Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

Kuna idara iliyobaki huru? naona hakuna. Majeshi yote, Bunge, Mahakama, Watunmishi wote wa Uma. Labda waliobaki uhuru kwa 50% ni Wananchi ndio maana sanduku la kura linaogopwa.
 
Ktk vita ya wahujumu uchumi na wizi mbalimbali serikali ni wachaga wangapi walikamatwa?
tatizo mkiwa maofisini mnalemaa na kamwe hamjishulishi na kazi nyingine nje ya ofisi kwa ajili ya kipato cha ziada, ndio maana mnakalia kuona wengine wezi wakati mmekalia uvivu!
 
Kwahiyo Assad naye alikuwa fisadi?

Alafu mbona dingi anaongea kibabe sana
Anaongea utadhani nae atapita 2020
Namshauri CAG nae atumie rungu hilo kumshusha aanze na fedha zilizolipwa kutoka kwa wahujumu uchumi
 
Assad Atanyanganywa passport yake. Assad atavamiwa na document na electronic zote Atanyanganywa
 
Hii nchi kwa sasa kuwa na akili,mafanikio kiuchumi,nidhamu ya kazi/biashara/kilimo,utoaji, ni dhambi sana sana tena sana kama ukiwa mchaga!!?
Hii inchi kwa sasa kuteuliwa huku ukiwa na "merits" zote ni dhambi hasa hasa ukiwa Msukuma!!??
Tumefikaje hapa kama Taifa!? Wapi tumejikwaa tukaanguka!?
Miuu Wako wachaga wacha Mungu ingawa ni wachache wa kumulika kwa tochi lakini wapo.
 
Umeamua kuhamia upande ule rasmi
 
Hv huyu Rais mbona ana maneno magumu namna hii, hajishtukii hata kidogo..?
 
Ni wazi kabisa hata ATCL haitaweza kaguliwa na Kama ndivyo Basi ikatokea imekaguliwa taarifa yake itakuwa Haina Tena mashiko Kama kaguzi za nyuma tulizooea kuziona
 
Mkuu kwan kazi ya mkaguzi ni nn. Tuanzie apo kwanza. Hata jeshi tu sio mhimili lazima CDF atii amri anazopewa na wakuu.

Kazi ya CAG ni kumsaidia rais kujua matumizi na kumshauri namna bora ya ku manage matumizi. Kazi yake sio ku expose waliomteua bali ni kuwashauri namna bora.

Ukiwa kinyume na waliokuteua lazima wakutoe. Sasa ww uwe kinyume na rais, ambae kachaguliwa na wananchi, then uwe kinyume na bunge ambalo ndio wawakilishi wa wananchi, then pia uwe kinyume na mahakama. Sasa ww ni nani.

Yaan sasa utakuwa ww ni nan.
 
Alishasema yeye ndo mwenye serikali. CAG mpya keshaambiwa kuwa lazima atii
 
Na assad naye bado anapitia pitia vifungu vya katiba na sheria vilivyotumika kumsataafisha. Kazi ipo. Sijui hiyo saa sita atakuwa keshaondoa documents zake zote au bado atakuwa anapitia pitia vifungu vya sheria.
Asubuhi kesho profesa Assad hatakiwi kuonekana ofisini Kama Ana Cha kukabidhi akabidhi Leo kwa msaidizi wake.Mwenyewe kesho akiingia ofisini aikute tupu
 
Afu kuna wajinga wanadhani Magufuli atatoka 2020 au 2025
Huyu ndio keshakaa milele hatoki ngo
 
Angalia Orodha ya wahujumu uchumi kisha angalia majina ya wachagga ni wangapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…