Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 17, 2021: Kesi yaahirishwa mpaka tarehe 18/11/2021 saa tatu asubuhi

huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kumchanganya Jaji ili apoteze mwelekeo.....hilo halikubaliki.
Acha wenye akili timamu wajadili hoja. Watu kama wewe hamstahili kuwepo hapa jukwaani. Kwa sababu hakuna gate la kuzuia wasio na uelewa kujisajili kwenye jukwaa isiwe sababu ya ninyi kufikiria kuwa JF ipo pia kwaajili ya low minds.
 
huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Mahakama sio kama vile mpirani, hata mpirani wachezaji wanapaswa kuyaheshimu maamuzi ya Refa, Sembuse Mahakamani.
tukiendekeza ubishi hatutofika mwisho.
na lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kupoteza mwelekeo wa Jaji na mahakama kwa ujumla, hilo halikubaliki.
Akili yako haina akili. Anayeisumbua mahakama NI MBOWE au nyie wachumia tumbo?
 
Hapo kuna utata na jaji anatuchanganya tu.

Sasa aingie na diary kizimbani bila kuitumia? Yani kama urembo?

Kama wakiikaguwa na kukuta ameitumia akiwa kizimbani, basi ina maana hakuomba ruhusa kuitumia. Lakini nina wasiwasi sana na huyu jaji. Yeye aliichukuwa hiyo diary na kubaki nayo kwa siku tano huku akipiga kesi danadana tu. Kuna uwezekano wanaichakachua diary ili kuwa favor upande wa mashitaka.
Kitendo cha jaji kusepa na diary.....
gem ilikuwa over......
Ilitakiwa ikaguliwe siku ile ile on the spot
 
Akili yako haina akili. Anayeisumbua mahakama NI MBOWE au nyie wachumia tumbo?
mwanzoni simlikuwa mnasema hakuna ushahidi? eti mboe aachiwe huru!!
sasa mbona haja kubwa inawabana?!
mawakili wana haha huku na kule!!
aise!
kumbe ushahidi ulikuwepo.....basi tuache Umma usikilize kesi ikinguruma kama ilivyo kuwa ya Sabaya.
tusiiibabaishe Mahakama kama kweli mboe hakuwa muhalifu mahakama itaamua lkn sio kwa kufanya vurugu na kuleta ukaidi mbele ya mahakama.
mawakili na wafuasi wa mboe lazima wajifunze ustaarabu.
 
huyo mboe na mawakili wake wanataka kuisumbua mahakama.
isiwaendekeza hao vinginevyo watakesha.
au kama vipi, waachwe mahabusi mpaka 2025 ndio kesi iendelee.
hapo akili zitawakaa sawa.
haiwezekani mahakama ina nia ya kuharakisha kesi halafu wao wanaleta utoto mahakamani, sasa nani ndio Jaji? Mawakili wa mboe au Jaji?
lazima waheshimu maamuzi ya Jaji hata kama hayawafurahishi.
Mahakama sio kama vile mpirani, hata mpirani wachezaji wanapaswa kuyaheshimu maamuzi ya Refa, Sembuse Mahakamani.
tukiendekeza ubishi hatutofika mwisho.
na lengo la mawakili wa mboe ni kutaka kupoteza mwelekeo wa Jaji na mahakama kwa ujumla, hilo halikubaliki.
Wewe jamaa unanishangaza sana, wazazi wako wametumia gharama ili angalau uwe mtu na utu ,lakini hapa kila leo unawaibisha waliokusomesha!!Sio fair kabsaa!!
 
Sasa kama unampenda sana si ukajilipue pale mahakamani?
MATAGA medula zenu zipo sehemu za kukalia, nakusamehe bure.
Endeleeni na ushahidi wa uongo.

Mit 6:19 SUV​

Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.
 
wamegwaya baada ya kuona kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuwa mboe alikuwa anaratibu mipango ya kigaidi.
. Wala usimshuhudie jirani yako uongo.

Amri ya 9 ya MUNGU.
MATAGA mmetengeneza shaidi, mmemuandalia maswali na majibu na kumpa dayari aingie nayo mahakamani maana yeye ni TABULA RASA, sasa amekamatwa nayo, jaji kakwepesha wpi, imebidi isomwe, aibu tupu, .
 
Back
Top Bottom