Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utajua mwenyewe. Kama Kazi yako ni kufatilia id ya MTU ambaye hakujui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeye kabisaa.Huyu ndo yule figo wa kipindi kile [emoji23][emoji23][emoji23]
Anakuaga na nyuzi nyingi kweli akilianzisha, bila shaka hapo anatupa ndoano anasubiri wadau pm.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeye kabisaa.
Kidney76 aliletaga uzi wa kuitwa mwanza akatoswa lodge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeye kabisaa.
😅 mkuu si ya kucheka haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had bas.
Nimekoma naacha leo leo aiseee duh! Ila nilijua behind keyboard kuna bonge moja la zigo kumbe dume daadeki hizi id feki zitatuponzaUtajua mwenyewe. Kama Kazi yako ni kufatilia id ya MTU ambaye hakujui.
Halafu huyo mwanaume atakuwa anamtii huyo mwanamke, na atakuwa anapika, anasafisha nyumba, anaosha vyombo, anafua au atakuwa anafanya niniUkitaka mwanaume wako asicheat, hakikisha unamtolea mahari na unamhudumia (unamlea)
Umefanya makosa mawili makubwa; na yataendelea kukugharimu sana usipoyarekebisha chap!Long story short, mwanaume wangu.....
Wewe siyo mzima, una shida ya afya ya akili, huo muda umetoa wapi? my man, my foot! Red flags na bado umooo...Yalionikuta Sina hamu na nyie wanaume,
Long story short, mwanaume wangu huwa kwenye simu yake Ana namba nyingi kasave majina ya kiume, and I have been wondering and being suspicious kuhusu hilo Sasa Jana usiku nikachukua namba kumi niasave kwangu nikawa napiga moja baada ya nyingine.
Cha kushangaza namba zote wanapokea wanawake tofauti na nikiwauliza kuhusu mwanume wangu mimi kila moja anasema yupo in relationship nae, aisee niliishiwa nguvu, na nimelia sana.
Nimemconfront my mwanaume about the issue anakataa ansema Eti hao ni mademu za washkaji zake Yani kakataa kati katu, Yani wanaume mna kipaji cha kukata jamani.
Yaani am really hurt
Wanaume sina hamu tena kwenu zimeniishia kwa tabia zenu 😭😔😔😔
fyddell jamani mbona hapo mimi sijaandika kama ninaye!!! 😁😁😁Unashauri mwenzio kuwa single wakati wewe una mwanaume kweli wanawake mnajuana wenyewe😆😆
Kunawanaume wanakera naw anawake wanakeraHata ninyi ni walewale tu .....