Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

Well
Well said.
 
Hivi mheshimiwa mama, rais, amiri jeshi mkuu, ndio haoni au nae kaingia kwenye kanyaga twende. Nyie wenye kutawala wenzenu pia ni binadamu mjitambue, alikwepo mwenzenu.....Wenzake kutekwa, mirisasi mchana mchana mchana, watu kwenye viroba, ....Ya kwapi sasa.....Tumieni aproach ya jakaya....Usione aibu ya kumwita na kuongea nae.....

Mkiongea kuna jambo mtatoka nalo tu....Litakuwa na faida kwa nchi na pande zote....Kuliko hii nitakuonyesha.....Mkae muongee...Watanzania hatufurahii hata kidogo....Ndani ya ccm ....Hatupendi ile hali iendelee....Tujue namna ya kuongoza wakati wa presha kwa hekima...Jakaya was champion on this....Hakuwa mjinga...Take it
 
Uamuzi wa Jaji Joachim Tiganga unakiri kuwa Shahidi Upande wa Serikali alikutwa aimeingia kizimbani na 'unauthorized materials' (vitu visivyoruhusiwa) ambavyo ni kitabu cha kumbukumbu (notebook) na kalamu (pen). Lakini Uamuzi huo unaendelea kudai kuwa hakuna ushahidi wo wote unaoonyesha kuwa Shahdi huyo wa Serikali alionekana kuvitumia vitu hivyo! Huu ni Uamuzi ndani ya Kesi Ndogo (Trial within a Trial) katika Kesi ya Freeman Mbowe na wenzake uliosomwa leo Mahakama Kuu, Dar es Salaam tarehe 17 Novemba 2021.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
 
huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Mahakama sio kama vile mpirani, hata mpirani wachezaji wanapaswa kuyaheshimu maamuzi ya Refa, Sembuse Mahakamani.
tukiendekeza ubishi hatutofika mwisho.
na lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kupoteza mwelekeo wa Jaji na mahakama kwa ujumla, hilo halikubaliki.
 
Mpaka hapo tulikofikia kesi imeshavurugwa
 
hapo chanjga la macho, kama mahakama inaweza kutoa desa itashindwa kuibadilisha hiyo diary...isome wanavyotaka?

Kuna mchezo kati ya mahakamana, mashahidi na ofisi ya dpp.. tulieni mtajionea wenyewe mwisho kunakuwaje.
 
huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kumchanganya Jaji ili apoteze mwelekeo.....hilo halikubaliki.
 
Nasikia hilo desa ilibaki mahakamani
hapo chanjga la macho, kama mahakama inaweza kutoa desa itashindwa kuibadilisha hiyo diary...isome wanavyotaka?

Kuna mchezo kati ya mahakamana, mashahidi na ofisi ya dpp.. tulieni mtajionea wenyewe mwisho kunakuwaje.
 
Kwani kikawaida shahidi haandaliwi maswali na majibu na wakili wake?
Hapana, shahidi anatakiwa awe anajua anachokitolea ushahidi mahakamani. Hao wa kufundishwa ni wale mamluki wa Kingai wauza mbege.
Watu wanaofundishagwa nini cha kusema au kuandika ni hawa MATAGA humu JF. Baaas!
 
Safi sana
 
"MBOE" ni bibi yako? mpumbavu wewe, elimika na heshimu mtu, huyu kiongozi mkuu wa upinzani Tanganyika na mwanasiasa asiyenunulika.
 
vipi waambata kutoka ubalozini hawana tena msaada? kwenye hii kesi?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…