ni Elfu 60 sijui ni kweli au nilidanganywa
Ulifanikiwa??Nina mpango wa kufanya biashara hii ya juice mwanza kuanzia mwezi wa saba nikimaliza Chuo. Location itakua stand ya mabas nyegezi, na pia nitakua nasambaza kwenye canteen za shule zilizopo karibu na nyegezi. Naomba kama kuna MTU anafaham namna ya kupata zile package na jinsi ya kuweka logos. Haimaanishi naiga watu wengine hapana, nataka kufanya kitu ambacho nahisi katika mazingira kama ya pale stand kitaleta faida.
Juicer kazi yake ni kutengeneza juice bila kusaga, yenyewe inakamua juice kutoka kwenye matunda. Inatoa juice sehemu yake na mabaki ya matunda sehemu yake.utofauti Wa blender na juicer ni nini?
Bei ya Juicer imara ikoje mkuu!Juicer kazi yake ni kutengeneza juice bila kusaga, yenyewe inakamua juice kutoka kwenye matunda. Inatoa juice sehemu yake na mabaki ya matunda sehemu yake.
Hio kuponda ponda bila kusaga ndio kitu gani sasa? Mbona haielewekiKama uko Dar es Salaam jaribu kutembelea siku moja Chuo cha D.I.T pale uone, kuna jamaaa ana kamtaji seems ni kadogo sana ila anapiga hela ya ajabu sana kwa kuuza "FRUITS" yaani ile mixture ya matunda yaliyopondwa pondwa na kuchanganywa kwa pamoja bila kuyasaga.
Jamaa anapiga sana pesa maana ubunifu wake ni mzuri na watu wananunua ile kitu for luxury tu na out of curiosity lakini ukishanunua huwezi kuacha maana ni matunda fresh na ameyachanganya kwa ubunifu mzuri.
Ukipata sehemu yenye mkusanyiko wa watu wengi ukawa unauza hio kitu unatoka maana seems watu wanapenda sana hii "fruit" kuliko matunda magumu au juisi iliyosagwa, any way ni idea tu unaweza kuifanyia kazi kabla ya kuifanyia impelementation
Juicer imara unapata kwa 250,000Bei ya Juicer imara ikoje mkuu!
Za majumbani zinazumbua kivipi? Ila hiyo bei mkuu yani 1.4M kabisa??? Huo ni zaidi ya mtajiJuicer nzuri kwaajili ya biashara ni hizi commercial electric vegetable/fruit juicer.
View attachment 1014618View attachment 1014619
Ni imara na hazisumbui kama zile za majumbani. Bei yake ni 1,400,000/=
kuna dada mmoja alianza na kuuza lita 5 mpaka kumi. alianza kwa kutumia madumu pamoja na glass za kawaida.Za majumbani zinazumbua kivipi? Ila hiyo bei mkuu yani 1.4M kabisa??? Huo ni zaidi ya mtaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Za majumbani sio commercial kama ni biashara jaribu kutafuta kamtaji na uwe na vitu vifuatavyoZa majumbani zinazumbua kivipi? Ila hiyo bei mkuu yani 1.4M kabisa??? Huo ni zaidi ya mtaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu, ila hii naona ni centrifugal juicer. Vipi ilio bora kwa upande wa cold press juicer ni ipi kwa range hiyo hiyo ya bei?kuna dada mmoja alianza na kuuza lita 5 mpaka kumi. alianza kwa kutumia madumu pamoja na glass za kawaida.
Za majumbani sio commercial kama ni biashara jaribu kutafuta kamtaji na uwe na vitu vifuatavyo
1. Blender yenye nguvu heavy duty. ukipata Kenwood Original (ok)
Hizi za kichina hazidumu na zinapata moto haraka na kuzima zima.
2. Juicer ambayo ni heavy duty ama kama unatumia za majumbani basi tumia Kenwood JE730 hii bei yake ipo chini ya hizo za commercial; bei ya keenwwod Je730 ni kati ya tsh 450,000/= na 490,000/=
View attachment 1014988
Hii ni ya nyumbani ila inauwezo mkubwa hata kwa biashara ndogo inafaa.
Yes niShukrani mkuu, ila hii naona ni centrifugal juicer. Vipi ilio bora kwa upande wa cold press juicer ni ipi kwa range hiyo hiyo ya bei?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu, ila hii naona ni centrifugal juicer. Vipi ilio bora kwa upande wa cold press juicer ni ipi kwa range hiyo hiyo ya bei?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani sijajibu swali lako vizuri. Cold press yenye kiwango cha ubora kama Hii ya Cetrifugal ya Kenwood.Shukrani mkuu, ila hii naona ni centrifugal juicer. Vipi ilio bora kwa upande wa cold press juicer ni ipi kwa range hiyo hiyo ya bei?
Sent using Jamii Forums mobile app