Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

Simu ya mwanaume ni kitunguu .
download (2).jpeg
 
Usishangae akiwa na mwenzako anakusave Yusufu makaburi ili ukipiga anasema unafanya kazi ya kuyachimba sasa kuna tenda alikuahidi.
 
Ukitaka mwanaume wako asicheat, hakikisha unamtolea mahari na unamhudumia (unamlea)
Halafu huyo mwanaume atakuwa anamtii huyo mwanamke, na atakuwa anapika, anasafisha nyumba, anaosha vyombo, anafua au atakuwa anafanya nini
 
Long story short, mwanaume wangu.....
Umefanya makosa mawili makubwa; na yataendelea kukugharimu sana usipoyarekebisha chap!

1. Ku-assume kwamba huyo ni mwanaume wako. Mwanaume ni wako ukiwa naye ndani. Akitoka huyo ni wa wengine...sawasawa tu na nyie wanawake!

2. Kukagua simu ya huyo unayedhani ni mwanaume wako. Simu ya mwanaume kamwe haikaguliwi...na ukiikagua basi uwe na kifua cha kupambana na utakayoyakuta humo!

Screenshot_20240610_172616_Instagram Lite.jpg
 
Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,

Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.

Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.

Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.

Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu 😭😔😔😔
Wewe siyo mzima, una shida ya afya ya akili, huo muda umetoa wapi? my man, my foot! Red flags na bado umooo...
 
Brainless Biaches, kama hawa ndio wanawake mlionao huko kwenye mahusiano ya kudumu, ni bora niendelee kununua tu.
 
nilisema nikiingia nitaingia kama terrorist,, kulilia mahusiano nilimaliza kabisa,,papa bear popote ulipo jiandae 😌
 
Mtu anafumaniwa anakataa katu katu ije kuwa namba tu unaanzaje kukubali ,hujui kukubali ni kuharibu

Note: sisapoti kucheat ni mbaya na inaua
 
Wanaume tuko ladhi tukatwe kidole lakini sio kukubali.

Kuna jamaa alifuniwa akabahatika kusepa Sasa katika kukimbia akaacha shati lake mjuavyo kijijn watu hujuana hata Kwa mashati tu kuwa hili la fln .

Jamaa kuona vile akaenda Hadi kwake asbh na mapema akaamka kwenda kununua lile shati lilikuwa la Yanga.

Akiwa Bado mjini watu wakafika Kwa mke wake wakamuuliza habar za Mme wake akakiri Mme wake kalala hapa na ameondoka asbh hajui kaenda wapi.

Wakamwambia hii shati si mmeo akakubali Hadi akainusa na kuwa hakikishia ni yenyewe.

Muda sio mrefu jamaa huyu hapa kalowana na matope shati la Yanga analo na samaki aina ya kamogo kabeba.

Wakamuuliza hajui Kila kitu na anawashangaa huku anawafukuza kwake mke wake anamwambia lkn hili ni lako akamwambia Mimi ninajua shati langu ni Hili Hilo silijui.

USHAHIDI ukakosekana.
 
Back
Top Bottom