Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

Hongera Magufuli kwa kujali Watanzania Endelea kuchapa kazi
 
Hayo maneno yenu kila mtu na mfumo wake wa uongozi
Ni vyema kama umetambua kuwa Mfumo wa Uongozi wa JPM ni Data za upishi upishi na ujanja ujanja. Nakuhakikishia ripoti inayofuata itaonyesha faida kubwa sana kwenye mashirika ya UMMA. Tutasahau kabisa kuwa ATCL itamaliza kupata hasara mwaka 2023
 
Kama Charles Kicheere ana akili nzuri, angeikataa kazi hii ya CAG. Naona atapata shida sana kwenye awamu zitakazokuja baada ya Magufuri. Amepewa nafasi kwenda kukiuka misingi ya u-CAG
 
Nafikiri uhuru wa CAG haujawa compromised, atakuwa na uhuru kama wa CAGs wengine waliopita. Nawaza tu kwa kuandika.
 
Thatโ€™s my President ๐Ÿ‘๐Ÿฟ!
Very sorry for you and others for having such a President who is not serious when and where he should be serious. Unlike Nyerere, it seems he doesn't realize that place is holly thus should respected and awed by all and sundry without comedies. Threats create fear which always affects performance worse even when done in public.
 
Influenza,
Mambo yote Chapchap, bado Assad anajiuliza ni vipengele gani vimetumika? Basi agome kuachia ofisi basi.
hahahahahaha!
Kuna staff mwenzetu alikwenda kusoma, akamwachia mtu wa kukaimu kiti chake, alivyorudi si yule aliyekaimishwa akawa anakataa kuachia ofisi.

Yaani ni vituko, mwenye ofisi akiwahi ofisini, yule aliyekuwa amekaimishwa anachukua kiti na yeye anakaa hapo hapo pembeni yake!
hahahahahahahaahahahaahhhahahaha.

(nimewaza tu kwa sauti kituko hicho, japo ni cha siku nyingi kidogo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ