Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyoropoka sasa, CCM ni Magaidi na ni sual la muda tuvipi waambata kutoka ubalozini hawana tena msaada? kwenye hii kesi?!
wala hayana ugumu wowote ila ni wahunu tu wa CCM wakishirikiana na Wahuni wa PolisiMambo ya sheria magumu Sana,Mungu atamsimamia mbowe na wenzake
huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama...
JAMANI EEH, KAMA PAPER ILIYUJA SI INAKUWA NULL AND VOID? KWA NINI WASIFUTE HUO MTIHANI BASI KAMA WANAFUNZI WAMEKAMATWA NA MAJIBU?
EVERY THING HAPPENS FOR A PURPOSE!!!!!!!!!!!!!!. NI MIPANGO YA MUNGU KUONYESHA UTUKUFU WAKE TUUUU, HAKUNA JINGINE LA KUONGEZA WALA KUPUNGUZA..
Acha wenye akili timamu wajadili hoja. Watu kama wewe hamstahili kuwepo hapa jukwaani. Kwa sababu hakuna gate la kuzuia wasio na uelewa kujisajili kwenye jukwaa isiwe sababu ya ninyi kufikiria kuwa JF ipo pia kwaajili ya low minds.huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kumchanganya Jaji ili apoteze mwelekeo.....hilo halikubaliki.
Akili yako haina akili. Anayeisumbua mahakama NI MBOWE au nyie wachumia tumbo?huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Mahakama sio kama vile mpirani, hata mpirani wachezaji wanapaswa kuyaheshimu maamuzi ya Refa, Sembuse Mahakamani.
tukiendekeza ubishi hatutofika mwisho.
na lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kupoteza mwelekeo wa Jaji na mahakama kwa ujumla, hilo halikubaliki.
Sasa kama unampenda sana si ukajilipue pale mahakamani?"MBOE" ni bibi yako? mpumbavu wewe, elimika na heshimu mtu, huyu kiongozi mkuu wa upinzani Tanganyika na mwanasiasa asiyenunulika.
Hivi kweli mbona sioni picha za beberu huko mahakamani siku hizi?vipi waambata kutoka ubalozini hawana tena msaada? kwenye hii kesi?!
Kitendo cha jaji kusepa na diary.....Hapo kuna utata na jaji anatuchanganya tu.
Sasa aingie na diary kizimbani bila kuitumia? Yani kama urembo?
Kama wakiikaguwa na kukuta ameitumia akiwa kizimbani, basi ina maana hakuomba ruhusa kuitumia. Lakini nina wasiwasi sana na huyu jaji. Yeye aliichukuwa hiyo diary na kubaki nayo kwa siku tano huku akipiga kesi danadana tu. Kuna uwezekano wanaichakachua diary ili kuwa favor upande wa mashitaka.
mwanzoni simlikuwa mnasema hakuna ushahidi? eti mboe aachiwe huru!!Akili yako haina akili. Anayeisumbua mahakama NI MBOWE au nyie wachumia tumbo?
Huyu Crmea NI mpumbavu Sana. Kwanini autukane. Hana hekima. Mwenyezimungu hi mlaani huyu Crimea.Sasa kama unampenda sana si ukajilipue pale mahakamani?
AndamanaHuyu Crmea NI mpumbavu Sana. Kwanini autukane. Hana hekima. Mwenyezimungu hi mlaani huyu Crimea.
Wewe jamaa unanishangaza sana, wazazi wako wametumia gharama ili angalau uwe mtu na utu ,lakini hapa kila leo unawaibisha waliokusomesha!!Sio fair kabsaa!!huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Mahakama sio kama vile mpirani, hata mpirani wachezaji wanapaswa kuyaheshimu maamuzi ya Refa, Sembuse Mahakamani.
tukiendekeza ubishi hatutofika mwisho.
na lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kupoteza mwelekeo wa Jaji na mahakama kwa ujumla, hilo halikubaliki.
Kabisa hapo ndio ingejulikana kama kuna shida ama la.Kitendo cha jaji kusepa na diary.....
gem ilikuwa over......
Ilitakiwa ikaguliwe siku ile ile on the spot
. Wala usimshuhudie jirani yako uongo.wamegwaya baada ya kuona kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuwa mboe alikuwa anaratibu mipango ya kigaidi.
Dayari tayari ishakaguliwa na ilikuwa ni bonge la desa, shahidi kafunzwa kumsemea mwenzake uongo , MUNGU aliye juu atajibu tu, soon.Kitendo cha jaji kusepa na diary.....
gem ilikuwa over......
Ilitakiwa ikaguliwe siku ile ile on the spot