bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 800
Kwahiyo ina maana hata swahiba wake ZZK aliishiwa hoja?
ndipo ninapopata shida hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ina maana hata swahiba wake ZZK aliishiwa hoja?
wangekuwa naniana wasingebadli kanuni na sharia ili kufosi akidi ili kupitisha rasimu!! katiba ili iheshimiwe na iwe nauhali sharti makundi yote yaridhieMkuu, wabunge waliobaki bungeni wapo makini sana. Hakika wana dhamira njema kwa watanzania kwa vile na wao ni sehemu ya raia wa Tanzania
Kweli huyu jamaa ni mnafifiki na hawa ndio walikuwa wanakiyumbisha chama bora katolewa mapemaaaa
Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni, Pandu Ameir Kificho anamuita mjumbe wa kamati hiyo Amon Mpanju kuwasilisha mabadiliko yanayotarajiwa kufanywa. Mpanju anaanza kwa kutoa shukran kwa mwenyekiti wake kwa kumpa fursa yamkutosha ndani ya kamati hiyo bila ya kujali hali yake ya ulemavu. Kwa wale wasiomjua Amon Mpanju, ni kwamba huyu ni mlemavu wa kutoona lakini ni mtu makini sana.
tanzania hakuna wasomi kitila ni mchumia mshipa
we hii filam ikikamilika waambie wailete kariakoo kwa wasambazaji wa kidos sie tutanunua2.
huyo sio Professor, mtafutie sifa nyingine
Kweli huyu jamaa ni mnafifiki na hawa ndio walikuwa wanakiyumbisha chama bora katolewa mapemaaaa