Yalionikuta sina hamu na nyie wanaume

strong and fearless, kumbe uongo
tulia na huyo mbwa wako woote tuko hivo
 
Ulivyojua ulifanya uamuzi gani?,stay or go ahead
 
Wewe cha kukufanya uchukue simu yake, uchukue namba zake, upigie watu wake na kuwauliza kuhusu mumeo, NI NINI?

Haudumii familia?

Hakupi mb**?

Unatafuta nini kingine?

UKOME.
 
Kuchukua namba za watu usiowajua kutoka kwnye simu ya bwako ulitaka ugundue nini? Ulichokuwa unakitafuta ulikipata jana tulia dawa ikuingie.
 
Nawe msaliti mumeo iwe ngoma draw , nakumbuka enzi zangu mimi wakati nachepuka nilikuwa kama mumeo siwezi kukubali jambo na michepuko zangu nimezisave majina ya washikaji zangu kumbe ndo michepuko zangu , nashukuru Mungu mambo yalikwenda vema zaidi sikuwahi kukamatwa.
 
Are we supposed to take this from Nikifa mke wangu asiolewe?
 
Chai
 


Umesema mwanaume wako? Wako umemtoa wapi? Hakuna mwanaume wa mke mmoja, haipo, ila kuna mke wa mwanaume mmoja tu, hii ni tokea enzi na enzi, tokea mbingu na dunia ziumbwe, so hakuna mwanaume wako peke yako, ila wewe ni mwanamke wake peke yake huyo mwanaume, ukitaka kushindana na nature, utashindwa na kupotea dunia hii..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…