Yaliyojiri harusi ya AY February 24,2018; Wasanii kibao akiwemo GK walialikwa


Umeeleweka vzr ila umesahau kumpa mange kimambi credits zake maanamndiye mwenye andiko hilih alilitoa muda sana.
 
Bang
Mh! hata kama sio harusi yako ila GK kweli huna hata kasuruali ka kitambaa!??
Tatizo Bangee za mchana ,anaidharirisha harusi ya mwenzake kwa kwenda na pajama harusini,ingekuwa harusi ya ndugu yangua asingeingia ukumbini hata kama ana kadi,hii ni dharau kwa bwana harusi
 
Yani ukanda wa Ngara,Kagera na Kigoma mjini,Kasulu, Kibondo, Kigoma umejaa wakimbizo wengi sana mmoja wao ni huyu Gentamycine na kundi lake wapo wengi sana halafu kutwa kujidai Watanzania nakereka mpaka basi...
 
Huyo GK kaamuwa kuwa tofauti. Kwanza harusi ni ya msanii mwenzake mnashangaa nini? Halafu yeye mwenyewe jina lake la kiusanii ni “Crazy”, halafu akifanya crazy things mnashangaa! Watu wengine bhana! Sasa mmebakia kuipa bangi jina baya kisa narrow mind! Stupid! Mnalalamika kama vile harusi ilikuwa ya mtoto wa shangaziyenu!
 
Sawa mushi,tunashukuru kwa kichambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…